Tatizo ni ukoloni
Elimu& dini ndvyo vmewaharibu akili.
Tumia akil yako kufikiri, je huko wanakosema mlima hararati safina ilituwa kuna aina gan ya wanyama mpka leo? Hararati ni huko ulaya(uturuki) je kuna ushahidi wowote wa masalia ya wanyama? Je kuna wanyama waliobak hai?, mtasingizia wanyama walifanya migration, je kwann waondoke wote wasibaki huko hata kidogo?
Na kama ni ishu ya migration, why wanyama wa afrika hawa hami kuondoka afrika?
Jibu ni moja tu, gharika ilifanyika miaka ya zaman sana, na ilifanyika dunia ikiwa tambalale tupu haina milima wala haijagawika ktk mabara.
Short story, ktk jamii za kiafrika ya kale ya watu weusi ilikuwa mwiko kuchangamana na watu wa jamii nyeupe, kwa kuhofia maadili& mchanganyo wa rangi kwa maana rangi nyeupe ilikuwa ishara ya uhasi na ushetani kwakuwa uzao wao haukuwa wa uhalisia, bali ulkuwa kutokana na muingiliano wa mtu mweusi na viumbe wa juu(fallen angeles) ama allien.
Na ktk muingiliano huo wa uzao wa alien na jamii za watu weusi, likaibuka zao la machotara wakubwa na wababe ambao ndio walikuja kuwa chanzo cha maovu dunian, hizo dini zenu haziwezi kuwaambia sababu kuu ya gharika maana wao pia watadharirika maana nao hawakustahili kupona(watu weupe).
Unatakiwa kujua allien hawa hawakuishia kuzaa na watu tu, bal mpka kwa wanyama na ndipo liliibuka kundi la viumbe wakubwa wa zaman wakina dainaso na wengine, hawa viumbe waliharibu sana dunia na kutishia maisha ya viumbe halali wa hii dunia, maana viumbe hao walikuwa wakiuwa viumbe halali, na pia kwa haya majitu yaliyozaliwa kwa muunganiko wa mtu mweusi na hao allien hayakuwa na muonekano sawa na mtu mweusi bali yalikuwa na muonekano hafifu(chotara) baada ya kukosa melanin na hatimae kupata ngozi nyeupe isiyostahimili mazingira ya dunia.
Machotara hawa walizaana wao kwa wao pia na kuunda jamii zao na ngome zao, bila kusahau wao ndio walileta idol worshiping, religious worshiping, na tabia mbovu mfano ushoga na elimu za vita
Sasa baada ya ufedhuri wa hao majitu(white races) kuzidi na kuanza kueneza uhasi wao ktk jamii ya watu weusi, ndipo watu weusi walipomlilia yule aliyewaumba na ndipo akaleta gharika.
Munatakiwa kujua lengo la gharika halikuwa kuutokomeza ushoga pekee bali kukifutilia mbali kizazi haramu cha mashetan na nusu watu(binadamu weupe) , ambapo wapo hata watu weusi walikuwa included kwenye adhabu sababu ya kuungana na hao wahasi kuusambaza uhasi wao.
Na ktk gharika ya huyo mnayemuita nuhu, japo haitwi nuhu maana hakuwa mzungu bali mbantu pure, hivyo aliitwa kwa jina la kibantu, ktk safina yake walioingia watu halali weusi ni 8, na baadhi ya watu weupe ambapo walikiri makosa yao na kuthamehewa, hapa dini zenu zlificha haya sababu wengi mngehoji undani wa asili zenu, na hapa ndipo mtiani unaanzia.
Note[emoji117] baada ya gharika machotara waliokufa kutoka ktk jamii za wanyama& watu kwakuwa walizaliwa na asili ya viumbe wenye nguvu za kiroho yaan malaika wahasi hivyo hata baada ya kufa kimwili roho zao zilibaki dunian zikitanga tanga, na hizo roho ndizo hizi leo tunazigawanya na kuzifafanua ktk makundi ya
[emoji117]mapepo
,[emoji117]majini
[emoji117]mizimu
[emoji117]vibwengo
Hawa woote ni demons ama mapepo ambao miili yao iliangamizwa kwa gharika na hatimae hawana miili, na tabia ya roho huwa haifi na haiwezi kufa mpka kihama, pia lakujua ni hiv kuna tofaut ya hawa mapepo na mashetani, mashetani ni malaika waliofukuzwa ktk Ulimwengu wa Falme ya Muumba mnakokuita mbingu, na hao mapepo ni uzao wa mashetani baina ya watu, wanyama wa nchi kavu na wanyama wa majini, ndiomaana kuna mapepo wenye mionekano ya watu, hawa uzao wao ni kutoka kwa mtu mweusi na malaika muhasi, pia yale mapepo yenye mionekano ya wanyama na irregular shape wanatokana na uzao wa wanyama na hao mashetan ama malaika wahasi.
[emoji117] Mnatakiwa kujua mtu na binadamu ni viumbe wawil tofauti, mtu ni yule aliye Original kutoka uzao wa adamu, na mwanadamu ni yule asiye mweusi ambaye kazaliwa baada ya muungano wa viumbe tofaut, yaan mtu+allien(malaika wahasi).
Sas ktk safina hiyo watu weusi walkuwa 8 tu, na wanadamu weupe waliingia ambao ndio waliokuja kuendeleza uzao wao mweupe dunian.
Gharika iyo ilikuja kukwama Afrika mashariki ambako ndiko masalia yoote ya wanyama wa kila aina yanapatikana pia wanyama woote ndipo eneo lao wanaloishi na ndipo ilipokuwa ile Edeni ya mwanzo.
Huo mlima hararati haupo na haujawai kuwepo msisikile mafundisho ya uongo kutoka kwa watu walioiba historia zenu na kuzibadiri.
Ardhi ilikuja kugawika na kuunda mabara baada ya uhasi wa watu weusi kutengeneza PYRAMID(mnara wa babeli) utakao wasaidia kuhama ulimwengu wa mwili na kuingia ktk makazi ya Roho ambapo walizan wangemkuta Muumba, badala yake kilichotokea ndicho hicho tetemeko kubwa lililokuja kuigawa dunia na kutokea matabaka mbalmbali ya jamii za watu na wanadamu, lkn haiondoi ukweli kwamba Afrika(Edeni) ilibaki ktk Ubarikio mzuri wa resources na kila aina ya utajiri.
Baada ya watu weupe kuanza kurudi afrika ndipo wakaona Africa imestaharabika na imejawa utajiri wa kila aina ndpo walipokuja na Kanuni za kumuharbu mtu mweusi kupitia Elimu+Din= utegemezi& umasikini na hayo mujuwe kuwa mkolon hakuanza kuivamia afrika miaka ya juzi kama history znavyodanganya, bali afrika imekuwa ikivamiwa kwa maelfu ya miaka zaid ya 4000bc na ndipo Africa ilianza kuwa dhaifu hatimae miaka ya juzi tu hapo karne ya 14 ndipo ukoloni ukatimia na watu weusi(wayahudi wa kwel) wakawekwa utumwani for more thn 400 yrs, yaan 1400(14century) ukolon ulpoanza mpka miaka ya 1884(18century) ukoloni ulipokwisha ktk mkutano wa berlin, na ukaibuka utumwa wa akili ambao ndio huu sasa unawaona watu weusi watakipinga hata hichi nilichokiandika bila sababu ama kwakutetea dini ama elimu zao za uongo ambazo mkolon aliwapa ili kuwauwa kiroho msimjue Muumba wenu.