Tumebebwa na waganda, pia CAF iliongeza nafasi za ushiriki AFCONNakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku walipopigiwa sijui walipiga wao, simu na beberu LA ujerumani walikuja mbio na press releaseNgoja waje wakushambulie na wakuite beberu
No saw a na kumpaka demu mkorogo ili apendezeNakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo! ulevi wa bia za Bure usikutoe akili, tumebebwa na waganda tu.Upumbavu ulioandika siku ingine umiza kichwa nyumbu we. Yaani wana chadema wasipongezwe lisu amepona kwa kuwa tu wanachadema sio madaktari waliomfanyia operesheni? Mh. Rais alihamasisha sana hii timu ifuzu.
Sishangai hii nchi kuwa na wstu wajinga wspumbavuu na vilaza kama wewe. Hivi wewe mpaka hapa hauoni mkono wa serikali hadi hspo ilipofika. Haujiulizi ni kwanini hamasa hii iwepo sasa na sio kipindi cha nyuma.Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Uganda kwa kutambua ujirani mwema mana ata okwi sioyule tuliyemzoea
Tuliambiwa huyo jamaa hajawahi kufanikiwa kwenye chochote I guess hili la kwanza.Motisha kwa wachezaji ni kitu kikubwa pia tuone kama hiyo kamati itatoa hiyo 10M kwa kila mchezaji
Povu starKwa kuwa Babaako na mamaako ni mafala usidhani ni kila mtu zwazwa wewe.
Acha wavunje tu kwani tff wamezidi wizi haowezekani ukatie watu tiketi halafu useme ndani kumejaa, kwanini uuze tiketi zaidi ya uwezo wa uwanja?Hii tabia ya kishamba ya mashabiki kufanya vandalism kwenye uwanja wa taifa ikomeshwe kwa nguvu zote hata za kijeshi. Miaka ya majuzi tu, mashabiki walivunja viti baada ya timu yao kufungwa. Vijana tujifunze kuwa wastaarabu wa kutunza kiwanja chetu kidumu miaka mingi ijayo; tumejengewa na wacjina kwa mkopo ambao tutalipia kwa muda mrefu sana. Tusivuje kiwanja hicho tukabaki na deni la kulipa wakati kiwanja kimeshakongoroka!!
Dah, watu mna vituko sanaAsante magufuli na mwanao kipenzi Makonda...! Mmebarikiwa kuliko wavulana wote wa Dar. [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] bro ulimwengu wa Leo uishi bila kupiga kazi utakuw mgeni wa naniWewe kama hufanyi kazi shauri zako utaishia kuramba viatu vya chakubanga
In God we trust
Wewe ni km unajitia dole kisha unanusaAmen...kazi nzur Mh. Makonda
Inabidi twende tukajifunze kwani Mpira wa kiafrica hautofautiani sanaSijui kama tunafahamu huko tuendako.
Kwa kiwango tulichonacho, sidhani hapo ktk makundi kuna timu size yetu.
Tutaambulia goli za kutosha kutokana na timu yetu kuwa mbovu mbali na uwanja wa taifa na hii sio timu ya taifa tu bali hata vilabu.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Kwa jinsi Wachezaji walivyo, Taifa stars hawana genes za kuingia AfCON.
Lakini, Nakumbuka Jiwe, Aliwatema biti hawa Taifa stars wanapewa hela ya kujenga Timu wanapewa marupurupu kibao, kisha wanaenda kuuza Sura. Wanaishia kufungwa na timu zingine.
Wabongo wameanza kuogopa kuchezea hela ya Bwana Mkubwa kizembezembe. Biti linasaidia sana. Daadeki
Sent using Jamii Forums mobile app