Stori gani ya huyo jamaa jerrybanksHii story yako na ya jamaa mmoja humu anaitwa jerrybanks zinasisimua aisee, mmejifunza na tumejifunza, we won't make the same mistakes.
Dah mi naona kwa binadamu kuweza kuendana hayo mambo ya kigiza ni vigumu sana hata kama ukiweza huwezi jiita shupavu, yan unaambiwa chochote utakachokiona usiogope aisee asikuambie, mtu kila mtu nafikiri anakitu tu kitamuogopesha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh Unapenda story wewe
Huyo agustino muda wote huo unajuana nae hakuwa na girlfriend hapo mtaani?Naendelea kuandika maana app hii inazingua kunasiku niliandika uzi mreefu kubonyeza send wote ukajifuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Gf wake alikua anaitwa ganja aka weedHuyo agustino muda wote huo unajuana nae hakuwa na girlfriend hapo mtaani?
Pale mtaani kwenye kile kijiji sikuwahi mshuhudia agustino akiwa na demu yoyote siwezi conclude moja kwa moja kwamba alikuwa hana labda walikuwa wanakutana huko maporini mimi siwezi elewaHuyo agustino muda wote huo unajuana nae hakuwa na girlfriend hapo mtaani?
Mkuu tupatie na mbinu mbadala unayotaka kuifanya, maana heading ya stori inaonesha bado kuna vitu hujaviwekaPale mtaani kwenye kile kijiji sikuwahi mshuhudia agustino akiwa na demu yoyote siwezi conclude moja kwa moja kwamba alikuwa hana labda walikuwa wanakutana huko maporini mimi siwezi elewa
Lakini alikuwa akiongea sana kwenye simu na girlfriend wake aliyekuwa anasoma kwao nyumban anakotokea agustino ,ila mimi sikuwahi mshuhudia na macho
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya mwanangu kwa kukadilia Augustino mpaka anatoka jela atakua na umri gani?Pale mtaani kwenye kile kijiji sikuwahi mshuhudia agustino akiwa na demu yoyote siwezi conclude moja kwa moja kwamba alikuwa hana labda walikuwa wanakutana huko maporini mimi siwezi elewa
Lakini alikuwa akiongea sana kwenye simu na girlfriend wake aliyekuwa anasoma kwao nyumban anakotokea agustino ,ila mimi sikuwahi mshuhudia na macho
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa mkuu, asante, icopy link halafu iweke hapaAlitoa story yake walikua na safari kwenda kigoma wakavamiwa na majambazi usiku, wakafanya mpango wakafika kigoma, wakamtafuta mzee mmoja hv mashuhuri kigoma akawatengenezea dawa waweze kurudiashiwa vitu vyao, kitu ambacho mganga aliwatengenezea yan ni kama lijitu flan halieleweki likatumwa kwenda kurudisha vitu vyako yani vilirudi vitu vyote aisee, ngoja nitaifuta thread yake nikutumie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama factors zote zitabaki vilevileOya mwanangu kwa kukadilia Augustino mpaka anatoka jela atakua na umri gani?
Mkuu nilisema nitaifungulia uzi wakeMkuu tupatie na mbinu mbadala unayotaka kuifanya, maana heading ya stori inaonesha bado kuna vitu hujaviweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekosea guys nimerudi kufanya proof reading nakuta nimeandika utopoloKama factors zote zitabaki vilevile
Mfano kusiwepo na msamaha wa rahisi au kikokotoo cha magereza kisibadilike kwa jinsi wanavyo kokotoa muda
Anaweza toka na miaka 30 au 40 maana sina uhakika sana by the time anahukumia alikuwa anachezea 19 au 20 yrs
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anaweza toka na miaka 39 au 40
Maana alihukumiwa na miaka 19 kama sii 20
Gerezani nasikia mtu unakaa 2/3 ya muda ulio hukumiwa
sasa jumla anatakiwa atumike 20 years
Kama msamaha wa raisi utatoka inaweza kuwa less than that
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anaweza toka na miaka 39 au 40
Maana alihukumiwa na miaka 19 kama sii 20
Gerezani nasikia mtu unakaa 2/3 ya muda ulio hukumiwa
sasa jumla anatakiwa atumike 20 years
Kama msamaha wa raisi utatoka inaweza kuwa less than that
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Ebana hii story nimeanza kuifuatilia tangu majuzi sasa leo ndio nimepata muda mzuri niko nafuatilia page tu page nimefikia hapa na bado naendelea kuisoma,. Dah! Mkuu Jooh kumbe umepitia mazito haya, pia nimeangalia PM yangu nimegundua tumeshawahi kupeana ushauri wa biashara za kufanya ukaniambia utafanyia kazi ushauri wangu nawe ukaniahid nikiwa tayar nikihitaji knowledge ya Forex utanifunza bila shaka,..aiseee Mkuu wewe ni mpambanaji japo ulishawishika vibaya lakini naimani sasa umejifunza mengi na umefanikiwa sana. Hakika pesa ya ushirikina ni mateso na taabu hakuna amani. wacha niendelee kujifunza kupitia haya uliopitia.Oky Inaendelea......
Nimefika pale chini ya muembe nikachuchuma huku nikiwa nimewasha tochi nikaelekeza mahali ile mimea iliyokuwa imechomoza utazani kunde nikapeleka mkono taratibu nikashika nakuanza kunyofoa kutoka ardhi lakini ilikuwa migumu hatari sikutegemea kama ingelikuwa migumi kiasi hicho
Basi wakati nimezidi kuangaika ghafla nikaona vidole vya mikono yangu vimekuwa kama kile kisu kidogo chenye spoku alichonipa mganga nimchinjie kuku kisha nimtoboe toboe
Kwa wale wapenzi wa movies nilikuwa na mkono kama wa Arnold Schwarzenegger kwenye terminator dark fate basi wakati sijastaajabu ya musa nikaona pale chini kuna jeneza halafu nimemkaba mama yangu shingo na ule mkono nataka kuinyofoa yote. asehee mpaka leo huwa nikikaaa najiuliza nilifikaje hostel za pale shuleni yaani nilitoka mbio nazani hata mzimu uliokuwa pale karibu ulibaki unacheka
Yaani nilitoka spidi hata leo ukiniuliza nilipitia njia gani sijui asee muda mwingine bangi ni mbaya asikwambie mtu breki ya kwanza nilifikia hostel nilikuwa nimechanganyikiwa kabisa nikaanza kulie mungu wangu nimemuuwa mama nitafanyaje mimi ndio mzazi niliyekuwa nimebakiwa nae nilisikitika sana juu ya maamuzi niliyokuwa nimechukua
Usiku ule siku lala kwa amani niliona masaa hayasogei nilitamani hata ningekuwa kwenye getto la agustino nichukue simi yangu nimpigie mama ni muulize unaendeleaje, jamaa wanafunzi walianza kuniuliza mbona umepanda kitandani na viatu unamchafulia mwezio godoro sikumjibu mtu yoyote
Kimoyo moyo nakaanza kulia nilikiwa na asilimia nyingi mama ndio ameenda hivyo sasa ninabaki kupambana mwenyewe na dunia niliwaza nitakuwa nimejibebea laana gani yaani bora hata ningekuwa jambazi, mwizi hata kujiuza kuliko dhambi ya kutoa kafara
Kila saa nilikuwa naangalia muda wakati huo nikaona wenzangu usiku wanatumia vizuri kwenye masomo yao iliniuma asee. Huku mimi nskomaa na ushirikina Yaani nilihisi nimetengeneza hasara katika maisha yangu ambayo haiwezi kufutika wala siwezi kuilipa
Kuna wengine wanaweza kuona kama hii story ni maigizo lakini nakwambia kabisa kabisa kutoka moyoni omba yasikukute sio wewe tu hata ndugu yako maana majuto na laana na mateso yake niyakiwango kibaya sana
Wakati ule nikiwa bado naugulia maumivi nikawa na waza agustino nini kitakuwa kimemkuta au atakuwa yeye kafanikisha nilibaki pale na maswali mengi najiuliza nisipate wakunipa majibu. Huku nikiwaza au agustino atakuwa kasha mdedisha mshua wake
Tokea nimelala sikuongea na mtu yoyote nilipoona imefika saa kumi na moja nikatoka pale hostel nikaanza safari ya kwenda getto kwa agustino nikachukue simu ni mpigie mama yangu nijue hali yake
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀Hapa nilicheka kidogo nife maana nimeparudia kama mara tano hivUnajua kusimulia chifu kuna sehemu nimecheka sana afu nipo peke yangu nasoma hii story,nimecheka mpaka machozi daa mkuu we mkali wa kusimua yaani imekuwa kama naangalia movie fulani amazing asa hapo kwenye kilinge unapambana na mvuke,jamaa wanakawa wanatupia tu mawe kwenye sufuria na mzee unaachia kilio kama mtoto mdogo, na kile kichapo cha ufagio mpaka maji yanaisha yenye ujazo wa lita 20
Yote hiyo ni kutafuta tiba ya ufukara😂😂