Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hivi Tanzania Kuna upinzani kweli?
Upo, ila ni ule usioifurahisha ccm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Tanzania Kuna upinzani kweli?
Mkuu Kamundu , hili la uadilifu wa Comred Ole Nasha, nakuunga mkono hata mimi nimezungumzia hapa Tribute to William Ole Nasha: Alikuwa Miongoni Mwa Viongozi Wachache Bonafide Genuine Wazalendo wa Kweli waTaifa Hili. RIP Comred William Ole Nasha!Waziri Ole Nasha ndiye aliyekuwa waziri ambaye kapewa majukumu ya ufuatiliaji wa mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo wenye makadirio ya thamani $10B. Watanzania wengi ni lazima tujiulize huyu waziri kijana kuondoka katika mazingira haya akiwa katikati ya mkataba mkubwa hivi.
Kwa kutoa Watanzania wasiwasi na kuzingatia tajari tulisha ambiwa kuna madudu mengi sana kwenye huu mkataba. Lakini China nayo imekuwa ikisema kusuhu kuwa na base za kijeshi kwenye bandari zao ni lazima mkataba uwe wazi ili Watanzania wote tujue tunaingia kwenye mkataba wa namna gani. Wakina Samia na Kikwete hawatakuwepo pale China ikipewa bandari kwa miaka 99 na bandari kuwa kama balozi hivyo China kufanya wanalotaka.
Pamoja na mambo ambayo hatuyajui ni
1. Kuna umuhimu gani wa kuwa na bandari tatu karibu ya Tanga, Dar na hii ya Bagamoyo
2. Bandari ya Bagamoyo watarudisha vipi uwekezaji wa $10B bila kuchukuwa mizigo ya bandari ya Dar!. Je itawezekana vipi hizi bandari mbili kuongeza mizogo kwa zote!?. Na bandari ya Dar kuna mtu anafikiri watapata tena mizigo ya kutoka China?.
3 Tujue China ni kama inatawala shaba kule Zambia ndiyo mjenzi wa Tazara Je mizigo ya Zambia itaendelea kupitia bandari ya Dar au Bagamoyo?
Ukiangalia vizuri hii bandari ya bagamoyo ni mradi wa watu wachache. Hivyo viwanda wanavyosema watajenga sio viwanda ni magodauni ya kuweka mizigo huo ndiyo ukweli. Hakuna kiwanda eti kinasubiri bandari kwasababu Tanzania tuna bandari na maeneo ya ujenzi sasa hivi. Lakini kuna pesa ya mafuta na bomba linaenda Tanga ni kwanini tusikuzi pale ambapo tayari tuna uhakika wa soko kubwa na pesa? Tanga kuna umbali gani???! na hii ingefanya bandari zote bado ziwe chini ya TPA. Hii bandari ya Bagamoyo haitakuwa ya TPA tujue hilo.
Msishangae mtoto wa Kikwete kualikwa China eti kwenye mafunzo na kuacha wabunge wengine wenye uzoefu. Hii yote ni mradi wa bandari na hawa Kikwetes tuwe nao makini sana. Vilevile tusiwaamini wapinzani kwenye hili China wanauwezo wa kuhonga mpaka upinzani. Kitu kimoja tu tunaomba ni uwazi mkataba wekeni hapa na sio kutudanganya kwa mambo ya kazi. Vilevile Ole Nasha kufariki ni kitu cha kujiuliza sana maana tunasikia alianza kupinga mambo mengine.
Karibu katika darasa huru la shule ya uongozi, utapata jibu lakoView attachment 1959688
Rais mstaafu JK anastahili heshima yake, tumuache ale pension yake kwa amani, kama una hoja kuhusu matatizo ya bandari ya Bagomoyo, itoe na hiyo ndiyo ioneshe JK ana makosa.Hii bandari lazima Ile vichwa vya watu tunadubiri upuuzi wa hawa kina mangungo wa msovero .kwa kweli wazarendo tuliobaki tutapambana. Yaani huyu JK sijui anafanya nini kwetu
InapanuliwaNdiyo kwasababu upanuzi unaendelea mfano bandari ya Tanga kuna itakuwa inasafirisha mafuta ya Uganda sasa kwanini isikuzwe hii ? Bandari ta Dar imeanza kupanuliwa kuanzia wakati wa Magu . Mtwara inapanuliwa zaidi. Ingepeza kama utajibu maswali yangu
LOoooh, hata sijui kama wewe ndiye hasa mwasisi na mwandishi wa mada hii; na kama ni kweli, basi huenda Tanzania tumekwishaingiliwa hadi mvunguni.Waziri Ole Nasha ndiye aliyekuwa waziri ambaye kapewa majukumu ya ufuatiliaji wa mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo wenye makadirio ya thamani $10B. Watanzania wengi ni lazima tujiulize huyu waziri kijana kuondoka katika mazingira haya akiwa katikati ya mkataba mkubwa hivi.
Kwa kutoa Watanzania wasiwasi na kuzingatia tajari tulisha ambiwa kuna madudu mengi sana kwenye huu mkataba. Lakini China nayo imekuwa ikisema kusuhu kuwa na base za kijeshi kwenye bandari zao ni lazima mkataba uwe wazi ili Watanzania wote tujue tunaingia kwenye mkataba wa namna gani. Wakina Samia na Kikwete hawatakuwepo pale China ikipewa bandari kwa miaka 99 na bandari kuwa kama balozi hivyo China kufanya wanalotaka.
Pamoja na mambo ambayo hatuyajui ni
1. Kuna umuhimu gani wa kuwa na bandari tatu karibu ya Tanga, Dar na hii ya Bagamoyo
2. Bandari ya Bagamoyo watarudisha vipi uwekezaji wa $10B bila kuchukuwa mizigo ya bandari ya Dar!. Je itawezekana vipi hizi bandari mbili kuongeza mizogo kwa zote!?. Na bandari ya Dar kuna mtu anafikiri watapata tena mizigo ya kutoka China?.
3 Tujue China ni kama inatawala shaba kule Zambia ndiyo mjenzi wa Tazara Je mizigo ya Zambia itaendelea kupitia bandari ya Dar au Bagamoyo?
Ukiangalia vizuri hii bandari ya bagamoyo ni mradi wa watu wachache. Hivyo viwanda wanavyosema watajenga sio viwanda ni magodauni ya kuweka mizigo huo ndiyo ukweli. Hakuna kiwanda eti kinasubiri bandari kwasababu Tanzania tuna bandari na maeneo ya ujenzi sasa hivi. Lakini kuna pesa ya mafuta na bomba linaenda Tanga ni kwanini tusikuzi pale ambapo tayari tuna uhakika wa soko kubwa na pesa? Tanga kuna umbali gani???! na hii ingefanya bandari zote bado ziwe chini ya TPA. Hii bandari ya Bagamoyo haitakuwa ya TPA tujue hilo.
Msishangae mtoto wa Kikwete kualikwa China eti kwenye mafunzo na kuacha wabunge wengine wenye uzoefu. Hii yote ni mradi wa bandari na hawa Kikwetes tuwe nao makini sana. Vilevile tusiwaamini wapinzani kwenye hili China wanauwezo wa kuhonga mpaka upinzani. Kitu kimoja tu tunaomba ni uwazi mkataba wekeni hapa na sio kutudanganya kwa mambo ya kazi. Vilevile Ole Nasha kufariki ni kitu cha kujiuliza sana maana tunasikia alianza kupinga mambo mengine.
Hakuna upinzani TanzaniaHivi Tanzania Kuna upinzani kweli?
Tusisahau watanzania ni karibia mil 60. Tuache mambo ya kukopa au kuanzisha miradi ya kuneemesha watu wachache tu.
Hivi hatukomi kuanzisha kashfa zisizoisha?
Pumba... V acha dharauHivi Tanzania Kuna upinzani kweli?
Hata ukiwepo watafanya nini kwenye Nchi yenye matahira kama Tanzania.Hakuna upinzani Tanzania
Hakuna upinzani Tanzania
Mkataba wa Bandari ulisainiwa wa kwanza. Huu ndio tuujadili kwa sasa. Pia hakuna mchina kwenye ununuzi wa ndege. Tupo wenyewe. Tunamudu.Sasa hivi mnaangaika sana mnazusha kila uongo ili muhalalishe mnachokizua hii haisaidii chochote zaidi ya kuchonganisha watu, halafu ebu weka angalau ile mikataba ya ununuzi wa ndege na ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato uliyowahi kuoneshwa na yule bwana wenu mnayempiginia wacha mikataba mingine iliyoingiwa na huyo mnayemuabudu na kumuona ni Mungu mtu halafu ndio mdai hiyo mingine.
Wewe na wao ni sawa tuHao watu wamechangayikiwa toka yule waliyekuwa wanamsujudia kwa sababu ya maslahi yao afe wamevurugwa akili.
Kuna kundi la watu na familia zao hawakomi. Wanaona nchi ni yao na wao ndo wanaostahili kuamua kila kituTusisahau watanzania ni karibia mil 60. Tuache mambo ya kukopa au kuanzisha miradi ya kuneemesha watu wachache tu.
Hivi hatukomi kuanzisha kashfa zisizoisha?
Nchi hii ina mambo yanakera sana. Mpaka sasa huyu aliyejiunganishia mafuta bandarini hatujui ni nani, na inaonekana kama hakuna anayejali.
Kuna wakati huwa najiuliza hivi nchi hii ikiongozwa bila kuwepo mhimili wa bunge; mwananchi atapungukiwa kitu gani!
What a stroke of a genius !!!Mi napata wakati mgumu hasa nikijaribu kuchungulia ambao hawapo kwenye zile nafasi ambao walikataa ile proposal ya awali.
Kamati ya majadiliano ilikuwa chini ya Prof. Kabudi wakati wajumbe wakiwa
1. Engineer Mfugale
2. Dkt. Chamuriho
3. Engineer Kakoko
4. Dkt Kilangi (Alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali)
Ao wote hawapo leo kwenye zile nafasi na ukiangalia iyo list unaweza kuona kwanini ule mradi ulikataliwa sasa sijui wanasiasa watokaokuwa kwenye kamatu ya sasa ya mazungumzo.
CCM wanasemaga mawaziri wao wote vijana hata kama ni above 40Ole Nasha (RIP) alikuwa 'Waziri kijana"???
Hiyo inakuwa Bandari ya Uchina. Nil sawa tumemuuzia Mchina ardhi ya kujenga bandari wakati sisi tuna Bandari zetu.Hati zote za Uwekezaji ni 99 years sasa uache kuandika kabla hujatafiti!!... Haiwezekani Bandari zote zisimame kwasababu ya hii ya Bagamoyo,Ni watu wajinga na wapumbavu pekee ndio watakubali uongo huu!!.. Bandari ya Bagamoyo sio ya Kwanza (Bagamoyo inayo Bandari ya Kwanza)...Ujenzi wa Bandari hii ni kufungua nchi kuzuri!!..Sasa hivi mizigo yote ya Bagamoyo na baadhi ya mikoa ya karibu inapita Dar es salaam!!..Utakua mtu wa ajabu ukikataa Ujenzi huu kisa JK wakati tusipojenga uchumi wetu unaendelea kusuasua!!..Tuache Umimi nchi hii ni ya watanzania wote!!.. Bandari itarahisisha Usafirishaji sana!!