Baada ya ndoa kuvunjika, Wastara arudisha mpira kwa kipa "zilipendwa wake"

Baada ya ndoa kuvunjika, Wastara arudisha mpira kwa kipa "zilipendwa wake"

Yani kwangu ni mpya, umetoka zanzibar na boti ya mchana 😀
Nauza ubuyu wa babu issa wa Zanzibar, Ubuyu huu ni mtamu sanaa kwa wanaoujua vizuri. Bei yake ni 1500 kwa packet moja (rejareja), ila kuanzia packet tano za mibuyu bei yake ni 1000/= (jumla)pia kwenye vikopo bei yake ni 1000 kwa kila mmoja..
Napatikana mwananyamala .
Na mikoani pia natuma kwa 5000 tu ,
Kwa maelezo zaidi nicheck inbox .karibuni
[emoji338] 0685002604,0718239052
 
Wanaomlaumu Wastara bado huwa siwaelewi! Je, mnatarajia asingekuwa anagegedwa, au?! Kwa sababu ikiwa unashangaa Wastara kuolewa ni kwamba unashangaa Wastara kugegedwa... that's it! Manake ninachokiona kwa Wastara ni kuliko kugegedwa milele nje ya ndoa; yeye option yake ni kugegedwa ndani ya ndoa ingawaje ana gundu la ndoa zake kutodumu! Hapo ndipo watu wanatakiwa kuangalia... tatizo ni Wastara au wanaume anaofunga nao ndoa!!!
Tatizo ni kwamba hatulii. Hata kama ni kuolewa unajipa muda wa kujipanga na kumuelewa mwanaume. Siyo kila mmoja anakuja anasema anataka kukuoa bila kumfahamu vizuri we unakubali. Nadhani wanaume wengi wametumia udhaifu wake kumpata na hawakuwa na nia hiyo ya ndoa.
 
Tatizo ni kwamba hatulii. Hata kama ni kuolewa unajipa muda wa kujipanga na kumuelewa mwanaume. Siyo kila mmoja anakuja anasema anataka kukuoa bila kumfahamu vizuri we unakubali. Nadhani wanaume wengi wametumia udhaifu wake kumpata na hawakuwa na nia hiyo ya ndoa.
Hivi hizo ndoa ambazo hatulii ni ngapi hadi sasa?! Au mnahesabu hadi za kwenye movie? Manake ninavyojua mimi baada ya ndoa yake ya kwanza (kiukweli bado alikuwa mdogo) akaja kufunga ndoa na Sajuki ambae walidumu kwenye ndoa for almost 10 years. Hivi ndoa za wasanii vijana kudumu miaka 10 utasema "hatulii?" Baada ya Sajuki ndo akaja kufunga ndoa na Sadifa! Na dalili za kutodumu ndoa ya Sadifa zilikuwa wazi! Kwanza Sadifa alimpora Wastara toka kwa Bond! Lakini pia Sadifa alikuwa na wake wengine kama sio watatu basi wawili!! Unatarajia nini hapo?! Au kuna ndoa nyingine zilizovunjika ambazo sizifahamu mbali na hii ya Sadifa na ile ya zamani kabisa wakati akiwa bado msichana mdogo?!
 
Huyu mwanamke nilikuwa naona anajiheshimu kwelikweli wakati yupo na marehemu sajuki, looo. Itakuwa hata sajuki alikuwa anavumilia tu vituko vya huyu bibie, maana kwa vichambo vile alivyompa mbunge, ukichanganya sajuki alikuta huyu mwanamke kesha talikiwa, kama si ile ajali kweli sajuki sidhani kama angedumu na huyu bibie alimvumilia sana ndio maana hata akaoatwa na maradhi yale hakuna jambo baya kama kuumiza moyo daily.
 
Nauza ubuyu wa babu issa wa Zanzibar, Ubuyu huu ni mtamu sanaa kwa wanaoujua vizuri. Bei yake ni 1500 kwa packet moja (rejareja), ila kuanzia packet tano za mibuyu bei yake ni 1000/= (jumla)pia kwenye vikopo bei yake ni 1000 kwa kila mmoja..
Napatikana mwananyamala .
Na mikoani pia natuma kwa 5000 tu ,
Kwa maelezo zaidi nicheck inbox .karibuni
[emoji338] 0685002604,0718239052
Unauza ubuyu wa kula au ubuyu wa umbea? 😀
 
Wastara nilikua namheshim kumbe nae pumbastiki tuuuuu me namsifu mwanamke aliefiwa Na mmewe akangonoka Kila uchwao n Bora alivojifia sajuki wa watu Allah amemuepushia huuu upuuuzi wa huyu dada
Ana watoto watatu kila mmoja na baba ake na ndoa kadhaa, mmmh Ukiona mwanamke anazaa zaa na watu tofauti tofauti kuna shida mahali
 
Kiporo hakihitaji Moto mwingi yani hata moto wa sigara tuu Unapasha.
Bond gonga show kama kawa..
Ishu ya ndoa Mungu akijaaliya hapo sawa ila kwahivisasa tafuna Pension yako kama kawa..
Akichelewa ataachwa kwa mara nyingine tena
 
Hivi hizo ndoa ambazo hatulii ni ngapi hadi sasa?! Au mnahesabu hadi za kwenye movie? Manake ninavyojua mimi baada ya ndoa yake ya kwanza (kiukweli bado alikuwa mdogo) akaja kufunga ndoa na Sajuki ambae walidumu kwenye ndoa for almost 10 years. Hivi ndoa za wasanii vijana kudumu miaka 10 utasema "hatulii?" Baada ya Sajuki ndo akaja kufunga ndoa na Sadifa! Na dalili za kutodumu ndoa ya Sadifa zilikuwa wazi! Kwanza Sadifa alimpora Wastara toka kwa Bond! Lakini pia Sadifa alikuwa na wake wengine kama sio watatu basi wawili!! Unatarajia nini hapo?! Au kuna ndoa nyingine zilizovunjika ambazo sizifahamu mbali na hii ya Sadifa na ile ya zamani kabisa wakati akiwa bado msichana mdogo?!
Na wale watoto wawili baba zao hawakumuoa eeh mmoja ni wa solo Thang, mwingine sijui wa nani
 
Back
Top Bottom