MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Fuko la Abdul kila lilikopita mitaa ya Chadema lilipokelewa kwa mikono miwili isipokuwa kwa gwiji la upinzani Afrika.
Lissu ndio mtanzania pekee hapo Chadema aliletewa mfuko umejaa mamilioni kama sio mabilioni sebuleni kwake na akaamua kuyakataa. Na ushahidi wa cctv upo.
Baada ya uchaguzi kumalizika, tunaomba Mbowe, Mnyika, Bonny Yai, Wenye, Abdul mwenyewe tunaomba wote wafikishwe mahali husika, Chadema tumeijengq kwa Jasho na damu, hatuwezi kuruhusu rushwa kukwamisha harakati kizembe kiasi hicho.
Lissu ndio mtanzania pekee hapo Chadema aliletewa mfuko umejaa mamilioni kama sio mabilioni sebuleni kwake na akaamua kuyakataa. Na ushahidi wa cctv upo.
Baada ya uchaguzi kumalizika, tunaomba Mbowe, Mnyika, Bonny Yai, Wenye, Abdul mwenyewe tunaomba wote wafikishwe mahali husika, Chadema tumeijengq kwa Jasho na damu, hatuwezi kuruhusu rushwa kukwamisha harakati kizembe kiasi hicho.