Tetesi: Baada ya Serikali kuanza mahojiano na Nyalandu kuhusu kashfa katika Wizara ya Maliasili na Utalii, atimkia CHADEMA

Wenye akili tuliliona hili, kwa kumsoma Dr. Kigwa na kauli zake, ni dhahiri shahiri jamaa sasa anatafuta huruma.
 
Mtasema sana mauvccm ila ndo hivyo tena chama cha mazombi kinamomomyoka ....labda libaki zombi kuu linaloendesha ukabila
 
Hapa kazi tu, watambana huko huko mpaka kieleweke!
Kama kaamua kiwatumia chadema poa tu ila bakora ziko pale pale.
 
Mnatafutaga pa kutokea yan mpaka mnatia kinyaa nyau wanuka shombo nyingi mpyeeeeeee
 
Kweli mkuu hakuna mafisadi CCM kipindi hiki cha jpm maana ata mkulu mwenyewe amehamia chadema, mwakyembe amehamia chadema, tibaijuka amehamia chadema, kinana amehamia chadema, Lukuvi kahamia chadema na ata ambao sijawataja washahamia chadema
 
Mtasema sana mauvccm ila ndo hivyo tena chama cha mazombi kinamomomyoka ....labda libaki zombi kuu linaloendesha ukabila
Nyalandu???
Hana impact ktk sisiemu ya JPM. Kichwa ambacho kikiondoka sisiemu itaumia mmoja wapo ni Januari ila sio Nyalandu.
 
Alafu na wewe unasimama kabisa unazungusha mikono eti mabadiliko.. Pumbavuuu
Teh teh nyie endeleeni kuzungusha masaburi si ndio kazi mnayo iweza
Shaka nasikia kila weekend anaenda Mombasa, usimuonee wivu najua nauli ya Mombasa huna njoo mimi nipo Mombasa ya Dar nitakusaidia kupunguza hizo ashki
 
Kuna yule mwingne aliuza nyumba na kununua mtumbwi chakavu
 
Kuna yule mwingne aliuza nyumba na kununua mtumbwi chakavu naye aletwe na pingu kwa pilato
 
BWANA MZEE MBONA MNAHARAKA SANA.
SI MNGOJE NNGOJE
 
Teh teh nyie endeleeni kuzungusha masaburi si ndio kazi mnayo iweza
Shaka nasikia kila weekend anaenda Mombasa, usimuonee wivu najua nauli ya Mombasa huna njoo mimi nipo Mombasa ya Dar nitakusaidia kupunguza hizo ashki
Hahahahaha.... Sasa hiki ulichoandika ni nini? Ndio ambacho wazazi wenu kwenye familia yako walichowafundisha?
Pole.

Anyway.. Siku laumu ila nawalaumu sana walezi wako.
 
Tatizo Huyo mpumbavu wenu anashindwa kufanya mapya anatafuta ya zaman c aseme tu nchi imemshinda na badooooooo
 
Hahahahaha.... Sasa hiki ulichoandika ni nini? Ndio ambacho wazazi wenu kwenye familia yako walichowafundisha?
Pole.

Anyway.. Siku laumu ila nawalaumu sana walezi wako.
Acha kunibania sauti na kung'ata kucha hizo wewe njoo usione aibu hamna atakaye jua nikipukutisha hizo ashki urudi na nguvu mpya Lumumba ya kusifia kila kitu

Mpumbavu yeyote anajibiwa kipumbavu hivyo tu yaani
 
Sijawahi ckia nyalandu fisadi ila akihamia chedema atapewa kashifa ya ufisadi,ccm safi alikuwa safi,siasa uchwara izo
 
Frankly speaking, ndani ya chama tawala wapo wengi tu wenye mtazamo kama wa Nyalandu.
 
Je vipi kuhusu waliofoji vyeti na walionunua wapiga kura wao uchunguzi lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…