Soma vizuri utaelewa nilicho kusudia nimesema ushauri wangu yawepo mabasi zaidi ya 5000 ili kutosheleza usafiri wa jiji kuliko yaliyopo mabasi hayazidi zaidi ya mabasi 200 ni machache zaidi kw ajiji la kubwa kama la Dares-Salaam. Laiti yengelikuweppo mabasi kama 10.000 shida ya usafiri ingepunguwa kabisa katika jiji.