Baada ya Ole Nasha kufariki ni wakati wa Mkataba wa bandari ya Bagamoyo kuwa wazi

Kuna mkataba gani uliwahi kuona?!!..
 
Mikataba ya nchi huwa ni SIRI. ..sasa unataka ujue ili iweje? kwani huiamini Serikali yako ya Chama Cha Mapinduzi kwamba inaweza kuingia mikataba isiyo na maslahi kwa umma? kwa nini ?

Usiwe na mawazo hayo, ondoka wasiwasi CCM ipo makini sana kila nyanja, kila sekta, kila mkataba - Kifungu kwa kifungu, neno kwa neno.
 
una anzaje kuiamini serikali inayo ongozwa na kiumbe ambae hajakamilika kama sisi tuu..?
 
Jibu hoja mkuu za hapo.
 
Huu mradi yamkini umetoa watu wengi roho ili utekelezwe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…