Baada ya Ole Nasha kufariki ni wakati wa Mkataba wa bandari ya Bagamoyo kuwa wazi


Tusisahau watanzania ni karibia mil 60. Tuache mambo ya kukopa au kuanzisha miradi ya kuneemesha watu wachache tu.
Hivi hatukomi kuanzisha kashfa zisizoisha?
 
Sukuma gang bana....
 
Tuache siasa ndugu....tuje kwenye hoja za msingi.....Tanzania ni yetu sote.......
Tuache ujinga wa kuwa na dhana mbaya na kubeza kila linalofanywa na utawala uliopo na kutaka kuaminisha watu tena kwa nguvu kwamba eti ni Magufuli tu ndiye aliyekuwa na nia njema na nchi hii na kwamba wengine wote ni wapigaji tu,huko ni kumkufuru na kumkosea mwenyezi Mungu kwani mwenyezi Mungu kama aliweza kumuumba huyo Magufuli atashindwaje kuumba wengine kama yeye?
Binafsi naamini utendaji kazi wa Rais Samia ni wa makini na ni wenye lengo la kuleta manufaa kwa taifa na wananchi wake kwa ujumla hivyo sikubaliani na upuuzi wowote unaeletwa na mtu yeyote kwa sababu ya chuki zake binafsi.
Najua hivi sasa kuna vita kubwa inayoendelea baina ya makundi fulani fulani kwa sababu ya utashi wao binafsi tu na wengine wamekuwa wakipinga utawala wa Rais Samia lakini huwezi kuwasikia wakizisema wazi sababu zao(halisi) bali wao wamebaki tu kujificha kwenye box la "uzalendo".
Watu hawa ndio wamekuwa vinara wa kuzua uongo kila kukicha ili tu watimize kile wanachokusudia,
Watu hawa ni sawa na chui waliojivika ngozi ya kondoo,
Watu hawa ukiwatizama usoni wanajionesha tofauti na walichokificha ndani ya mioyo yao.
Hawa watu ni wanafiki na ni wabinafsi na ni watu hatari sana.
 
Mimi sijwahi kuona Mkataba ulio wazi na wakauweka mahali nikausoma kama mwananchi
Nasubiri niuone mkataba huu kabla haujasainiwa
Au sijui watauweka live
Natania kukiwa na ukweli ndani yake
Hakuna mkataba wa wazi kwetu tusijidanganye never
 
Wanatia huruma sana chato gangπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Naibu Waziri hata sio mjumbe wa Baraza la Mawaziri sasa mtu amuue kwa sababu gani?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Poleni sana chato gang uzandiki wenu unashtukiwa mapema
 
Wanatia huruma sana chato gangπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Naibu Waziri hata sio mjumbe wa Baraza la Mawaziri sasa mtu amuue kwa sababu gani?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Poleni sana chato gang uzandiki wenu unashtukiwa mapema
Ni vita vya kimaslahi maana toka mtu wao afe wapo baadhi wamepoteza fursa za kujinufaisha kutokana na upendeleo waliokuwa wakiupata sasa wanateseka lakini wanajificha kwenye kichaka cha kujiita wazalendo kumbe uzalendo wenyewe ni yale maslahi yao binafsi.
 
Huenda familia ya Kikwete ndo wajumbe na wachumia tumbo kadhaa.
 
Ungejaribu kujibu hoja badala ya kumshambulia mtoa hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…