Baada ya Ole Nasha kufariki ni wakati wa Mkataba wa bandari ya Bagamoyo kuwa wazi

Wanaolalamika ni wale wachache waliokuwa wakinufaika na upendeleo, serikali ilikuwa imewagawa wananchi katika makundi hawa wanyonge,hawa wapiga kura wangu, wengine wakilalamika wanaambiwa ni wapiga dili! Ulikuwa ni utawala mbovu kuwahi kutokea Tanzania.
 
Bill Shaka wewe umejifungia ndani kwenye kiyoyozi na hujui malalamiko na manung'uniko mitaani na majumbani...na inawezekana wewe ni miongoni mwa waliomzunguka kiongozi wetu na kusema kuwa Hali ni shwari...
 
Uwanja chato upo, unapohamisha Gori ndipo penye tatizo kwa kuwa tuna Kiwanja chato mkataba wa bandari lzm tuingie kwani chato ni ulaji wa magufuri na hao akina kikwete nao lzm wale si ndiyo?
 
Uwanja chato upo, unapohamisha Gori ndipo penye tatizo kwa kuwa tuna Kiwanja chato mkataba wa bandari lzm tuingie kwani chato ni ulaji wa magufuri na hao akina kikwete nao lzm wale si ndiyo?
Wewe binafsi unapinga ujenzi wa bandari ya bagamoyo kwa sababu gani hasa, tuanzie hapo maana tusiwe tunabishana tu kumbe hatuna sababu ya kufanya hivyo.
 
Wewe binafsi unapinga ujenzi wa bandari ya bagamoyo kwa sababu gani hasa, tuanzie hapo maana tusiwe tunabishana tu kumbe hatuna sababu ya kufanya hivyo.
Inapoonekana kwa ujenzi wa chato airport magu alikula hivyo kikwetes nao wale kwa bandari ya bagamoyo hiyo siyo sawa,masharti ya ujenzi magu alisema yalitaka bandari zingine zisiendelezwe hili nalo hsliko sawa.
 
Inapoonekana kwa ujenzi wa chato airport magu alikula hivyo kikwetes nao wale kwa bandari ya bagamoyo hiyo siyo sawa,masharti ya ujenzi magu alisema yalitaka bandari zingine zisiendelezwe hili nalo hsliko sawa.
Basi itakuwa haijengwi kwa sababu Mungu Magufuli alikataa.
 
Basi itakuwa haijengwi kwa sababu Mungu Magufuli alikataa.
Magufuli alisha fariki, leo nchi inaongozwa na mtu mwingine, na rais wa nchi Kama yetu ni Kila kitu hivyo Kama amekubali kujengwa itajengwa tu,kama ambavyo leo nawaona mnabarakoa magu hakutaka hayo Mambo kabisa.na hiyo dhalau ya kumwita magu Mungu endelea nayo lzm utavuna tu huko tuendako.mmekalia wizi uongo na ufitini hamna hata jema,
 
Nadhani wewe ndio unavunza kichwani.
Wachina wkipewa bandari kwa miaka 99 itakuwa yetu.
Na kwa jinsi wachina walivyo asilimia kubwa ya wafanyakazi itakuwa wao
Wewe hata hujawahi kumiliki kijiko chako cha Kula!!..Ndio maana hujui kwamba hata Mtanzania wa kawaida ukipewa Hati ya Kiwanja ni (Miaka 33,66 au 99) na hujui kwamba Arthi yote ya Tanzania ni Mali ya Raisi!!.. Endelea kunyonya
 
Nadhani wewe ndio unavunza kichwani.
Wachina wkipewa bandari kwa miaka 99 itakuwa yetu.
Na kwa jinsi wachina walivyo asilimia kubwa ya wafanyakazi itakuwa wao
Ukitaka kujibu kitu angalia uwezo wako Kwanza wa kufikiri!!..Kama JPM alishindwa kujua Ardhi yetu ni Mali yake (Raisi) ina nipa wakati Mgumu kufikiria alikua anafanyaje maamuzi yake!!.. Uwekezaji wowote una anzia kwenye Ardhi!!..Naona ndio umeingia sebuleni,Shemeji kashaondoka Ndugu yangu??
 
Unajua moja ya vitu ambavyo Magufuli amefanikiwa kwa kiasi kikubwa ni kuvuruga akili za watu jamaa ameingia ndani ya vichwa vya watu na kuwaaminisha vitu vya ajabu sana kiasi cha kuamini kila anachokisema,sasa hivi unasikia mtu anabisha juu ya kitu fulani ukimuuliza utasikia Magufuli alikataa au alisema hivi na vile yaani mtu anataka Watanzania wote tukubaliane na kila kilichosemwa na Magufuli hutakiwi kutilia shaka wala kuhoji chochote kama vile yeye ndiye alikuwa Mungu wetu.
 
Watu wanaongelea kuhusu 99 years ya Ardhi Bagamoyo wanashindwa kujua ni kawaida sana!!.... Unaweza kujiuliza hii imekuaje Raisi hajui kuhusu sheria ya Ardhi!!..
 
For sure she is competent, lakini hajiamini kama anaweza bila timu JK
 
Mkuu kwanza asante kwa kuelezea. Lakini watu wana wasiwasi na mradi wa bandari ya Bagamoyo kwasababu za msingi. Sababu kubwa tulielezwa kwamba masharti waliyotupa Wachina hayakuwa rafiki. Sasa iweje leo majadiliano ya ujenzi yanaendelea na wale wote waliokataa mkataba na Wachina wametupwa nje. Sasa haya ndio maswali watu wanataka wajibiwe.
 
Mkuu James Martin , mikataba yote ni give and take, hata mkataba wa ndoa, mke atatunzwa, Lula bure, kuvaa bure na kuishi kwenye nyumba bure ila na yeye lazima afungue miguu!. Hivyo mkataba wa Bagamoyo ni kweli ni miaka 99, huu sio wa kwanza wala sio wa mwisho. Kinachotakiwa ni a win win situation, kila mmoja apate kwa haki.
P
 
Ndugu kweli kila kifo ni mpango wa Mungu lakini wakati mwingine aina au sababu za kifo husababishwa na wanadamu na ndio maana huko mahakamani kuna kesi za mauaji ingawa kifo ni mipango ya Mungu........

Lazima tujadili mambo kwa upana na mawazo huru ili kufikia muafaka kama taifa kwa maslahi ya taifa........

Tanzania ni nchi yetu sote haipaswi kikundi cha watu wachache kwa maslahi yao kuwa hatima za mamilioni ya WaTanzania..........

Kama hiyo Bandari ni kwa ajili ya WaTanzania na itawanufaisha WaTanzania kwanini WaTanzania wanafichwa kilichomo kwenye mkataba huo.....???

Kwanini iwe siri....??

Kifo cha Ole Nasha ni kifo kama kingine lakini inawezekana motive ya kifo chake ikawa imepangwa kwa manufaa ya wengine.......
 
Kweli mkuu hayo ndio maswali ya msingi.....kwanini watanzania awekwe kando kwenye mpango unaodaiwa kuwanufaisha wao......??
 
Kipengele pekee kwenye huo mkataba ni hiyo miaka 99 tu......?
 
Uzi mzuri lakini umeharibiwa na waropokaji wachache wasiojua kupangilia hoja badala yake wamejikita kwenye matusi na kejeli......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…