Baada ya miaka 10 nitaishi kwenye Jumba kama hili

Tumia akili basi,hiyo ni michoro tu mtu kadesign. Ila kwenye maisha halisi ni impossible kuwa na nyumba hapo ya kuishi muda mrefu.
Madam Acha ujuaji wa ajabu😁🤒, Hilo ni jumba analo ishi Messi huko Miami😁🤣😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…