DOKEZO Baada ya Serikali kushindwa ni muda sasa wa kurejesha Daladala za kusafirisha abiria Kariakoo-Kimara-Mbezi

DOKEZO Baada ya Serikali kushindwa ni muda sasa wa kurejesha Daladala za kusafirisha abiria Kariakoo-Kimara-Mbezi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mwendokasi ni bora akapewa mkenya au mghana aongoze management akina ngewe wazee wa transport management mmeprove chuo chenu cha NIT hakina value yoyote kama mmeshindwa kusaidia mwendokasi.Mwendokasi imeprove failure na bado wanaongeza njia badala ya kutanua barabara ziwe 6 ili watu wsafiri kwa haraka
 
Hazifiki, na kwa jinsi zilivyo duni haziwezi kupanda Kitonga
Subiri kafulila 2mbiri kashasema mwekezaji analea 700 vipya uzinduzi utafanya wewe chadema digital sijui ilishia wapi baada ya kunyimwa hela ya ruzuku ukasusa kufangaza!
 
Dawa ni kujenga Kariakoo nyingine Pugu, Mbezi, Mbagala na Tegeta ili kupunguza kila kitu kupatikana Kariakoo.
Town planning ilitakiwa iwe endelevu kulingana na mahitaji.
Mamlaka za kiserikali zimezidiwa na wananchi wenyewe ni wajinga, masikini kwa asilimia kubwa wasioweza kujipanga.

Kuna haja ya kutunga sheria ndogo zitakazoruhusu mtu binafsi na serikali ya mtaa kupanga na kusimamia mipango miji katika eneo lake kwa kupewa vipimo vya barabara, miundo mbinu mingine na maeneo ya wazi kwa vigezo vinavyokubalika kiubora.

Urasimishaji ufanyike kwa kufuata vigezo vilivyowekwa.
Siyo sawa na haikubaliki kurasimisha miji inayojengwa kama ya wadudu kwa sababu tu ya ujinga wa serikali kukusanya pesa.
 
Inaonyesha hayo Mabasi ya Mwendo wa Kasini yapo Machache sana Hapo Jijini Dares-Salaam bado tupo nyuma kima endeleo Usafiri wa Mwendo wa kasi unahitaji yawepo Mabasi zaidi ya 5000 ili kuweza kutosheleza huduma kwa jamii kazi kweli bongo yetu . Wadanganyika mutaisoma namba .

GORQKHkW0AAK6uW.jpg
 
Inaonyesha hayo Mabasi ya Mwendo wa Kasini yapo Machache sana Hapo Jijini Dares-Salaam bado tupo nyuma kima endeleo Usafiri wa Mwendo wa kasi unahitaji yawepo Mabasi zaidi ya 5000 ili kuweza kutosheleza huduma kwa jamii kazi kweli bongo yetu . Wadanganyika mutaisoma namba .

View attachment 2997766
Wanawake kadhaa wamepoteza mimba baada ya kuchoropoka wakigombea usafiri
 
Kila uchao afadhali ya jana. Najiuliza nani wamehusika kufanya hii kampuni kuchechemea? Wamechukuliwa hatua gani?

Katika maisha yetu binadamu, hakuna kitu kibaya kama kuidanganya nafsi yako mwenyewe. Kama mambo yanaenda hivi, ni dhahiri shari ni kutumbukia kwenye shimo.

majuto mjukuu...kama huku ndio kuupiga mwingi, basi sisi wengine ngoja tuendelee kuangalia kupiga huku kutaishia wapi
 
Umeandika basi za mwendokasi 5000 umepoteza hadhi ya ujumbe wako wote, acha yupige stry tu.
 
Dawa ni kujenga Kariakoo nyingine Pugu, Mbezi, Mbagala na Tegeta ili kupunguza kila kitu kupatikana Kariakoo.
Hakuna bwana, haya majitu ya Dart hayajitambui! Sijui hawa jamaa wana magari mangapi aisee? Hivi kama wanayo 100 wakiweka 30 Gerezani-Kimara, 20 Kivukoni - Kimara, 10 Kimara - Morocco, 5 Gerezani - Morocco, 5 Morocco-Kivukoni; shida itakuwa wapi? Jamaa wapuuzi sana unakuta wanafika kituoni wanapaki badala wafike wabebe waondokee!
 
Siku niliyokaa mwendokasi kituoni kusubiri gari nilisubiri kwa muda ambao kama ningepanda daladala ningefika home nikpikiwa wali afu nikarudi kituoni na gari lisingekuwa limekuja. Ubishoo kujifanya sipandi daladala kuna mwendo kasi ulini cost muda.
 
Umeandika basi za mwendokasi 5000 umepoteza hadhi ya ujumbe wako wote, acha yupige stry tu.
Soma vizuri utaelewa nilicho kusudia nimesema ushauri wangu yawepo mabasi zaidi ya 5000 ili kutosheleza usafiri wa jiji kuliko yaliyopo mabasi hayazidi zaidi ya mabasi 200 ni machache zaidi kw ajiji la kubwa kama la Dares-Salaam. Laiti yengelikuweppo mabasi kama 10.000 shida ya usafiri ingepunguwa kabisa katika jiji.
 
Hakuna bwana, haya majitu ya Dart hayajitambui! Sijui hawa jamaa wana magari mangapi aisee? Hivi kama wanayo 100 wakiweka 30 Gerezani-Kimara, 20 Kivukoni - Kimara, 10 Kimara - Morocco, 5 Gerezani - Morocco, 5 Morocco-Kivukoni; shida itakuwa wapi? Jamaa wapuuzi sana unakuta wanafika kituoni wanapaki badala wafike wabebe waondokee!
Unaambiwa Magari yote yamekufa
 
Kama ilivyoshindwa mambo mengi, kufikia hadi kuuza Bandari basi ni vema sasa kurejesha tena usafiri wa Daladala kama ilivyokuwa awali Kutoka Kariako hadi Mbezi kupitia Kimara.

Hii ni kwa sababu wakazi wa maeneo hayo wanayo haki ya kusafiri kutoka makwao na kwenda mjini.

Naona dalili ya Jambo baya kutokea muda wowote kwenye Stendi ya Mwendokasi Gerezani

Angalia hali hii, hawa wote wanazo tiketi mkononi, kitendo cha kuwauzia tiketi huku mabasi yakiwa hamna japo ni Wizi lakini pia kunasababisha manung'uniko yatakayokuja kuzaa maafa kwa ngumi kuvurumishwa kwenye stendi hiyo

Lakini kwanini tufike huko?

View attachment 2997552
Ndoto ya alinacha
 
Back
Top Bottom