Jizi limeshakufa kwa Corona toka March.Cheki jizi hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jizi limeshakufa kwa Corona toka March.Cheki jizi hili
bungeni wapinzani walichaguliwa kuwa wawakilishi?Hivi Tanzania Kuna upinzani kweli?
Eti watch out!!!..Wewe Una fwata mkumbo wakati hata Mama Samia aliweka wazi tulipitia wakati mgumu akaenda mbali kusema tusamehane na kukubali tuliteleza wewe hujui chochote !!..Beberu ndio anakupa madawa,Elimu na makazi Bora, Nguo alafu nini?!!...Nadhani wewe ni mropokaji mkubwa sana na ni hatari kwa taifa hili...Uhuru umekuwepo TZ kwa muda mrefu mno...hata kipindi Cha miaka mitano iliyopita Uhuru ulikuwelo Tena mkubwa kabisa...mitandao ilikuwepo na wapinzani walikuwepo na kauli zao.
Kwa hiyo jizi jipya limetek overJizi limeshakufa kwa Corona toka March.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huoni shida unazopata bado sio mateso?!!.... unadhani Hadi kufikiria Atarudi ni akili za kawaida?!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna mkataba ambao uko wazi na hautakuja kutokea!!..Furahia sasa unaweza kutoa maoni ukiwa huru tofauti na miaka 5 iliyopita!!..Ungekua unafurahia tu kama Ndondocha!!
Wamebaki vibaraka wake.Kwa hiyo jizi jipya limetek over
Aliokota Hadi Ambulance unafanya mchezo!!...Magufuli alijua Bongo viazi mviringo wapo wengi sana ndio maana hata alipodai kuokota vichwa vya treni bandarini bado walishangilia, Bongo raha sana.[emoji23][emoji23][emoji23]
😃😃😃Aliokota Hadi Ambulance unafanya mchezo!!...
Tatizo kubwa kabisa Tanganyika , ni katiba kumfanya mtu anaekalia kiti cha u Rais kuwa mungumutu asiyehojiwa na chochote nchini . KamunduJibu maswali yangu! Nani kasma naangalia soko la ndani?
Ujinga huondoka pindi unapokubali kuwa mwanafunziWewe una level gani ya uelewa? Unataka kila mtu akubali kila uongo na uzushi unaozushwa kila akifa mtu basi huyo mtu kauliwa ili kina fulani wafanye ufisadi,je waliokufa wakati wa yule Bedui nao tusemeje? Usinipangie cha kuandika humu.
Katafute video za mwendazake za nyuma zisikilize kwa umakini halafu urudi na hoja yako....tushukuru mungu hakufika miaka 10.Lindeni Rasilimali zenu kwa kuweka maendeleo kwenu.
Sasa wewe fikiria kwa sasa content context nchini ni Ubaguzi uliokaa kikanda.
Hii ina maana kuna mvunjiko.
Watanzania tumeungana vizuri kwa sasa.
Tunachoweza kudumisha ni Upendo tulionao nchini ila Ukanda tunaweza kuukuza tu kwa sababu hao wanaowakera wanataka wanalinda ukanda.
Amin Amin nawaambieni Tanganyika itakuja kufufuka na itakuwa Tanganyika yenye majimbo imara yanayojitegemea yanayokumbatikwa na Serikali ya Tanganyika.
Kwa muundo kama zilivyokuwa Cooperative Unions zilizoletwa na Mwalimu Nyerere zikafikia mahali kuwa na sura ya mamlaka au tawala ya jimbo mpaka Uzuri (kuimarika kwake) wake ukamtisha mwalimu akayavunja tena.
Watu wa pwani na wazanzibar wanalijua hili miaka mingi na ndio maana kupitia Chama cha Mapinduzi ya Zanzibar siku zote uimara wake hujengwa na watu wa pwani!
Naam Endeleeni kuwaita SUKUMA GANG wote wanaotoa maoni kinzani kwa miradi inayoelekezwa ukanda mmoja wa pwani.
Hongera kwa aliyeelewa!
You have quoted him out of contextHamko huru kama mnavyofikiria!!!..Kauli ya Mwendazake!!!...Ila wewe huko Kwa Shemeji uko huru sana!!...
Hahahaha out of context [emoji28][emoji14][emoji28][emoji28]You have quoted him out of context
Ni jinsi unavyo jaribu kutetea mambo ya ajabu wakati Mama alisema tusamehane!!..Wewe ulikua Huru kuliko Makamu wa Raisi na Baraza la Mawaziri au Wabunge!!!..Wewe yawezekana sio Mtanzania!!..Duh...sawa..nilale iwe nini...a tyiipical Tanzanian...kulala na shemeji yako ndiyo mwa fikra zako...
Sijawahi kuona mtu mjinga kama wewe. Hivi unaweza kulinganisha mikataba ya manunuzi ya ndege na ujenxi wa bandari?Sasa hivi mnaangaika sana mnazusha kila uongo ili muhalalishe mnachokizua hii haisaidii chochote zaidi ya kuchonganisha watu, halafu ebu weka angalau ile mikataba ya ununuzi wa ndege na ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato uliyowahi kuoneshwa na yule bwana wenu mnayempiginia wacha mikataba mingine iliyoingiwa na huyo mnayemuabudu na kumuona ni Mungu mtu halafu ndio mdai hiyo mingine.
Sina haja hiyo ya videos alizoongea mmoja aliyepata fursa ya kufidia kwa kuwa msingi wa idea yangu hauendani na umagufuli.Katafute video za mwendazake za nyuma zisikilize kwa umakini halafu urudi na hoja yako....tushukuru mungu hakufika miaka 10.