PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,437
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Record ya Simba ni ya 2003Ilianza simba tarehe 16 march ilivunja record ambayo mara ya mwisho ilikua miaka ya 80s
Leo taifa stars imevunja record ambayo kwa mara ya mwisho ilikua miaka ya80s
Nategemea simba kuweka record mpya ikikutana na mazembe
Sent using unknown device
Hahahahaaaaaa leo kupitia ofa hii lazima kuna watu watajifunza kunywa pombe
Sent using unknown device
Ingredients za corruptiiiiiion wapi? Kuwa mzalendo wifi yake nanihino Leo utalala bila chupi subiri mumeo taifa staz akiwa bwakxxxii na balimi ya jeroRushwa imetembea, CAF lazima waichunguze vzr hii mechi, na adhabu itolewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Location wapi eti
Nategemea kesho idadi kubwa ya wakazi wa dar watafukuzwa kazi kwa kuchelewa kazini au kutohudhuria kabisa
Wana Jf,
Maendeleo hayana chama ndio ninachoweza kusema kilichotokea kwenye mpira Leo
Shukrani kwa mheshimiwa Makonda pia kwa uhamasishaji,
Rais magufuli wengi walijaribu lakini yeye ameweza ,aliwekeza kwa kocha, matunda yanaonekana
Kuna watu waliombea tufungwe lakini tumeshinda Kama watanzania
Chuki kwa viongozi hazitujengi, Tupongeza yanapofanyika mema
Wakuu tuzugeni, kesho tusitie timu kazini.Huyu mzee anasubiri nini kutangaza mapumziko?🤭🤭
Hivi Beer zitauzwa Buku ni Dar tu peke yenu au hadi Arusha?
Mungu hayupoNjoon hapa