Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Dah mwanangu nusu nitoe chozi ....afu nipo na manzi na nlimwambia natokea bara sasa ningetoa chozi nahisi angejua uhalisia wangu kuwa mwanaume wa Dar...

Ila mkuu tuambie sasa zile damu ni nini?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Zile damu ni yule mama ndio inaonekana alikuwa anasababisha ,alikuwa anatumia nguvu za kichawi ku kidnap vichanga soo zile damu zilikuwa za vile vichanga

Ndio maana pale hakukuwa na mpangaji mwingine lakini alimdanganya agustino kuwa mpango wake ni kupangisha wanafunzi tu.

Kumbe raia walikuwa washa mshitukua

Lakini sina majibu ya moja kwa moja maana nguvu za giza zinamambo mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inamatatizo gani hiyo nyumba mkuu? Elezea kidogo kama hautojali.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah sure nimekumbuka mpska raia wakachoma moto....

Ila mwanangu Joooh mwamba agustino nimemkubali kichizi.Ningekuwa nna mamlaka jamaa ningemwachia huru alipambana kuzifikia ndoto zake ila daah naona mapoti wakampenda zaidi.

Ila ni wakati wako wa kuonesha thamani unayompa mastermind Agustino maana hakukutaja wala kumtaja yeyote yule aliamua ateketee kama mshumaa.Bless sana kwa huyu Jamaa
 
Hivi hakuna imoji ya kucheki inayogara gara chini
Mana nimecheka mpaka mbavu zinauma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Mkuu wazo lako ni zuri sana

Ila kwa haya nilio yazungumza hapa kama kuna baharia

Atajipeleka kwa mganga kusaka pesa yaani omba ukakutana na mganga uchwara maana atakuibia pesa lakini sio nafsi

Lakini usikutane na wale wanaoiweza kazi kama unaroho ya panzi cha moto utakipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah kwa nini umekata vitunguu karibu na macho yangu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24],,ndugu pambana ww jasiri na bado mdogo sana naamini agustino amekuacha na nguvu kubwa ya mapambano komaa na usije msahau mshikaji wako kabisa

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Ndio hivyo hakuna namna nikukomaa tu.

Bila kuwa na hofu ya moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23] wakati nakujibu nikihisi kunakipande utakua umeruka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nilipambana sana semaa kilicho niokoa kwenye yale masomo 3 nilikuwa naelewa sana sana economics na geography toka Olevo maana nilisoma masomo ya biashara

Advanced maths ilinipeleka ila nilipambana nayo vibaya sana

Degree yangu ya kwanza nimemaliza mwaka jana Udsm conas Actuarial science

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…