Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Aseeh. Hii story nimeifuatilia kimya kimya mwanzo mwisho. Inafundisha sana.

Jooohs, wee na Agustino mna historia. Mtu akiangalia kwa haraka anaeza conclude kwamba jamaa alikutumbukiza kubaya. Ila kwa mimi naeza kusema jamaa alikufungua akili kwa kiasi kikubwa, na ukajua maisha ni nini mapema sana.

Kiukweli watu wakishibana kwenye urafiki huwa inakua ni zaidi ya ndugu. Ndio maana Agustino alitaka ufanikiwe maishani kama yeye alivyokua na ndoto hizo. Alitaka uote anachoota yeye na ndio maana kauli yake kwako alitaka uendelee kukomaa.

Kinachofurahisha ni kwamba unajua kustruggle kufanikisha isue yyte. Struggle zile zile zipeleke kwenye maisha ( na ndicho unachokifanya) hakikisha hurudi nyuma wakati unataka ufikia lengo (mf. Uliporudi kutafta mbegu kwa mara ya kwanza ulizikosa hukukata tamaa ukatimua mbio fasta akachukua tochi geto ukaziona)

Ukilenga kufanya jambo la kukufanikisha usiogope viunzi (Kama vile vya mama mwenye nyumba kukukodolea macho ukashindwa kutoa mwili ila baadae ukaamua kuruka hicho kiunzi)

Mwisho wa yote, timiza ndoto zako afu usimsahau Agustino man. Ni mpambanaji man. Mkifanya kombination mtatoboa kikubwa man.

Big up kwa kutupa funzo kubwa man. Mungu afanikishe kila ulichoplan bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nilipambana sana semaa kilicho niokoa kwenye yale masomo 3 nilikuwa naelewa sana sana economics na geography toka Olevo maana nilisoma masomo ya biashara

Advanced maths ilinipeleka ila nilipambana nayo vibaya sana

Degree yangu ya kwanza nimemaliza mwaka jana Udsm conas Actuarial science

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kijana mpambanaji piga mwendo kazi bado hujaimaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"MWANANGU ENDELEA KUKOMAA"
😢😢😢😢 hii ni painful mpaka nimenywea.
Augustino ni "mtu wa chuma", wengi jela huwa wanaanza kutoa story za kujililia kama vile"nateseka,ndugu yangu usifanye vile utakuwa kama mimi n.k"
Lakini Augustino anakwambia endelea kukomaa mwanangu.
Huyu Augustino inawezekana utotoni mwake alinyanyasika na dhiki, na ni kitu hataki nasaba nacho kabisa, nacho akaamua kufata ule msemo wa "The End Will Justify The Means"
 
Aseeh. Hii story nimeifuatilia kimya kimya mwanzo mwisho. Inafundisha sana.

Jooohs, wee na Agustino mna historia. Mtu akiangalia kwa haraka anaeza conclude kwamba jamaa alikutumbukiza kubaya. Ila kwa mimi naeza kusema jamaa alikufungua akili kwa kiasi kikubwa, na ukajua maisha ni nini mapema sana.

Kiukweli watu wakishibana kwenye urafiki huwa inakua ni zaidi ya ndugu. Ndio maana Agustino alitaka ufanikiwe maishani kama yeye alivyokua na ndoto hizo. Alitaka uote anachoota yeye na ndio maana kauli yake kwako alitaka uendelee kukomaa.

Kinachofurahisha ni kwamba unajua kustruggle kufanikisha isue yyte. Struggle zile zile zipeleke kwenye maisha ( na ndicho unachokifanya) hakikisha hurudi nyuma wakati unataka ufikia lengo (mf. Uliporudi kutafta mbegu kwa mara ya kwanza ulizikosa hukukata tamaa ukatimua mbio fasta akachukua tochi geto ukaziona)

Ukilenga kufanya jambo la kukufanikisha usiogope viunzi (Kama vile vya mama mwenye nyumba kukukodolea macho ukashindwa kutoa mwili ila baadae ukaamua kuruka hicho kiunzi)

Mwisho wa yote, timiza ndoto zako afu usimsahau Agustino man. Ni mpambanaji man. Mkifanya kombination mtatoboa kikubwa man.

Big up kwa kutupa funzo kubwa man. Mungu afanikishe kila ulichoplan bro

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana mkuu kwa mawazo mazuri ya kutia moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingekuwa mbele sasa hivi kungekuwa na movie inaitwa AGUSTINO!
AU AGUSTINO HAS FALLEN
AU Kibongo movie ungesikia HARAKATI ZA AGUSTINO.


Vipi hukiwahi kuconfess kwa bi mkubwa kuwa kile kisanga cha yeye kuvamiwa na wezi ni outcome ya mambo ya utajiri uliokuwa unatafuta?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu siwezi kabisa na sidhani kama itatoea

Maana kiukweli mama yangu ananipenda sana

Hata nilikuwa nikifanya kosa kubwa lazima atalifunika tu ili ionekane sijafanya chochote ngoja Nikuwejee mkasa wa historia yangu na mama yangu ulipo anzia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini hamkukata rufaa ya hio kesi
Kutokana na ile kesi nilivyokuwa jamaa alikuwa amezidiwa kwa kweli kutokana na ushahidi upande wa serikali waliokuwa nao

Hata wangeenda mbele bado wasingeweza kutoboa pia ukikata rufaa ukashindwa wangeongeza miaka ingefika hata 60

Achilia mbali wazazi wake wote walikuwa hawajasoma hata maswala ya rufaa sidhani kama wangewezana nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na ile kesi nilivyokuwa jamaa alikuwa amezidiwa kwa kweli kutokana na ushahidi upande wa serikali waliokuwa nao

Hata wangeenda mbele bado wasingeweza kutoboa pia ukikata rufaa ukashindwa wangeongeza miaka ingefika hata 60

Achilia mbali wazazi wake wote walikuwa hawajasoma hata maswala ya rufaa sidhani kama wangewezana nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaah mlipambana sana wewe na agu


Nasema hivi hii story ni tiba ya corona
Anaebisha alete fact hapa
 
Butimba ni gereza la wafungwa mwenye matukio makubwa makubwa,kuna father yangu mdogo kafungwa hapo ,yeye kapiga matukio makubwa,kuua,kupora na kuvunja maduka, kula bangi daaa matukio hatar,ila nashangaa huwa anatoka na kurudi tena,
Baada ya kufuta lile tope mdogo mdogo nikaanza kupandisha kimpando cha kuelekea kwa babu nikafika pale nikazuga kama nimeenda kuomba ganja akaanza kusema asubuhi yote umekuja kufanya nini nikamwambia nimekuja kufata dawa.
Akaniambia yamebaki makapi , kisha akaniuliza yule mwenzako agustino mzigo amesha leta nikasema hapana.

Ikabidi aingie ndani aniletee yaleyale makapi

Nilitoka pale kwa babu nikijua agustino hakuuza mtu yoyote kwa polisi basi nikaanza kutembea kurudi shuleni kwa yale mavazi nilishindwa nitarudi vipi ikabidi nitafute sehemu nikae nitulie nione jinsi gani nitatunga hoja .


Nilikaa mahali nikawaza agustino hana ndugu mahali pale nikasema nitafanyaje niende hata kumuona kituoni nikakosa jibu maana na mimi nilikuwa na hofia usalama wangu nilimpigia tena ndugu yake yule nikamwambia awaambie wazazi wake hata na yeye pia aje kumuona maana haikuwa mbali sana

Nilimwambia pia aje niwaoneshe getto ikiwezekana wachukue vitu vyake vya muhimu wa mtunzie jamaa aliniambia yeye anatangulia kashamwambia baba yake atakuja kesho

Basi alivyofika nilienda kumpokea pale centre tukaenda hadi getto jamaa akajitambulisha kuwa nikakaake tukavunja kufuli tumeingia ndani tafuta vitu muhimu kama simu, kadi ya banki,walet vyote hakuna na baadhi ya vitu vingine sivikumbuki

Basi yule kaka yake japo wakuvuta na kamba kesho yake akasema nije nimpeleke kituoni tumpelekee msosi mimi nilikubali ila nikamwambia nitabaki mbali kabisa usikie maafande watakwambiaje.

Kweli kesho yake nilivunja vipindi nikamsindikiza Yule jamaa alivyorudi akaniambia walimuoji ikabidi awaambie yeye ni kaka yake alitokea wilaya nyingine kuja kumletea msosi, Jamaa aliulizia kama anaweza muwekea dhamana ya pale kituoni maafande walikataa wakasema tena jarada lake linapelekwa mahakama ya wilaya

Daa jamaa alichoka tulirudi nae hadi getto kesho yake tena tukaenda kumuona na yule jamaa ndio nikajua kweli bongo nyoso yani hawakupi nafasi ya kuongea na mtu ukishapeleka msosi unaonja askari wanachukua unatembea mbele huwezi ongea hata siri na mtuumiwa , Halafu kituoni kumbe hawapiki sasa nikawa najiuliza hivi waliokamatwa na hawana ndugu karibu huwa wanakula nini kabla hawajapelekwa magereza


Kiufupi agustino kesi yake ilipelekwa mahakama ya wilaya, tena alishitakiwa na jamuhuri kwa kosa la kukamatwa na zaidi ya kili 100 za bangi tena alikamatwa na ushahidi kabisa boda boda wake kwa kujitetea ikabidi amchomee kabisa alisimama kama shahidi wa mwisho

Kulingana na mapambano ya bangi kipindi kile bila huruma hakimu alimtundika miaka 30 jela. Nimechoka kutype

Oky ngoja niendelee nakumbuka siku ya mwisho nimeenda kumuona pale magereza nikiwa nimeshika mkate na vipande vya sabuni + wembe nikajua labda kidogo kule magereza kutakuwa na utaratibu mzuri wa kuongea na mfungwa asee kufika tuliruhusiwa raia kama 20 hivi kwa mkupuo eti tuongee na wafungwa wetu kwa zile kelele sikuweza kumsikia vizuri neno nililolisikia kutoka kwake ni MWANANGU ENDELEA KUKOMAA

Na hapo nilikuwa nimetoka shuleni wilaya nyingine wakati natoka kwenye lile gereza nilijisikua huzuni sana kiasi kwamba nilijikuta na bubujikwa na machozi baada kama ya mwaka na nusu kupita nikiwa chuoni niliongea na yule kaka yake akaniambia agustino alihamishwa butimba mwanza

Kunakipindi niliona magufuli ameenda pale niliangaika sana kumtafuta agustino kwenye zile camera lakini sikufanikiwa kumuona rafiki yangu kipenzi now kamanda agustino amemaliza miaka 5 gerezani. kwa kifungo cha miaka 30 kwa jinsi wanavyo hesabu amebakiza miaka 15 gerezan

Mimi bado nikijana sana mwaka huu mwezi fulani na fikisha 24 yrs damu bado inachemka naendelea kupambana rafiki yangu mpambanaji agustino, kufa na kupona, kwa hali na mali nijipanue kiuchumii ili siku ukitoka gerezani husije kunicheka eti nilikuwa napoteza muda kitaa

Nataka uje unikute nimesha tengeneza bara bara nzuri ya kiuchumi uje tuishi maisha ya kidoni kama zilivyokuwa ndoto zako.

Nilichojifunza urafiki bora haupimwi kwa muda unapimwa kwa matendo maana niliishi na agustino katika kipindi kifupi sana lakini ameacha historia kubwa sana ndani ya maisha yangu

Nineandika kwa haraka vibaya vibaya kama kutakuwa na makosa tusameeane

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stori Kali ila inakatisha tamaa kwa sisi wazee wa kujilipua...kuna mambo nimeyaishi katika hii stori na bado nakomaa mpaka nitoboe ...

Bug up ziende kwa AG kwa uthubutu usiopimika hata kwa kipima joto ..jooohs na wewe uko vizuri tunaweza kushirikiana kupambana kama bado unaendelea kutumia njia mbadala...
 
Oky wakuu hii ndio itakuwa episode ya mwisho nawashukuru wote waliokuwa baga kwa bega toka uzi unaanza mpaka sasa tumemaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu maisha uliyopitia ni darasa tosha la maisha, pia Augustino ni wa muhimu sana katika maisha yako usimsahau kabisa ni rafiki wa kweli huyu uwe unamtembelea mara moja moja
 
Augustino ni mtu mmoja ana moyo wake.
I like the dude.
"MWANANGU ENDELEA KUKOMAA"
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] hii ni painful mpaka nimenywea.
Augustino ni "mtu wa chuma", wengi jela huwa wanaanza kutoa story za kujililia kama vile"nateseka,ndugu yangu usifanye vile utakuwa kama mimi n.k"
Lakini Augustino anakwambia endelea kukomaa mwanangu.
Huyu Augustino inawezekana utotoni mwake alinyanyasika na dhiki, na ni kitu hataki nasaba nacho kabisa, nacho akaamua kufata ule msemo wa "The End Will Justify The Means"
 
Back
Top Bottom