ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mdaiwa Tumaini Angumbwike (35) mkazi wa Makunguru ameiambia Mahakama ya Mwanzo mkoani Mbeya kuwa yuko tayari kutalakiana na mume wake kuliko kurudi kijijini.
Angumbwike ameiambia mahakama kuwa migogoro inayoendelea kati yake na mume wake, ilianza baada ya maisha yao kuwa magumu kutokana na biashara ya mume wake kuyumba, hivyo mume wake kumtaka warudi kijijini kuanza maisha mapya.
“Maisha niliyoyaishi kipindi hicho kijijini tena nirudi kuyaishi, hapana. Ndio maana nilitafuta mwanaume mjini kuondokana na maisha ya kijijini,” ameeleza.
Ameongeza kuwa “ Huyu mwanaume nampenda sana na migogoro iliyopo kati yetu ni mimi kugoma kurudi kijijini, hivyo nilimruhusu yeye arudi kijijini akajipange na mimi kuniacha mjini, lakini cha ajabu aliporejea alitafuta mke mwingine.”
My Take
Robert Heriel Mtibeli Wanaume endeleeni kuwapenda wake zenu Kwa moyo wa mshumaa ikibidi muwatoe out Kila wiki ila mkifirisika ndio mtajua hamjui 🤣🤣
Pia soma Baada ya kufukuzwa kazi kaka yagu alitembea na mke wangu mpaka kumzalisha
Angumbwike ameiambia mahakama kuwa migogoro inayoendelea kati yake na mume wake, ilianza baada ya maisha yao kuwa magumu kutokana na biashara ya mume wake kuyumba, hivyo mume wake kumtaka warudi kijijini kuanza maisha mapya.
“Maisha niliyoyaishi kipindi hicho kijijini tena nirudi kuyaishi, hapana. Ndio maana nilitafuta mwanaume mjini kuondokana na maisha ya kijijini,” ameeleza.
Ameongeza kuwa “ Huyu mwanaume nampenda sana na migogoro iliyopo kati yetu ni mimi kugoma kurudi kijijini, hivyo nilimruhusu yeye arudi kijijini akajipange na mimi kuniacha mjini, lakini cha ajabu aliporejea alitafuta mke mwingine.”
My Take
Robert Heriel Mtibeli Wanaume endeleeni kuwapenda wake zenu Kwa moyo wa mshumaa ikibidi muwatoe out Kila wiki ila mkifirisika ndio mtajua hamjui 🤣🤣
Pia soma Baada ya kufukuzwa kazi kaka yagu alitembea na mke wangu mpaka kumzalisha