Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Oookay inaendelea.

Baada ya kuufungua mlango kwa nguvu ya teke moja kama Jin Claude Van Damme ulidondoka nami nikadondoka nao hadi chini nikazimia.
Wakati nimezimia pale nikawa natafakari, nani aliufunga huu mlango kwa ndani? Nilitafakari kama nusu saa nzima, nikaona pwetelea pwete acha nizinduke mwanawane. Ile kuzinduka tu naangalia kitandani namkuta yule mama mwenye nyumba yupo uchi wa mnyama, pembeni Kuna paketi mbili za rough rider, guess what popped out? Nilimla.
Bimaza akaelewa mikato, mana nilimchezeshea show zile za watoto wa boyzia kisha tu kamaliza fresh. Akanipatia kibunda cha minoti kama Milioni 10,sijui zilikotoka mle ndani, kisha akanikumbatia, alivyomaliza tu na kurudisha uso kwenye posture yake Looo alikuwa ni AUGUSTIONO[emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom