Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahah kwa hiyo tusemeje: MTU KAPATA NDOA AU NDOA IMEPATA MTU hahahahahAnapenda sana ndoa, ila ndoa hazimpendi
Upendo nkone..hili jimama yupo hai??Aliimba nani? USIFURAHI SANA EWE NDUGU YANGU NIANGUKAPO MIMI NITAINUKA TENA....
Solo Thang alizaa nae mtoto mmoja lakini hawakufunga ndoa! Baada ya hapo ndipo akafunga ndoa na kuzaa tena mtoto mmoja... jumla ndo hao wawili unaowasema! Baada ya hii ndoa yake ya kwanza kufa, akafunga ndoa na Sajuki ambapo waliishi takribani miaka 10 kabla ya kufunga ndoa na Sadifa!Na wale watoto wawili baba zao hawakumuoa eeh mmoja ni wa solo Thang, mwingine sijui wa nani
Wastara si ana watoto watatu?Solo Thang alizaa nae mtoto mmoja lakini hawakufunga ndoa! Baada ya hapo ndipo akafunga ndoa na kuzaa tena mtoto mmoja... jumla ndo hao wawili unaowasema! Baada ya hii ndoa yake ya kwanza kufa, akafunga ndoa na Sajuki ambapo waliishi takribani miaka 10 kabla ya kufunga ndoa na Sadifa!
Kwahiyo hata kama watu wanasema hatulii kwenye ndoa... ukweli ni kwamba ndoa ambazo zimemvunjikia ni 2 tu... ya kwanza zamani kabisa hata JF enzi hizo haipo na ya pili ndo hii ya majuzi na Sadifa!! Lakini nadhani watu wanachanganya na ndoa za kwenye movie ndio maana inaonekana hatulii kwenye ndoa!
Huyo wa 3 alizaa na Sajuki. .Wastara si ana watoto watatu?
Ganda la mua la jana Chungu kaona kivuno.Hii habari yenyewe ni zilipendwa.
Ubuyu wa kitambo huu.
Ataomba afe tena demu chupi magotini muda wote.Aisee nawaza laiti sajuki Akifufuka leo alafu akayashuuhudia anayoyafanya Wastara
Unaweza kutaja wanaume aliopata kuruka ruka nao tangia kifo cha Sajuki?Huyu nae ile ngozi itakuwa sugu kama ngozi ya goti maana duu sio kwa kurukaruka huko
Kampa halafu kampa tena[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Yani kwangu ni mpya, umetoka zanzibar na boti ya mchana 😀
Nafikiri ndicho kilichomfanya pia yule mbunge wa ccm kuikacha ndoa..labda alikuta mashambulizi yamefanyika sana eneo la sodoma..Kuna mlevi mmoja anaitwa Lulu Semagongo nadhani, ni Ex wa huyo James Bond wa bongo muvi aliwahi kumtuhumu huyo jamaa kwamba yupo addicted na Tigo kuliko papuchi, nahisi ndicho kilichomfanya Wastara agande hapo labda...... Just thinking loud
Daghhh [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]😀😀😀😀