Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wewe kama hufanyi kazi shauri zako utaishia kuramba viatu vya chakubanga
In God we trust
[emoji28][emoji28][emoji28] jiandae kukosolewa vikali...... pia andaa maskio yako kuskia maneno kama Lumumba,buku 7,....n.k
Ila kiukweli tuacheni unafki jamaa (baba Jeska) anajitahidi, japokuwa challenges zipo na pia anamapungufu yake kama ilivyo kwa binadamu yoyote ila mshkaji anapiga kazi.....
Sent using Jamii Forums mobile app
In God we trust