Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Duh labda Jooh kajikuta kwenye ule mwembe na simu haiwaki!!!😨, mida hii huwa tushakutana na "oooooky inaendelea....."
😃😃Mama mwenye nyumba!Tunaomba wajihi wake,maana mtaani hapa kuna mama anasadikika ni witch ila "mzigo" wake looh,nikikutana nae night na manyanga yake nakuwa na roho ya jooh na mbegu zake,namg'oa😃😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…