Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Hii story yako na ya jamaa mmoja humu anaitwa jerrybanks zinasisimua aisee, mmejifunza na tumejifunza, we won't make the same mistakes.
Dah mi naona kwa binadamu kuweza kuendana hayo mambo ya kigiza ni vigumu sana hata kama ukiweza huwezi jiita shupavu, yan unaambiwa chochote utakachokiona usiogope aisee asikuambie, mtu kila mtu nafikiri anakitu tu kitamuogopesha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Stori gani ya huyo jamaa jerrybanks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo agustino muda wote huo unajuana nae hakuwa na girlfriend hapo mtaani?
Pale mtaani kwenye kile kijiji sikuwahi mshuhudia agustino akiwa na demu yoyote siwezi conclude moja kwa moja kwamba alikuwa hana labda walikuwa wanakutana huko maporini mimi siwezi elewa

Lakini alikuwa akiongea sana kwenye simu na girlfriend wake aliyekuwa anasoma kwao nyumban anakotokea agustino ,ila mimi sikuwahi mshuhudia na macho





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale mtaani kwenye kile kijiji sikuwahi mshuhudia agustino akiwa na demu yoyote siwezi conclude moja kwa moja kwamba alikuwa hana labda walikuwa wanakutana huko maporini mimi siwezi elewa

Lakini alikuwa akiongea sana kwenye simu na girlfriend wake aliyekuwa anasoma kwao nyumban anakotokea agustino ,ila mimi sikuwahi mshuhudia na macho





Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tupatie na mbinu mbadala unayotaka kuifanya, maana heading ya stori inaonesha bado kuna vitu hujaviweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale mtaani kwenye kile kijiji sikuwahi mshuhudia agustino akiwa na demu yoyote siwezi conclude moja kwa moja kwamba alikuwa hana labda walikuwa wanakutana huko maporini mimi siwezi elewa

Lakini alikuwa akiongea sana kwenye simu na girlfriend wake aliyekuwa anasoma kwao nyumban anakotokea agustino ,ila mimi sikuwahi mshuhudia na macho





Sent using Jamii Forums mobile app
Oya mwanangu kwa kukadilia Augustino mpaka anatoka jela atakua na umri gani?
 
Alitoa story yake walikua na safari kwenda kigoma wakavamiwa na majambazi usiku, wakafanya mpango wakafika kigoma, wakamtafuta mzee mmoja hv mashuhuri kigoma akawatengenezea dawa waweze kurudiashiwa vitu vyao, kitu ambacho mganga aliwatengenezea yan ni kama lijitu flan halieleweki likatumwa kwenda kurudisha vitu vyako yani vilirudi vitu vyote aisee, ngoja nitaifuta thread yake nikutumie.
Stori gani ya huyo jamaa jerrybanks

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alitoa story yake walikua na safari kwenda kigoma wakavamiwa na majambazi usiku, wakafanya mpango wakafika kigoma, wakamtafuta mzee mmoja hv mashuhuri kigoma akawatengenezea dawa waweze kurudiashiwa vitu vyao, kitu ambacho mganga aliwatengenezea yan ni kama lijitu flan halieleweki likatumwa kwenda kurudisha vitu vyako yani vilirudi vitu vyote aisee, ngoja nitaifuta thread yake nikutumie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Poa mkuu, asante, icopy link halafu iweke hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oya mwanangu kwa kukadilia Augustino mpaka anatoka jela atakua na umri gani?
Kama factors zote zitabaki vilevile

Mfano kusiwepo na msamaha wa rahisi au kikokotoo cha magereza kisibadilike kwa jinsi wanavyo kokotoa muda

Anaweza toka na miaka 30 au 40 maana sina uhakika sana by the time anahukumia alikuwa anachezea 19 au 20 yrs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama factors zote zitabaki vilevile

Mfano kusiwepo na msamaha wa rahisi au kikokotoo cha magereza kisibadilike kwa jinsi wanavyo kokotoa muda

Anaweza toka na miaka 30 au 40 maana sina uhakika sana by the time anahukumia alikuwa anachezea 19 au 20 yrs

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekosea guys nimerudi kufanya proof reading nakuta nimeandika utopolo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa anaweza toka na miaka 39 au 40

Maana alihukumiwa na miaka 19 kama sii 20

Gerezani nasikia mtu unakaa 2/3 ya muda ulio hukumiwa
sasa jumla anatakiwa atumike 20 years

Kama msamaha wa raisi utatoka inaweza kuwa less than that

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio mbaya, bado atakua na nguvu ya kuanzia, cha msingi mwandalie njia pia na mke akifika tu anaanzisha familia.
 
Oky Inaendelea......

Nimefika pale chini ya muembe nikachuchuma huku nikiwa nimewasha tochi nikaelekeza mahali ile mimea iliyokuwa imechomoza utazani kunde nikapeleka mkono taratibu nikashika nakuanza kunyofoa kutoka ardhi lakini ilikuwa migumu hatari sikutegemea kama ingelikuwa migumi kiasi hicho

Basi wakati nimezidi kuangaika ghafla nikaona vidole vya mikono yangu vimekuwa kama kile kisu kidogo chenye spoku alichonipa mganga nimchinjie kuku kisha nimtoboe toboe

Kwa wale wapenzi wa movies nilikuwa na mkono kama wa Arnold Schwarzenegger kwenye terminator dark fate basi wakati sijastaajabu ya musa nikaona pale chini kuna jeneza halafu nimemkaba mama yangu shingo na ule mkono nataka kuinyofoa yote. asehee mpaka leo huwa nikikaaa najiuliza nilifikaje hostel za pale shuleni yaani nilitoka mbio nazani hata mzimu uliokuwa pale karibu ulibaki unacheka

Yaani nilitoka spidi hata leo ukiniuliza nilipitia njia gani sijui asee muda mwingine bangi ni mbaya asikwambie mtu breki ya kwanza nilifikia hostel nilikuwa nimechanganyikiwa kabisa nikaanza kulie mungu wangu nimemuuwa mama nitafanyaje mimi ndio mzazi niliyekuwa nimebakiwa nae nilisikitika sana juu ya maamuzi niliyokuwa nimechukua


Usiku ule siku lala kwa amani niliona masaa hayasogei nilitamani hata ningekuwa kwenye getto la agustino nichukue simi yangu nimpigie mama ni muulize unaendeleaje, jamaa wanafunzi walianza kuniuliza mbona umepanda kitandani na viatu unamchafulia mwezio godoro sikumjibu mtu yoyote

Kimoyo moyo nakaanza kulia nilikiwa na asilimia nyingi mama ndio ameenda hivyo sasa ninabaki kupambana mwenyewe na dunia niliwaza nitakuwa nimejibebea laana gani yaani bora hata ningekuwa jambazi, mwizi hata kujiuza kuliko dhambi ya kutoa kafara

Kila saa nilikuwa naangalia muda wakati huo nikaona wenzangu usiku wanatumia vizuri kwenye masomo yao iliniuma asee. Huku mimi nskomaa na ushirikina Yaani nilihisi nimetengeneza hasara katika maisha yangu ambayo haiwezi kufutika wala siwezi kuilipa

Kuna wengine wanaweza kuona kama hii story ni maigizo lakini nakwambia kabisa kabisa kutoka moyoni omba yasikukute sio wewe tu hata ndugu yako maana majuto na laana na mateso yake niyakiwango kibaya sana

Wakati ule nikiwa bado naugulia maumivi nikawa na waza agustino nini kitakuwa kimemkuta au atakuwa yeye kafanikisha nilibaki pale na maswali mengi najiuliza nisipate wakunipa majibu. Huku nikiwaza au agustino atakuwa kasha mdedisha mshua wake

Tokea nimelala sikuongea na mtu yoyote nilipoona imefika saa kumi na moja nikatoka pale hostel nikaanza safari ya kwenda getto kwa agustino nikachukue simu ni mpigie mama yangu nijue hali yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Ebana hii story nimeanza kuifuatilia tangu majuzi sasa leo ndio nimepata muda mzuri niko nafuatilia page tu page nimefikia hapa na bado naendelea kuisoma,. Dah! Mkuu Jooh kumbe umepitia mazito haya, pia nimeangalia PM yangu nimegundua tumeshawahi kupeana ushauri wa biashara za kufanya ukaniambia utafanyia kazi ushauri wangu nawe ukaniahid nikiwa tayar nikihitaji knowledge ya Forex utanifunza bila shaka,..aiseee Mkuu wewe ni mpambanaji japo ulishawishika vibaya lakini naimani sasa umejifunza mengi na umefanikiwa sana. Hakika pesa ya ushirikina ni mateso na taabu hakuna amani. wacha niendelee kujifunza kupitia haya uliopitia.
 
Unajua kusimulia chifu kuna sehemu nimecheka sana afu nipo peke yangu nasoma hii story,nimecheka mpaka machozi daa mkuu we mkali wa kusimua yaani imekuwa kama naangalia movie fulani amazing asa hapo kwenye kilinge unapambana na mvuke,jamaa wanakawa wanatupia tu mawe kwenye sufuria na mzee unaachia kilio kama mtoto mdogo, na kile kichapo cha ufagio mpaka maji yanaisha yenye ujazo wa lita 20
Yote hiyo ni kutafuta tiba ya ufukara😂😂
😀😀😀Hapa nilicheka kidogo nife maana nimeparudia kama mara tano hiv
 
Back
Top Bottom