mangyi
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 723
- 877
Aseeh. Hii story nimeifuatilia kimya kimya mwanzo mwisho. Inafundisha sana.
Jooohs, wee na Agustino mna historia. Mtu akiangalia kwa haraka anaeza conclude kwamba jamaa alikutumbukiza kubaya. Ila kwa mimi naeza kusema jamaa alikufungua akili kwa kiasi kikubwa, na ukajua maisha ni nini mapema sana.
Kiukweli watu wakishibana kwenye urafiki huwa inakua ni zaidi ya ndugu. Ndio maana Agustino alitaka ufanikiwe maishani kama yeye alivyokua na ndoto hizo. Alitaka uote anachoota yeye na ndio maana kauli yake kwako alitaka uendelee kukomaa.
Kinachofurahisha ni kwamba unajua kustruggle kufanikisha isue yyte. Struggle zile zile zipeleke kwenye maisha ( na ndicho unachokifanya) hakikisha hurudi nyuma wakati unataka ufikia lengo (mf. Uliporudi kutafta mbegu kwa mara ya kwanza ulizikosa hukukata tamaa ukatimua mbio fasta akachukua tochi geto ukaziona)
Ukilenga kufanya jambo la kukufanikisha usiogope viunzi (Kama vile vya mama mwenye nyumba kukukodolea macho ukashindwa kutoa mwili ila baadae ukaamua kuruka hicho kiunzi)
Mwisho wa yote, timiza ndoto zako afu usimsahau Agustino man. Ni mpambanaji man. Mkifanya kombination mtatoboa kikubwa man.
Big up kwa kutupa funzo kubwa man. Mungu afanikishe kila ulichoplan bro
Sent using Jamii Forums mobile app
Jooohs, wee na Agustino mna historia. Mtu akiangalia kwa haraka anaeza conclude kwamba jamaa alikutumbukiza kubaya. Ila kwa mimi naeza kusema jamaa alikufungua akili kwa kiasi kikubwa, na ukajua maisha ni nini mapema sana.
Kiukweli watu wakishibana kwenye urafiki huwa inakua ni zaidi ya ndugu. Ndio maana Agustino alitaka ufanikiwe maishani kama yeye alivyokua na ndoto hizo. Alitaka uote anachoota yeye na ndio maana kauli yake kwako alitaka uendelee kukomaa.
Kinachofurahisha ni kwamba unajua kustruggle kufanikisha isue yyte. Struggle zile zile zipeleke kwenye maisha ( na ndicho unachokifanya) hakikisha hurudi nyuma wakati unataka ufikia lengo (mf. Uliporudi kutafta mbegu kwa mara ya kwanza ulizikosa hukukata tamaa ukatimua mbio fasta akachukua tochi geto ukaziona)
Ukilenga kufanya jambo la kukufanikisha usiogope viunzi (Kama vile vya mama mwenye nyumba kukukodolea macho ukashindwa kutoa mwili ila baadae ukaamua kuruka hicho kiunzi)
Mwisho wa yote, timiza ndoto zako afu usimsahau Agustino man. Ni mpambanaji man. Mkifanya kombination mtatoboa kikubwa man.
Big up kwa kutupa funzo kubwa man. Mungu afanikishe kila ulichoplan bro
Sent using Jamii Forums mobile app