Baada ya Salum Hamduni wa PCCB 'kumtetea' na 'kumlinda' Paul Makonda, naomba nitume salamu za pole kwa wafuatao...

Umenikumbusha matukio machache mojawapo hili hapa lingine lilikuwa la Ridhwani kubebwa mgongoni.



 
Mkuu, yetu macho kikubwa time na uvumilivu.ila DSO wilaya IPI yupo
 
Vipi aliyekuazima Simu anataka Kulala?
Halijawa GARi ,hii simu ujuavo simu zenye app ya JF nisawa na wallet/billford.kuazimana ngumu mkeo nae asijue unakitu JF najina lako LA uongo hilo ,usije lewa ukamuonyesha siunajua TALAKA zipo kwajikuyet....siunajua maandalizi kwenda job yameaza mwezangu unakaribia kurudi home nn ,ulingia shift ya 9t nn
 
Safi sana hebu ongeezeni 'Pole' zingine.
Pole watu wa Kimara Kibamba waliovunjiwa nyumba zao kwa kuhisiwa kumchagua mgombea wa CHADEMA.
Pole sana demokrasia nchi nzima kwa kuletewa viongozi viazi.
Pole sana wakulima wa korosho.
Pole sana Mrs wa aliyekwenda zake kwa kukaa na shetani karibia Maisha yako yote ya ukubwani, nadhani umepata picha kamili ya jehanam kulivyo
 
1. Ben Saanane pole sana huko uliko.....

oyaa popoma,
unamzungumzia ben saanane yupi?.

ni yule ambaye ulimletea dhihaka na ujuaji mwingi kwenye uzi wake wa tarehe 18 septemba 2016 alioandika kuhusu kutishiwa kutekwa na kuuwawa au unamzungumzia ben saanane mwingine?.

ujinga wako ulioundika kwenye uzi ule huu hapa. ningekuwa mimi ningefuta ili kutunza heshima.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Natamani uliyosema yatokee hata Leo.
Amina yatatokea. Nani alidhani Magufuli angetoweka ghafla na akina Sabaya kuanza kuonja muziki? Kwani Makonda ni nani? Jikumbushe yaliyowakuta akina Rugemalira na yule mhindi ukiachia mbali akina Gulamali waliodhani Tanzania ni shamba lao la kuchezea kama nyani.
 
Mkuu huu uzi umenikumbusha jinsi alivyokuwa anajikomba kwa Ridhwan wakati Kikwete akiwa Rais kisha wakati wa dhalimu kumchoma kwamba ni muuza unga.
Huyu mtu ni fundi wa "uchawa" ilimradi mradi wake utimie... kosa lake ni moja tu hajui kufanya hesabu za faida na hasara...
 
jamaa ni mnafiki uyo, Ni vile watu hawajamsoma humu.

ye na uyo Makonda hawana tofauti
 
Nilidhani unajua kumbe hujui. Pole sana.
 
Yaliyopita si Ndwele tugange yajayo tu.
 
Hivi hamjui uhusiano wa kutisha katika ya Makonda nayule mama wa ushungi? Mbona picha yao ilisambaa mitandaoni kitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…