Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Kabisa hii ndio dawa............................................Kuwaondoa mawaziri watatu haitasaidia kitu. Suluhisho ni kuwaondoa Ccm madarakani.
Moja ya watu wajing.a na wapuuz kuwahi kutokea nchi hii basi wewe ni mmojawapokwa chuki binafsi hizi za wazi, ni dhahiri matatizo ya moyo na mental health hayatapungua wala kwisha nchini 🐒
namshukuru Mungu chuki binafsi, wivu na mihemko vimenipitia pembeni.....Moja ya watu wajing.a na wapuuz kuwahi kutokea nchi hii basi wewe ni mmojawapo
Ebhanaeeee duhNamba moja na namba Tatu yaan Makamba na nape wa naondoka, keep this na makamba alipanga Mpaka kupindua SERIKALI kupitia SIWA na watu wake, keep this baada ya ziara ya kusini kuna mkeka
Britanicca