Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

ametoa ule mpira upande wa mashariki akapiga locomotive bent bila kusimama ya kwanza alipiga inaitwa reo bent anayumba akiwa amesimama beki akakubali kutoka kwenye njia akaamua kuondoka akajabeki wa pili akapiga locomotive bent huku anaenda kama anataka kupiga back pass akageuka, quick turn "tunaita" quick reflect akapiga mpira mmoja lion pass "stand volley" mpira unaofanana kama chini unapofungia tai hapa basi kilichotokea kwa Aggrey Morris kwenda deep kwenye box akapiga side freak head kwenye paji la uso sio kisogoni sio usoni ngoma ikaenda nyavuni kushoto kwake ambapo ni kulia kwa goalkeeper Dennis Onyango hakuwa chap mpira ulienda taratibu sana lakini vipimo viwango na utulivu wa wa Agrrey Morris overlapping central back.

kwako Jesse John
 
WOW! 39 years? That’s a long time ago Mkuu.

 
Kwa taarifa yako na Burundi ya Nkurunziza imo!

hahahahaaaaaa

mpaka Burundi?

Nkurunzinza, Museveni, Magu, Kagame, Morsi wa Egypt, Paul Biya wa Cameroon...

Paul Biya ameingia madarakani NOVEMBER 6, 1982!
 
Hahaaa mwalimu kashasha unazungumziaje lile kosa la beki wa Uganda kushika mpira eneo la hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana Jf,

Maendeleo hayana chama ndio ninachoweza kusema kilichotokea kwenye mpira Leo

Shukrani kwa mheshimiwa Makonda pia kwa uhamasishaji,

Rais magufuli wengi walijaribu lakini yeye ameweza ,aliwekeza kwa kocha, matunda yanaonekana

Kuna watu waliombea tufungwe lakini tumeshinda Kama watanzania

Chuki kwa viongozi hazitujengi, Tupongeza yanapofanyika mema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…