Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba sasa ndio hauna huenda angekufaa sanaBinti mrembo sana halafu alitupia tshirt nyeusi jeans nyeusi na raba nyeusi.
Kakitambi si nakaficha kwa loose dress😂
Hahahaaa. LolAmefeli pakubwa mno alafu anakuja kutuma salamu jf.
😄Hahahaaa. Lol
"Mweusi Peeee" Hebu kujeni muone maajabu ya Misemo mipyaWakuu leo bwana nikasema niushangae huu mji ambao hauna hela na maisha yakiwa makali mno.
Katika pita pita zangu nikakutana na binti mweusi pee yaani toto kiuno kama nyigu nywele kaziachia mgongoni hipsi kama mabinduki ya m23 jicho jeupeee tiii aisee.
Damu yangu ikawa ya moto mno ukizingatia kwamba huwa natekwa sana na wanawake weusi yaani awe mweusi peee.
Kwa muda mrefu sana sijakutana na mwanamke mzuri natural maana wengi kwa sasa wamekua wanatumia vitu ambavyo sio halisi ili kujipendezesha.
Nimefarijika sana.
Hongera wewe mwanamke mweusi mrembo hakika umeugusa moyo wangu.
View attachment 2490023
UKimuona tena mfateKweli mkuu.
UsidanganyikeWee sema kweli
Kumbe hamuhangaiki na hivi vitambi vyetu
Si watu wa dar nasikia mitoko mnatoka na tight dress 🤣Kakitambi si nakaficha kwa loose dress😂
Dude, do you have sickle cell or something?Katika pita pita zangu nikakutana na binti mweusi pee yaani toto kiuno kama nyigu nywele kaziachia mgongoni hipsi kama mabinduki ya m23 jicho jeupeee tiii aisee.
Nilitaka nishangaeUsidanganyike
vingine unasifia tu, ukisema uombe namba utaomba kwa wangapiHalafu hajazungumzia hili. 😂😂😂 ni dhahiri kaishia kufarijika tu kama asemavyo.
Uwe sasa na huo mwili wa kuuweka kwenye tight dress😂Si watu wa dar nasikia mitoko mnatoka na tight dress 🤣
Wewe ulishawahi kusikia au kuona uzi/mada imeanzishwa humu kuwaponda wanawake wenye vitambi!?...kwangu mimi ni labda awe na kitambi tu bila tako ila kitambi na tako or flat tummy with ass its good for me too just like thisWee sema kweli
Kumbe hamuhangaiki na hivi vitambi vyetu
Imeisha hiyo mkuuKosa ni kurudia kosa.