Baada ya siku 21 waliosema hela zimepotea mtaani sasa wataanza kuokota hela mitaani

Afadhali wewe umechambua
 
Nani alimtuma akanunue madege.
 
Kama wewe ni masikini huna uwezo wa kupanda ndege kaa hivyo hivyo hapo ufipa.
Ununuzi wake ndo umetumalizia hela mtaani.

Ufipa ndege zetu zikikuwa fast jet nauli ilikuwa nafuu kuliko hizo zenu Atcl,yaan (any time cancellation limited.)
 
Ununuzi wake ndo umetumalizia hela mtaani.

Ufipa ndege zetu zikikuwa fast jet nauli ilikuwa nafuu kuliko hizo zenu Atcl,yaan (any time cancellation limited.)
Una hela mitaani umezitolea wapi kenge wewe
 
Nani kakudanganya??? Uliwahi ona waliomzika Hitler??? Aisee jidanganye tuu watanzania hawana kazi hata vibanda umiza wanajaaa kibao !!! Aliyekwambia watu walilia kwa simanzi Nani!????hujui kuna kulia kwa furaha????aisee mm nimeshuhudia sherehe za ajabu mitaani amini nakwambia
 
Jidanganye tuuuuuuuuuu
 
Wasukuma bila mungu kufanya yake mngekea matajiri sana kwa kubebwa hata mikono ya sweta mngekua mnaenda kuitoa ughaibuni!!!! Asante sir God
 
Mungu ameikomboa Tanzania toka kwa shetani. Niongeze sauti???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…