Baada ya Safina ya Nuhu kutua Mlima Ararat, wanyama walifikaje kwenye mabara mengine?


Jibu litakuepo n nila environmental conditions
 
At least tungekuwa na Waafrica ambao wameshafanya utafiti na kuona kweli bara letu ni kubwa.
Lakini kama umewahi kuwa juu ya uaswa wa bahari walau kuanzia mita 27k. utakubaliana na mimi kuwa raman hii ya dunia ina ukweli kwa asilimia nyingi tu.
 
kuna vitu vingine vinaitaji akili haviitaji roho mtakatifu ili uelewe. Ina maana unashindwa kutofautisha mwanzo 1 na 2? Kuwa mwanzo 1 ni summary ya mwanzo 2 had umuombe roho mtakatifu?
 
Mtu wa kwanza Olduvai. Ndiye Adam
Kama ndie adam ilikuwaje SAsa middle east enzi za mitume wote kuwe na population kubwa Sana ikiwa centered na isiwe Afrika.
Enzi za mitume watu walikuwa ni middle east, afrika kaskazini na sehemu chache za Ulaya mashariki mfano italy, uturuki, Urusi, misri, ethiopian ya juu ghuba ya Aden. Sehemu zingine za dunia zilikuwa ni mapori tu wanaishi zinjatropasi, dinosaur na wanyama wengine. Pangekuwa na population mitume wangetokea na huko.
 
Mkuu wengine mpaka kisiwani kwetu Mafia kuna viboko, chatu nk
 
Ni km vile Maji yanakupwa na kujaa
Usiku na mchana
Jua kuchomoza mash-magh etc.
Mungu anajua zaidi.
 
We mzee usipende changanya scientific facts na habari zako za kubuni hiyo pangea inatokea ni miaka milioni nyingi kabla hata ya uwepo wa mamal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…