Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Wewe kama hufanyi kazi shauri zako utaishia kuramba viatu vya chakubanga
[emoji28][emoji28][emoji28] jiandae kukosolewa vikali...... pia andaa maskio yako kuskia maneno kama Lumumba,buku 7,....n.k
Ila kiukweli tuacheni unafki jamaa (baba Jeska) anajitahidi, japokuwa challenges zipo na pia anamapungufu yake kama ilivyo kwa binadamu yoyote ila mshkaji anapiga kazi.....

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we trust
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wanajamvi,
Kwa takwimu zilizotolewa hivi majuzi na kuonesha Tanzania inashika nafasi ya 153 kati ya nchi 156 kwa kiwango cha furaha Duniani. Leo hii historia imebadilika angalau kwa masaa kadhaa. Endapo takwimu za "furaha" zingechukuliwa Leo, basi Tanzania Leo tungeshika namba Moja. Kwa ushindi huu wa Taifa Stars, nimeona furaha kuanzia kwa Mh. Rais mpaka kwa wananchi, Chama tawala mpaka kwa wapinzani, Walimu mpaka kwa wanafunzi. Ama kweli Leo Tanzania imeshika namba moja kwa kiwango cha furaha Duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama hakika baada ya miaka 39 ya kucheza soka la mchangani, kwa Mara nyingine Tanzania tumeingia kwenye record ya timu zinazoenda Misri kwenye mashindano ya Afcon kwa ushujaa mkubwa.
Rais wa JMT amesikika akiwapongeza wachezaji kwamba wamefanya Jambo zuri.
Faida ya Tanzania kushiriki mashindano haya ni kwamba tutaongeza wachezaji wanaocheza nje soka la kulipwa, tutarajie kuona sports academy nyingi kufunguliwa hapa Tz maana wawekezaji wengi (wa ndani na wa nje) wameona namna mpira unavyolipa hapa Tanzania. Social utility nazo zinaongezeka (watu wanakunywa bia nusu Bei now) na mengine mengi.
Hivyo kwa ukubwa wa heshima hii tulioletewa na taifa 🌟 namuomba Rais apitishe siku mbili za mapumziko kwa watu ili kusherekea historian hii ukizingatia bia imeshushwa Bei tuepushe ofisi zisiwe "hangover zone"
 
Shangwe la leo limezidiwa na la Simba dhidi ya AS Vita ni vita muraaa

Sent from my TECNO CA6 using Tapatalk
 
Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...


Sent using Jamii Forums mobile app
Duh. Nilitegemea swali hili lingetoka kwa dogo wa kindergaten.
Hujui mchango wa serikali ktk michezo na kuweka mazingira rafiki?

Kuna mijitu itapasuka kwa chuki na wivu dhidi ya stars kufika afcon.
 
Yeye ndio Mkuu wa Nchi

Kila Jambo likivurugika Kwenye Nchi Lawama anapewa Rais Kwanini likikaa sawa tusimsifu?

Hongera Dkt Magufuli kwa ushindi mfululizo kuanzia wa Simba, Hasana Mwakinyo Na Leo Taifa Stars

Wanafiki wakiongozwa Na Da Mange wameumbuka
 
Yeye ndio Mkuu wa Nchi

Kila Jambo likivurugika Kwenye Nchi Lawama anapewa Rais Kwanini likikaa sawa tusimsifu?

Hongera Dkt Magufuli kwa ushindi mfululizo kuanzia wa Simba, Hasana Mwakinyo Na Leo Taifa Stars

Wanafiki wakiongozwa Na Da Mange wameumbuka
Mange kasemaje kwani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada hujui kutumia akili ulizo pewa, popoma ww.

MGC
 
Back
Top Bottom