Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Hakuna Beki imara Simba kama Kennedy Juma.
Nashangaa ni vipi huwa anawekwa benchi.
Timu iliyocheza na Namungo kipindi cha pili ndio ianza kila mechi. Wengine wapambane kuingia kikosini.
Nashangaa ni vipi huwa anawekwa benchi.
Timu iliyocheza na Namungo kipindi cha pili ndio ianza kila mechi. Wengine wapambane kuingia kikosini.