Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Mechi ilipangwa, waganda walikuwa hawana cha kupoteza, Museven mwenyewe mechi ya kwanza alifurahi kwa droo na kusema timu zote ni za nyumbani. Ingekuwa kwenya ungejua ujirani ukoje.
Mm naioenda stars ila natokeo yetu ni ya ujirani mwema.
Sikwenda uwanjani kwa sababu mazingira yote yalionesha tunashinda mechi, hata kama possibility ya kufuzu ilitegemea mechi ya Cape Verde na Lesotho. Nilijua hakutakuwa na ushindani wowote.

- 98% ya watu hawajui nini kinachoendelea, wao huamini kila kinachosemwa mdomoni, hawana maswali ni kufuata upepo

- 1.8% wanajua nini kinaendelea, kila jambo linapotokea huwa wanashirikisha bongo zao na kujua nini maana yake

- 0.2% Wanapanga kinachotokea, wanaanzisha matukio kwa sababu zao maalum.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alitoa milioni 5 mbona hatukuona matunda badala yake ikapigwa, jana yenyewe amekiri aliogopa kwenda uwanjani maana hakutarajia. Pongezi ziwaendee vijana kwa juhudi zao pamoja na kocha wao. Wameona mpira unalipa ukijionyesha kwenye mashindano makubwa kama hayo. Huu ndio wakati wa kujiuza kwa timu kubwa za nje
 
Issue ilikuwa ni kushinda mechi ya Dar, kufuzu ilitegemea mechi ya CV vs Lesotho. Kushinda Dar nilijua tutashinda hilo halikuwa tatizo kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kauli yako ina maanisha nn? [emoji116][emoji116]
"Mkiwa na kiongozi mkuu ambaye hataki siasa anataka kazi tu "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakua wameshinda sio?,wangepoteza mechi zigo la misumali angebebeshwa Makonda sio!,"pathetic"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda aliwasiliana na Mkuu mwenzake ndio Vijana wakatufanyia wepesi.
 
HII NI KWA HISANI YA BASHITE.
umekuja hivi baada ya punguzo la bei nadhani utakuwa ulimwagiwa sana ngoja stim zipungue akili ikurudie
 
Sawa Mganda ,nimekusoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye benchi la ufundi aongezwe kocha kutoka nchi za kiarabu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…