Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

joooh, nimesoma comments karibu zote, wadau wamemaliza. Sitaki nirudie Ila kwangu kunafunzo tofauti kidogo na wenzangu.

Jamii inamtazama Augusto Kama mtoto au kijana aliyepotoka sana, na pengine Kuna watu walisema akome, ameacha Shule anashughulika na bangi.

Binafsi, kwa kusoma hii habari, nimepata funzo kwamba Augusto hakukengeuka alikuwa kijana mwenye maono, akaanza kuyatekeleza, akateleza,

Eagerness and greed ya mafanikio, imemuweka pale, na Hana moyo wa kukata tamaa,

Kama kila mwanajamii angemtazama Augusto kwa maono yake asingeweza kusema amekengeuka.

Mungu akupe afya na nguvu huko gerezani, Ono lako liko hi na utakuwa tajiri, ukitoka.

Rafiki mpambanie nduguyo, ijali familia yake, mtembelee Mara kwa Mara as much as practicable. HILI NI JEMBE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It's true "...urafiki bora haupimwi kwa MUDA, bali upimwa kwa MATENDO..."

Ni story iliyojaa visa vya kusisimua na mafundisho.

Asante sana chief Joh kwa hili na pia pole kwa yaliokukuta, maana mimi nisiyeweza hata kupata taswira ya bwana Agu nina jisikia hivi, infact I can't imagine kwa upande wako ikoje.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Augustino bado anaishi,,akitoka atatusua tu.


It is not over until you are dead!!!!


Kikubwa uhai tu
 
Aisee story tamu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo kesi anatoka ata Kama kafungwa.....anakata rufaaa..alimradi uwe na mzego kiaina...ila Ni kesi rahisi Sana kwa mda aliokaa....na kwakua Ni kesi alishtakiwa na jamhuri Ni rahisi zaidi kutoka. Hapa wahudhuriaji wa mahakamani hope mtanielewa...tafta mtu ambae anacheza karibu na magereza na Mahakama akupe staili....maana siez weka inafanyikaje iyo makitu
 
Dah mkuu nimecheka hatar nataman Kama ungeelezea kwa kirefu zaid
 
Jaman NAOMBENI msaada Kuna Uzi nautafuta Ila nimejisahau jina lake

Kuna jamaa alikua na rafiki yake ambaye alikua mwizi mwizi na pia walikua wanafunga sungura

Wakienda kukata majani kila nyumba wanayoipita yule rafiki yake anasema pale no kwandug yangu halafu anaenda kuiba bila jamaa kujua

Kifo Cha huyo jamaa kilitokana na kuumwa na mbwa alipoenda kuiba kwenye nyumba ya mzungu


Pliz anaekumbuka huo Uzi naomba anitag
 
Aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…