Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...


Sent using Jamii Forums mobile app
Tumebebwa na waganda, pia CAF iliongeza nafasi za ushiriki AFCON
 
Upumbavu ulioandika siku ingine umiza kichwa nyumbu we. Yaani wana chadema wasipongezwe lisu amepona kwa kuwa tu wanachadema sio madaktari waliomfanyia operesheni? Mh. Rais alihamasisha sana hii timu ifuzu.
 
Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...


Sent using Jamii Forums mobile app
No saw a na kumpaka demu mkorogo ili apendeze
Upumbavu ulioandika siku ingine umiza kichwa nyumbu we. Yaani wana chadema wasipongezwe lisu amepona kwa kuwa tu wanachadema sio madaktari waliomfanyia operesheni? Mh. Rais alihamasisha sana hii timu ifuzu.
Dogo! ulevi wa bia za Bure usikutoe akili, tumebebwa na waganda tu.
 
Nakereka sana kila naposikia kila kiongozi anazungumza kuhusu hii mechi ya Taifa stars na Uganda akinza kwa kumpongeza rais wetu mpendwa Magufuli.
Nachojiuliza Magufuli anapewa pongezi ya kazi gani? Kati ya Magufuli na mashabiki na wachezaji ni nani wa kwanza kupewa pongezi?
Huu ni ujinga wapeni pongezi wachezaji na mashabiki kwa kufika na kucheza vizuri Magufuli hana hata chembe ya pongezi kwenye mchezo huu... Bora hata Makonda alikua kwenye kamati na kiki zake za msimu...


Sent using Jamii Forums mobile app
Sishangai hii nchi kuwa na wstu wajinga wspumbavuu na vilaza kama wewe. Hivi wewe mpaka hapa hauoni mkono wa serikali hadi hspo ilipofika. Haujiulizi ni kwanini hamasa hii iwepo sasa na sio kipindi cha nyuma.

Magufuli ana watendaji wake, waondio amewapa dhamana kusimamia michezo kwa niaba ma maelekezo yake.

Magufuli alikutana na wachezaji stars kuwatia hamasa.

Magufuli kaonfoa ubabaisha TFF na ndio maana skina Malinzi, Eambura na wengine wako ndani.

Hizo ni baadhi tu ya hatua alizochukua hadi kufika hapo tulipo leo.

Sass wewe kilaza kila kitu unawaza kiufipa tu ndio masna unaona hakuna mchango wa rais.
 
Okwi huyu huyu wa Simba FC au wa mwabepande?

Okwi umri ushamtupa mikono kitambo tu maana sasa hivi akili inataka kucheza mpira lakini mwili haukubali kuchukua maamuzi ya hapo hapo tokana na kupungukiwa nguvu alizokuwa nazo miaka mitano nyuma.
Asante Uganda kwa kutambua ujirani mwema mana ata okwi sioyule tuliyemzoea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pongezi za dhati zimuendee JPM na Makonda kwa kufanikisha TZ kuingia AFCON
 
Tuliambiwa huyo jamaa hajawahi kufanikiwa kwenye chochote I guess hili la kwanza.Motisha kwa wachezaji ni kitu kikubwa pia tuone kama hiyo kamati itatoa hiyo 10M kwa kila mchezaji

10 Million kabla ya kukatwa kodi
Zawadi Pia Ni taxable
 
Hii tabia ya kishamba ya mashabiki kufanya vandalism kwenye uwanja wa taifa ikomeshwe kwa nguvu zote hata za kijeshi. Miaka ya majuzi tu, mashabiki walivunja viti baada ya timu yao kufungwa. Vijana tujifunze kuwa wastaarabu wa kutunza kiwanja chetu kidumu miaka mingi ijayo; tumejengewa na wacjina kwa mkopo ambao tutalipia kwa muda mrefu sana. Tusivuje kiwanja hicho tukabaki na deni la kulipa wakati kiwanja kimeshakongoroka!!
Acha wavunje tu kwani tff wamezidi wizi haowezekani ukatie watu tiketi halafu useme ndani kumejaa, kwanini uuze tiketi zaidi ya uwezo wa uwanja?
 
Kwa jinsi Wachezaji walivyo, Taifa stars hawana genes za kuingia AfCON.
Lakini, Nakumbuka Jiwe, Aliwatema biti hawa Taifa stars wanapewa hela ya kujenga Timu wanapewa marupurupu kibao, kisha wanaenda kuuza Sura. Wanaishia kufungwa na timu zingine.
Wabongo wameanza kuogopa kuchezea hela ya Bwana Mkubwa kizembezembe. Biti linasaidia sana. Daadeki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama tunafahamu huko tuendako.
Kwa kiwango tulichonacho, sidhani hapo ktk makundi kuna timu size yetu.

Tutaambulia goli za kutosha kutokana na timu yetu kuwa mbovu mbali na uwanja wa taifa na hii sio timu ya taifa tu bali hata vilabu.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Inabidi twende tukajifunze kwani Mpira wa kiafrica hautofautiani sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CAF wameongeza timu za kushirik AFCON ndo mana tumepita wengi, mbona huyo mtu wako alivyopiga bit ndo tukaenda kufungwa, punguzen kulamba ndala za watawala
Kwa jinsi Wachezaji walivyo, Taifa stars hawana genes za kuingia AfCON.
Lakini, Nakumbuka Jiwe, Aliwatema biti hawa Taifa stars wanapewa hela ya kujenga Timu wanapewa marupurupu kibao, kisha wanaenda kuuza Sura. Wanaishia kufungwa na timu zingine.
Wabongo wameanza kuogopa kuchezea hela ya Bwana Mkubwa kizembezembe. Biti linasaidia sana. Daadeki

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom