Retention fee inaumiza.Retention fee ni pale serikali inapodai ila serikali inapodaiwa Kama malimbikizo ya haya maalimu areas hakuna retention fee.
MIALIMU bana.
Authorised banditsRetention fee inaumiza,.
na hasa kwa mfanyakazi ambaye hasumbui kulipa, Loan Board wana masharti magumu kuliko commercial banks
Wanamuhujumu rais ili aonekane mbaya kwa wananchiHuko bodi Kuna watu wanatajirikia kwa kuonea watu kimakusudi au Kuna ufisadi iweje Deni liwe Lina double badala ya kumpungua na kwanini huu ujinga uanze awamu ya magufuli tu. Watu huchukua mikopo na wakianza kulipa linapungua iweje hii ya bodi ya mikopo liwe Lina double tu
Mkuu vp kwenye salary slip ukimaliza ule mkopo wa kawaida retention haionekani au manake hata mimi nna mpango deni likiisha kwenye salary slip nikae zangu kimya labda rais ajaye atakuja kutuokoa na huu wizi.Mwaka 2013 nilipoenda kuangalia deni langu bodi lilikuwa Tsh 12,908,741 (hii inajumuisha hela halali niliyotumia mwenyewe pamoja na ada ilikuwa Tsh 11,394,700, Administration fee Tsh 113,947, retention fee Tsh 1,192,422)..
Hiii sheria ya 15% ilibd iwahusu hawa ambao wamesaini mkataba wa hivi ila wale wa 8% wangeendelea na mktaba wao ilaa kuvunja makubaliano ni kuto kutiii mkataba wa kukopeshana HESLB liangalieni hili pia .Kiukweli ni kukiuka mkataba, mtu unasaini mkataba makato 8% mwisho wa siku unalipa 15%, Kwa wale wa TGS D wanalamba 105,000 nzima nzima. Sio haki kwakweli.
Kwani wenye hela tumekataa kwa vitendo kukopeshwa? Mnakubaliana na serikali ndo maana mnakopa na kulipa.Serikali inafanya biashara gani mpaka itukopeshe hela sisi wenye hela wenyewe?.
aRetention fee ni pale serikali inapodai ila serikali inapodaiwa Kama malimbikizo ya haya maalimu areas hakuna retention fee.
MIALIMU bana.
Yaaan aiseeNtarudi
Ukitukana walimu,unakua mjinga zaidi.Acheni kutetea uozo huu kisa nyinyi mnanufaika nao.Retention fee ni pale serikali inapodai ila serikali inapodaiwa Kama malimbikizo ya haya maalimu areas hakuna retention fee.
MIALIMU bana.
Walishafunga wangapi?Issue siyo kupata passport, issue ni kwamba Data zako tayari wanazo na wanajua wakupate wapi. Umekwisha
Sawa, subiri wakianza kufunga.Walishafunga wangapi?
Mtasema mengi na nyaraka nyingi mno na vifungu VIngI Ila kweli Bodi hii ni tatizo, watumishi wengi wanalia.Baada ya Mwl. Iddy wa Geita kufichua uonevu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, Hatimaye Bodi wameamua watoke hadharani tena ni Jumapili [emoji116][emoji116][emoji116]
Watu mbalimbali wamehoji kwa nini Watumishi wanapoidai Serikali hakunaga hiyo 'Rentetion fee'?
View attachment 1673895
Hazikuwepo chief, yaani mimi huo mkataba nilikuwa nao sema nowdays sijui hata ukowapi na masharti yake yako tofauti kabisa na vile hawa bodi wanavyo nyonga rai wake.Alafu kwenye zile form za mkataba hizo habari za rentation zilikuwepo?