Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Kwani naandika shairi?? 😆🤣🤣🤣🤣Pangilia vina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani naandika shairi?? 😆🤣🤣🤣🤣Pangilia vina
Hasiraa za nini mkuu??, Haujui kuwa 👉infringement of privacy is a criminal offense.Sasa kutuonesha picha za nyumba ulizo-screenshot mitandaoni alafu unakuja kujikweza humu kwamba baada ya miaka kumi utaishi humo... unataka tukuchinjie mbuzi au?!
Uliwahi kuona wenye mapesa na mipango yao wanajishaua kutuonesha next-move zao, au technques zao za utengenezaji pesa na kupiga hatua maishani mwao?! Acha utoto we jamaa!
Au ndo ndoano ya kuwavuliwa wamama wa JF?!
Ana kuchokoza huyo🙄🙄😂🤣Kwani naandika shairi?? 😆
Namuona wewe mwache aendelee atapa anachokitaka.Ana kuchokoza huyo🙄🙄😂🤣
Sina hasira na WAPUMBAVU mimi... hakuna mtu anataka kujua your next-move or your personal life... labda hao unaowa-seduce kupitia nyuzi zako. HATUJUANI!Hasiraa za nini mkuu??, Haujui kuwa 👉infringement of privacy is a criminal offense.
Matusi ya nini, Ume tumia kipimo kipi kujua weakness za watu???Sina hasira na WAPUMBAVU mimi... hakuna mtu anataka kujua your next-move or your personal life... labda hao unaowa-seduce kupitia nyuzi zako. HATUJUANI!
WENI MUHAYA?!
Businessman...... nisomee jina la huyo member kwa sauti kubwa😆Matusi ya nini, Ume tumia kipimo kipi kujua weakness za watu???
👉Una hisi malengo yana wekwa Huku??, Au hata yaki wekwa SI Kuna Uhuru wa kujadili au🙄
Dah Ume nifanya nicheke ka mtoto😁🤣🤣Businessman...... nisomee jina la huyo member kwa sauti kubwa😆
Huyo ni hohehaheDah Ume nifanya nicheke ka mtoto😁🤣🤣
Na ana hasiraa za ajabu Sana😁🤣Huyo ni hohehahe
Tuendelee kupambania Malengo yetu 💪Zenji kuna jumba kama hili
Yeah kabisa kakaTuendelee kupambania Malengo yetu 💪
Tusi kubali kutolewa mchezoni. Maisha Ni yetuYeah kabisa kaka
Chief wana JF wataanza kuchana mistari🤣🤣Kwani naandika shairi?? 😆
AME kukosea nini jama😁🤣🤣Chief wana JF wataanza kuchana mistari🤣🤣
Hajanikosea Wacha ubongo niuchangamshe umelala anisamahe kama kuna Mahala kakereka kwa nna moja ama nyingine🙏AME kukosea nini jama😁🤣🤣
Humu kuna MATAJIRI WAKUBWA, WAFANYABIASHARA NA WENYE MAFANIKIO MAKUBWA NA WALIO KWENYE NJIA ZA KUWA MATAJIRI WAKUBWA NA WATU WA KILA AINA WENYE MAFANIKIO. HAWANA HUO USHAMBA NA MASHAUZI KAMA YAKO.Matusi ya nini, Ume tumia kipimo kipi kujua weakness za watu???
👉Una hisi malengo yana wekwa Huku??, Au hata yaki wekwa SI Kuna Uhuru wa kujadili au🙄
Labda ukauze masaburiWazee tuendelee kupambania Malengo yetu, Hakuna ushujaa wa kuitwa wewe ni bingwa wa kuishi maisha magumu🤒
I mean no malice to nobody
View attachment 2733730View attachment 2733731View attachment 2733732View attachment 2733733View attachment 2733735