dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
waweke TATA, Ruwaika na Etihad zile za Chanika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Mtu ana nishawishi nije Dar kwa kero hizo Bora ni Baki sitimbi Nile mihogoKwa maoni yangu bora wangeyatoa yote road daladala za kawaida zifanye kazi kwenye hiyo road ya mwendo kasi kwisha sinajingineView attachment 2998466
Tayari mkuu, nimo humu kutoka mbezi naelekea kariakoo.Wakirudisha dala dala tena,bado foleni itakuwa pale pale barabarani!
Nadhani wakati wanajipanga wangekodisha baadhi ya wenye mabasi kuziba pengo hilo.
AminaTayari mkuu, nimo humu kutoka mbezi naelekea kariakoo.
Kwani mwendokasi uko kila mahali? Sasa hivi njia ni moja tu yenye tawi moja la Morocco. Sasa wangekuwa nayo 200 mbona usafiri ungekuwa mzuri sana! Maanake hapo unamaanisha 150 yangeshika njia kuu ya Mbezi-Gereza/Kivukoni na 50 au 30 yangeshika ya Morocco-Gerezani/Kivukoni. Usafiri ungekuwa mzuri mno. Hapo gari ningekuwa zinatofautiana kwa dakika 5.Soma vizuri utaelewa nilicho kusudia nimesema ushauri wangu yawepo mabasi zaidi ya 5000 ili kutosheleza usafiri wa jiji kuliko yaliyopo mabasi hayazidi zaidi ya mabasi 200 ni machache zaidi kw ajiji la kubwa kama la Dares-Salaam. Laiti yengelikuweppo mabasi kama 10.000 shida ya usafiri ingepunguwa kabisa katika jiji.
Kupunguza idadi ya watu wanaojaa katkati ya mji? Ni good idea but explain moreDawa ni kujenga Kariakoo nyingine Pugu, Mbezi, Mbagala na Tegeta ili kupunguza kila kitu kupatikana Kariakoo.