Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Nimependa jina lakoHapo huwa kuna swali la kujiuliza, Je mafuriko yalikuwa dunia nzima!?
Kwamba kwa kipindi kile dunia iligeuka na kuwa mpira wa maji!?
Wale waliokuwa wanaishi Tandahimba, nao walistahili adhabu ile? Yaani walimkosea Mungu kama ambavyo watu wa Nuhu walivyofanya!
Nadhani mafuriko yale yalikuwa ni adhabu kwa watu wa mji wa Nuhu.
Acha masikharaMbona Simple tu, kwani hawa Twiga wetu walifikaje uarabuni.
Hii kitu nimewahi kuisikia na huwa inaniwazisha sana.Kuna kundi fulani la ndege wanapatikana UYOLE huwa majira fulani wanaenda FINLAND wanakaaa huko mda mrefu wanazaliana kisha majira fulani wanarudi uyole .wanasayansi wa kimazingira na viumbe hai bado wanafatilia kujua kwa nin ndege hao wanaenda finland na sio pengine na kwa nin wanarudi tz tena uyole tu? Kwa kifupi movement ya wanyama bado ni jambo la kushangaza kama swali la mtoa mada linavofikirisha..
Hii chai.Kuna kundi fulani la ndege wanapatikana UYOLE huwa majira fulani wanaenda FINLAND wanakaaa huko mda mrefu wanazaliana kisha majira fulani wanarudi uyole .wanasayansi wa kimazingira na viumbe hai bado wanafatilia kujua kwa nin ndege hao wanaenda finland na sio pengine na kwa nin wanarudi tz tena uyole tu? Kwa kifupi movement ya wanyama bado ni jambo la kushangaza kama swali la mtoa mada linavofikirisha..
Mkuu hujuwahi kujiuliza kwamba 70% ya wanyama wanajuwa kuogelea by nature?Tafadhali kama una maelezo yasiyotia shaka tuelezee kuhusu wanyama kufika kwenye mabara mengine baada ya gharika kufikia mwisho wake. Kangaroo alifikaje Australia? Simba wa Serengeti alifikaje pale?
Wale dubu wa America Kaskazini walifikaje?
Ikumbukwe wanyama wote waliingizwa kwenye Safina kabla ya gharika hivyo wanyama wote waliokuwa nje ya safina walikufa.
Biblical evidence...?Baada ya maji kukauka, Mungu aliendelea na uumbaji
Kuna ndege alifugwa monitor mguuni na akatoka finland mpaka kenya, heyo ni story ikivuma sana mwaka janaHii chai.
Hivi unajuwa umbali wa kutoka Tanzania hadi Finland?
Hao ndege hawachoki?
Wamewezaje kuvuka bahari kuu?
Wamejuwaje kama hawa ndege wanatoka uyole Tanzania?
Kwahiyo Olduvai walikuta mabaki ya nyumbu na pofu wa ngorongoro..?Kama walivyofika wanadamu KILA pembe ya Dunia ndivyo walivyofika wanyama pia.
Achana na story za mtu wa kwanza alipatikana Olduvai.Hizi ni za kutunga.
Mtu wa kwanza alitokea middle east
Wana theology wa mchongo watakupingaTandahimba utaambiwa hakukuwa na watu
Nitajie failure zake hata tatu nitaaminiMungu wetu huwezi kila kitu
Pangaea sio godwanalanda(africa)Enzi hizo bara lilikuwa moja (One major landmass known as Gondwanaland) kwa hiyo lilipojigawa (splitting through natural force) kila kipande (bara au kisiwa) kiliondoka na viumbe wake. Sehemu nyingine wanyama walipelekwa.
Unachanganya madesa mzee, what if usingefundishwa habari za pangea na blah blah zingine na mzungu, ungekuja na fact gani nyingine...?Wakati GHARIKA inatokea, hakukua na Mabara, kumbuka theory of continental drifting, wakati wa GHARIKA kulikua na Bara moja tu kubwa Super Continent, linaitwa PANGAEA, na proof ya hili angalia Madagasca, utaona imemeguka kutoka Pwani ya Msumbiji, na angalia South America, imemeguka kutoka Africa etc!
Angalau kidogoWalitawanyika na kuzaliana
Waliogelea auWalitawanyika na kuzaliana
Mwanzo 6:7Itakuwa hawakufa viumbe wote, wengine walipona wakazaliana
Unajua eagle anasafiri umbali gani mkuu..?Hii chai.
Hivi unajuwa umbali wa kutoka Tanzania hadi Finland?
Hao ndege hawachoki?
Wamewezaje kuvuka bahari kuu?
Wamejuwaje kama hawa ndege wanatoka uyole Tanzania?