Baada ya siku 21 waliosema hela zimepotea mtaani sasa wataanza kuokota hela mitaani

Huna akili
 
Una hela mitaani umezitolea wapi kenge wewe
Ahaaa we kinuju,tulikuwa nazo mtaani kipindi cha Jk,alipoingia huyu Lupondije kwa kutumia TRA wakatubambikia kodi juu ya kodi,tukafunga biashara.

By the way we ni msukusu Wa ngudu mkuu?.
 
Wasukuma bila mungu kufanya yake mngekea matajiri sana kwa kubebwa hata mikono ya sweta mngekua mnaenda kuitoa ughaibuni!!!! Asante sir God
Baraza jipya ,Sukuma gang wanaendelea kupeta kwa sababu ndiyo wenye akili zaidi.

Mtajinyonga kwa wivu
 
Wasukuma bila mungu kufanya yake mngekea matajiri sana kwa kubebwa hata mikono ya sweta mngekua mnaenda kuitoa ughaibuni!!!! Asante sir God
Baraza jipya ,Sukuma gang wanaendelea kupeta kwa sababu ndiyo wenye akili zaidi.

Mtajinyonga kwa wivu
 
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.

Kazi ya kumsifia rais Samia ni ya MATAGA siyo ya chadema
 
Nilishaonya mapema kuwa yoyote atayejaribu kupuuza au kuchafua legacy ya hayati Magufuli atakutana na nguvu ya uma.

Na ninaposema yoyote namanisha yoyote
 
Ha ha ha ha
Unamaanisha yule shujaa wa zamani?
Nishasahau kama kulikuwa na raisi anaitwa Pombe.
Pole sana myonge naona umeumia sana. Kunywa sumu, ili ukamuone vizuri.
Mshenzy sana yule, blog unalipia milion 1 kwa mwaka kwa pesa zipi? Yule alikuwa mwizi kama wezi wengine
Nilishaonya mapema kuwa yoyote atayejaribu kupuuza au kuchafua legacy ya hayati Magufuli atakutana na nguvu ya uma.

Na ninaposema yoyote namanisha yoyote
 
Lakini utapita kwenye barabara alizojenga Pombe mpaka kufa kwako
 
Kama alijenga kwa pesa yake ni sawa. Ni wajibu wa kila kiongozi kufanya maendeleo. Kwani alichaguliwa ili akakae ikulu tu? Pombe ni msimamizi kama wasimamizi wengine.
Pole sana mnyonge
Lakini utapita kwenye barabara alizojenga Pombe mpaka kufa kwako
 
Sijui mi mgumu kuelewa au vipi,yani tutakuwa tukitembea tunaokota hela mitaroni au.
 
Siku 100 baadae bado ni masikini wa kutupwa ,wanaishi kwa kulelewa na wazungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…