Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Tuliambiwa huyo jamaa hajawahi kufanikiwa kwenye chochote I guess hili la kwanza.Motisha kwa wachezaji ni kitu kikubwa pia tuone kama hiyo kamati itatoa hiyo 10M kwa kila mchezaji
 
Wewe na yeye akili haswa kwa akili yako makonda kafanya nini..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumeshinda au hatujashinda?

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani wakati Cape Verde inafungwa huyo alikuwepo wapi??

credits ziende kwa wachezaji na wala si shabiki wala kamati.

mchezaji anahitaji uwanja na mpira tu sio kitu kingine Libya wanacheza bila kamati wala mashabiki na wanapata matokeo....wewe nini bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…