[emoji28][emoji28][emoji28] jiandae kukosolewa vikali...... pia andaa maskio yako kuskia maneno kama Lumumba,buku 7,....n.k
Ila kiukweli tuacheni unafki jamaa (baba Jeska) anajitahidi, japokuwa challenges zipo na pia anamapungufu yake kama ilivyo kwa binadamu yoyote ila mshkaji anapiga kazi.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Can't they?decomposed further
Form One chemistry! OK?Can't they?
Hivi ulichoandika umekifikira kwanza? Au ofa za Makonda zinaongea? Mbwa ww, Mbowe anahusikaje kwenye mada hii?Tumpongeze Mbowe basi, au vipi?
M50 ndio zimecheza? Unaweza ukapewa hata 1k na ukacheza mpira wa kufaUmesahau alichangia 50m wewe umechangia nn mpaka ukereke?
Duh. Nilitegemea swali hili lingetoka kwa dogo wa kindergaten.Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mange kasemaje kwani?Yeye ndio Mkuu wa Nchi
Kila Jambo likivurugika Kwenye Nchi Lawama anapewa Rais Kwanini likikaa sawa tusimsifu?
Hongera Dkt Magufuli kwa ushindi mfululizo kuanzia wa Simba, Hasana Mwakinyo Na Leo Taifa Stars
Wanafiki wakiongozwa Na Da Mange wameumbuka
unajua shangwe la Leo ni kubwa limepambwa na warembo wa bongo movie sanaShangwe la leo limezidiwa na la Simba dhidi ya AS Vita ni vita muraaa
Sent from my TECNO CA6 using Tapatalk
Mkuu, nadhani leo tutakua tumeshika mamba 1 angalau kwa saa 1 hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]