Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaa..mimi sina neno,ila pambana mzeeBaada ya kufuta lile tope mdogo mdogo nikaanza kupandisha kimpando cha kuelekea kwa babu nikafika pale nikazuga kama nimeenda kuomba ganja akaanza kusema asubuhi yote umekuja kufanya nini nikamwambia nimekuja kufata dawa.
Akaniambia yamebaki makapi , kisha akaniuliza yule mwenzako agustino mzigo amesha leta nikasema hapana.
Ikabidi aingie ndani aniletee yaleyale makapi
Nilitoka pale kwa babu nikijua agustino hakuuza mtu yoyote kwa polisi basi nikaanza kutembea kurudi shuleni kwa yale mavazi nilishindwa nitarudi vipi ikabidi nitafute sehemu nikae nitulie nione jinsi gani nitatunga hoja .
Nilikaa mahali nikawaza agustino hana ndugu mahali pale nikasema nitafanyaje niende hata kumuona kituoni nikakosa jibu maana na mimi nilikuwa na hofia usalama wangu nilimpigia tena ndugu yake yule nikamwambia awaambie wazazi wake hata na yeye pia aje kumuona maana haikuwa mbali sana
Nilimwambia pia aje niwaoneshe getto ikiwezekana wachukue vitu vyake vya muhimu wa mtunzie jamaa aliniambia yeye anatangulia kashamwambia baba yake atakuja kesho
Basi alivyofika nilienda kumpokea pale centre tukaenda hadi getto jamaa akajitambulisha kuwa nikakaake tukavunja kufuli tumeingia ndani tafuta vitu muhimu kama simu, kadi ya banki,walet vyote hakuna na baadhi ya vitu vingine sivikumbuki
Basi yule kaka yake japo wakuvuta na kamba kesho yake akasema nije nimpeleke kituoni tumpelekee msosi mimi nilikubali ila nikamwambia nitabaki mbali kabisa usikie maafande watakwambiaje.
Kweli kesho yake nilivunja vipindi nikamsindikiza Yule jamaa alivyorudi akaniambia walimuoji ikabidi awaambie yeye ni kaka yake alitokea wilaya nyingine kuja kumletea msosi, Jamaa aliulizia kama anaweza muwekea dhamana ya pale kituoni maafande walikataa wakasema tena jarada lake linapelekwa mahakama ya wilaya
Daa jamaa alichoka tulirudi nae hadi getto kesho yake tena tukaenda kumuona na yule jamaa ndio nikajua kweli bongo nyoso yani hawakupi nafasi ya kuongea na mtu ukishapeleka msosi unaonja askari wanachukua unatembea mbele huwezi ongea hata siri na mtuumiwa , Halafu kituoni kumbe hawapiki sasa nikawa najiuliza hivi waliokamatwa na hawana ndugu karibu huwa wanakula nini kabla hawajapelekwa magereza
Kiufupi agustino kesi yake ilipelekwa mahakama ya wilaya, tena alishitakiwa na jamuhuri kwa kosa la kukamatwa na zaidi ya kili 100 za bangi tena alikamatwa na ushahidi kabisa boda boda wake kwa kujitetea ikabidi amchomee kabisa alisimama kama shahidi wa mwisho
Kulingana na mapambano ya bangi kipindi kile bila huruma hakimu alimtundika miaka 30 jela. Nimechoka kutype
Oky ngoja niendelee nakumbuka siku ya mwisho nimeenda kumuona pale magereza nikiwa nimeshika mkate na vipande vya sabuni + wembe nikajua labda kidogo kule magereza kutakuwa na utaratibu mzuri wa kuongea na mfungwa asee kufika tuliruhusiwa raia kama 20 hivi kwa mkupuo eti tuongee na wafungwa wetu kwa zile kelele sikuweza kumsikia vizuri neno nililolisikia kutoka kwake ni MWANANGU ENDELEA KUKOMAA
Na hapo nilikuwa nimetoka shuleni wilaya nyingine wakati natoka kwenye lile gereza nilijisikua huzuni sana kiasi kwamba nilijikuta na bubujikwa na machozi baada kama ya mwaka na nusu kupita nikiwa chuoni niliongea na yule kaka yake akaniambia agustino alihamishwa butimba mwanza
Kunakipindi niliona magufuli ameenda pale niliangaika sana kumtafuta agustino kwenye zile camera lakini sikufanikiwa kumuona rafiki yangu kipenzi now kamanda agustino amemaliza miaka 5 gerezani. kwa kifungo cha miaka 30 kwa jinsi wanavyo hesabu amebakiza miaka 15 gerezan
Mimi bado nikijana sana mwaka huu mwezi fulani na fikisha 24 yrs damu bado inachemka naendelea kupambana rafiki yangu mpambanaji agustino, kufa na kupona, kwa hali na mali nijipanue kiuchumii ili siku ukitoka gerezani husije kunicheka eti nilikuwa napoteza muda kitaa
Nataka uje unikute nimesha tengeneza bara bara nzuri ya kiuchumi uje tuishi maisha ya kidoni kama zilivyokuwa ndoto zako.
Nilichojifunza urafiki bora haupimwi kwa muda unapimwa kwa matendo maana niliishi na agustino katika kipindi kifupi sana lakini ameacha historia kubwa sana ndani ya maisha yangu
Nineandika kwa haraka vibaya vibaya kama kutakuwa na makosa tusameeane
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee mkuu japo hatukukutana ila ushauri wako ulikuwa mzuri sanaDuh! Ebana hii story nimeanza kuifuatilia tangu majuzi sasa leo ndio nimepata muda mzuri niko nafuatilia page tu page nimefikia hapa na bado naendelea kuisoma,. Dah! Mkuu Jooh kumbe umepitia mazito haya, pia nimeangalia PM yangu nimegundua tumeshawahi kupeana ushauri wa biashara za kufanya ukaniambia utafanyia kazi ushauri wangu nawe ukaniahid nikiwa tayar nikihitaji knowledge ya Forex utanifunza bila shaka,..aiseee Mkuu wewe ni mpambanaji japo ulishawishika vibaya lakini naimani sasa umejifunza mengi na umefanikiwa sana. Hakika pesa ya ushirikina ni mateso na taabu hakuna amani. wacha niendelee kujifunza kupitia haya uliopitia.
Gooood Jooohs,.. hiyo ni habari njema tuombe uhai tu.Asee mkuu japo hatukukutana ila ushauri wako ulikuwa mzuri sana
Kiufupi niliufanyia kazi nilikutana na jamaa mwingine humu humu akanisaidia nikapata stoo pale kawe
Ila mpaka kila kitu kinakamilika mpaka mzigo, ile pesa yote iliisha hadi nikaongezea nyìngine mahali
Now niko mkoani huu huu mwezi nageuza kurudi ukiwa free muda wowote nishitue tuone tutasaidiana vipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaah, hili life hili😙Baada ya kufuta lile tope mdogo mdogo nikaanza kupandisha kimpando cha kuelekea kwa babu nikafika pale nikazuga kama nimeenda kuomba ganja akaanza kusema asubuhi yote umekuja kufanya nini nikamwambia nimekuja kufata dawa.
Akaniambia yamebaki makapi , kisha akaniuliza yule mwenzako agustino mzigo amesha leta nikasema hapana.
Ikabidi aingie ndani aniletee yaleyale makapi
Nilitoka pale kwa babu nikijua agustino hakuuza mtu yoyote kwa polisi basi nikaanza kutembea kurudi shuleni kwa yale mavazi nilishindwa nitarudi vipi ikabidi nitafute sehemu nikae nitulie nione jinsi gani nitatunga hoja .
Nilikaa mahali nikawaza agustino hana ndugu mahali pale nikasema nitafanyaje niende hata kumuona kituoni nikakosa jibu maana na mimi nilikuwa na hofia usalama wangu nilimpigia tena ndugu yake yule nikamwambia awaambie wazazi wake hata na yeye pia aje kumuona maana haikuwa mbali sana
Nilimwambia pia aje niwaoneshe getto ikiwezekana wachukue vitu vyake vya muhimu wa mtunzie jamaa aliniambia yeye anatangulia kashamwambia baba yake atakuja kesho
Basi alivyofika nilienda kumpokea pale centre tukaenda hadi getto jamaa akajitambulisha kuwa nikakaake tukavunja kufuli tumeingia ndani tafuta vitu muhimu kama simu, kadi ya banki,walet vyote hakuna na baadhi ya vitu vingine sivikumbuki
Basi yule kaka yake japo wakuvuta na kamba kesho yake akasema nije nimpeleke kituoni tumpelekee msosi mimi nilikubali ila nikamwambia nitabaki mbali kabisa usikie maafande watakwambiaje.
Kweli kesho yake nilivunja vipindi nikamsindikiza Yule jamaa alivyorudi akaniambia walimuoji ikabidi awaambie yeye ni kaka yake alitokea wilaya nyingine kuja kumletea msosi, Jamaa aliulizia kama anaweza muwekea dhamana ya pale kituoni maafande walikataa wakasema tena jarada lake linapelekwa mahakama ya wilaya
Daa jamaa alichoka tulirudi nae hadi getto kesho yake tena tukaenda kumuona na yule jamaa ndio nikajua kweli bongo nyoso yani hawakupi nafasi ya kuongea na mtu ukishapeleka msosi unaonja askari wanachukua unatembea mbele huwezi ongea hata siri na mtuumiwa , Halafu kituoni kumbe hawapiki sasa nikawa najiuliza hivi waliokamatwa na hawana ndugu karibu huwa wanakula nini kabla hawajapelekwa magereza
Kiufupi agustino kesi yake ilipelekwa mahakama ya wilaya, tena alishitakiwa na jamuhuri kwa kosa la kukamatwa na zaidi ya kili 100 za bangi tena alikamatwa na ushahidi kabisa boda boda wake kwa kujitetea ikabidi amchomee kabisa alisimama kama shahidi wa mwisho
Kulingana na mapambano ya bangi kipindi kile bila huruma hakimu alimtundika miaka 30 jela. Nimechoka kutype
Oky ngoja niendelee nakumbuka siku ya mwisho nimeenda kumuona pale magereza nikiwa nimeshika mkate na vipande vya sabuni + wembe nikajua labda kidogo kule magereza kutakuwa na utaratibu mzuri wa kuongea na mfungwa asee kufika tuliruhusiwa raia kama 20 hivi kwa mkupuo eti tuongee na wafungwa wetu kwa zile kelele sikuweza kumsikia vizuri neno nililolisikia kutoka kwake ni MWANANGU ENDELEA KUKOMAA
Na hapo nilikuwa nimetoka shuleni wilaya nyingine wakati natoka kwenye lile gereza nilijisikua huzuni sana kiasi kwamba nilijikuta na bubujikwa na machozi baada kama ya mwaka na nusu kupita nikiwa chuoni niliongea na yule kaka yake akaniambia agustino alihamishwa butimba mwanza
Kunakipindi niliona magufuli ameenda pale niliangaika sana kumtafuta agustino kwenye zile camera lakini sikufanikiwa kumuona rafiki yangu kipenzi now kamanda agustino amemaliza miaka 5 gerezani. kwa kifungo cha miaka 30 kwa jinsi wanavyo hesabu amebakiza miaka 15 gerezan
Mimi bado nikijana sana mwaka huu mwezi fulani na fikisha 24 yrs damu bado inachemka naendelea kupambana rafiki yangu mpambanaji agustino, kufa na kupona, kwa hali na mali nijipanue kiuchumii ili siku ukitoka gerezani husije kunicheka eti nilikuwa napoteza muda kitaa
Nataka uje unikute nimesha tengeneza bara bara nzuri ya kiuchumi uje tuishi maisha ya kidoni kama zilivyokuwa ndoto zako.
Nilichojifunza urafiki bora haupimwi kwa muda unapimwa kwa matendo maana niliishi na agustino katika kipindi kifupi sana lakini ameacha historia kubwa sana ndani ya maisha yangu
Nineandika kwa haraka vibaya vibaya kama kutakuwa na makosa tusameeane
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo bora uhaiGooood Jooohs,.. hiyo ni habari njema tuombe uhai tu.
Naona story inazidi kukuchanganya [emoji23][emoji23][emoji23]Daaa
Daaaah, hili life hili[emoji11]
Jitahidi uweke link mkuu,tupate somoAlitoa story yake walikua na safari kwenda kigoma wakavamiwa na majambazi usiku, wakafanya mpango wakafika kigoma, wakamtafuta mzee mmoja hv mashuhuri kigoma akawatengenezea dawa waweze kurudiashiwa vitu vyao, kitu ambacho mganga aliwatengenezea yan ni kama lijitu flan halieleweki likatumwa kwenda kurudisha vitu vyako yani vilirudi vitu vyote aisee, ngoja nitaifuta thread yake nikutumie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ikiisha simuliz ya Mkuu Jooohs utupie hayo mauzauza watu wajifunze ama tag location tuje wazee wa adventure kutalii kidogo.Haya mambo yapo wazee. Kuna nyumba huku kwetu huwa haifahamiki mmiliki wake. Kila siku usiku watu hutoa vilio wakiwa ndani ya nyumba hiyo, ukiwa kwa nje unaona kama watu wanatembea mle ndani kupitia pazia zile za transparency. Nyumba ni kubwa haina umeme kwa hiyo mwanga unaotumika mule ni kama mwanga wa mshumaa. Eneo hilo linaogopeka sana na ukipita wakati wa mchana unakuta pako kimya kwelikweli, kuanzia usiku saa tano huwa mwanga wa mshumaa unawashwa, halafu sauti za vilio zinaanza kusikika, ni wake kwa waume huku mipishano ikiendelea mule ndani. Wanasema mwenye nyumba alishafariki miaka mingi na sijui hakuwa na familia au laa. Leo nitajiaribu kupapiga picha au kuchukua video
Mbona mimi nishamaliza kitambo mkuuMkuu ikiisha simuliz ya Mkuu Jooohs utupie hayo mauzauza watu wajifunze ama tag location tuje wazee wa adventure kutalii kidogo.
Ngoja nizipitie page zote hadi nimalize bado niko nyuma kidogo, nimefika pale masharti yaligeuka kutoa kafara ya wazazi, napata muda huwa napitia moja baada ya nyingine kwa umakin maana inasisimua kufanya uvae uhusika ukiwa unasoma.
UtutagMkuu nilisema nitaifungulia uzi wake
Nitaandika kila kitu kwa mapana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] amuandalie mke tenaSio mbaya, bado atakua na nguvu ya kuanzia, cha msingi mwandalie njia pia na mke akifika tu anaanzisha familia.
Atampenda tu. Lazma ampende. 😁😁😂
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Atampenda tu. Lazma ampende. [emoji16][emoji16][emoji23]
🤣🤣😂🙌🏾🙌🏾
Tukio la kuiba ndo kuna jamaa walikua nae alifungwa kwa kubaka lakn hili tukio la pili agustino alikamatwa na bangi akafungwa so Ni watu wawil tofaut aliokutana nao kwa wakat tofaut ktk harakat za maisha!!Mkuu mbona huku uliandika jamaa alifungwa kwa kubaka,afu huku amefungwa kwa bangi au ni watu wawili tofautiView attachment 1415589
Sent using Jamii Forums mobile app
Thubutu!! Hao police wana immunity ya ulozi? We unadhani hawafahamu kua nyumba x ina mauza uza?Hawaamini.kwahiyo kama kuna nyumba inatiliwa mashaka na wakaazi wa eneo husika haiachwi .inavamiwa kukaguliwa na jeshi la polisi bila kujali ina majini au lah!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Thubutu!! Hao police wana immunity ya ulozi? We unadhani hawafahamu kua nyumba x ina mauza uza?
Sent using Jamii Forums mobile app
mnapata matapeli halaf mnakuja kulialiaKweli kabsa man! Mi niliona kama nikufa maskini acha tu nife make siyo poa wana mambo mengi mno. Yani hakuna mafanikio yanayokufa kirahisi