Baada ya ukweli wa Erick Kabendera kubainika, wote walionituhumu kuhusika nimewasamehe kwani Mungu amewasamehe. Msirudie tena!

Kwahiyo we Pascal huelewi kuwa Kabendera kaachiwa kwa sababu ya shinikizo la Mabeberu na hiyo faini Ni geresha tu kuda ganyia wajinga.Maana Jiwe mpaka sasa yuko kwenye kumi na nane za mabeberu.
 
Ule uzi sikuutia maanani tangu siku ya kwanza mleta mada alivyoanza kwa kudai eti Pascal alisababisha Usalama wafatilie chapisho la The Economist. Mimi nilisoma hilo chapisho kabla halijawekwa hapa tena nililisoma kiuzembe tu sikulitia maanani. Pascal ni mwandishi wa habari, ana tabia ya kuchambua taarifa na matukio fulani akaleta chapisho akalifafanua na kulipinga. Nikaja kuona kumbe sikustahili kulipuuza nikaacha wanasiasa ws JF waumane.

Sasa mtu akija na hoja eti P alimchomea Kabendera, kivipi sasa mbona akili yangu ndogo haielewi. Kwamba Pascal anaujua mwandiko wa Kabendera, au aliambiwa na mtuhumiwa kuhusu deal hiyo. Najaribu kutafuta ilikuwaje Kabendera ajulikane kwa P kuwa ndiye mwandishi sioni njia. Kwamba Usalama walihangaika kumjua wakaomba msaada kwa Pascal? Alijuaje sasa, na factors zipi zilimfanya kati ya mamia ya waandishi amtambue mhusika.

Na inakuwaje Kabendera alishindwa kuwa anonymous kwenye kazi yake ya hatari mpaka akamfanya Pascal ajue, hapa tuassume ni kweli Kabendera ndiye aliyeandika. Kazi ya hatari unamwambiaje mwenzio? Siamini katika hili.

Mimi napenda watu wachangie kile wanachojua. Akija mtu akafanya upembuzi na kuleta bandiko then likatokea la kutokea tuseme kachoma. Sio sawa.
 
Ukweli ni nini na unaujuaje huu ni ukweli na huu si ukweli?
 
Wewe mshamba sana tena sana kuwadi wa shetani.Unadhani kwa nini kuna cyber crime.Aliyoyaandika kabendera kupitia The economist ninkweli tupu.Hayo ya kumchoma kupitia maandishi ni kawaida sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal ametoa maoni watu wakaona yana tija wakayatumia sasa kosa lake nini?

Erick akiandika wazungu wakayatumia ni sawa

Pascal akiandika serikali yetu ikayatumia ni kosa

Ujinga mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo kwa uzi huu, baada ya ukweli wa mashitaka ya Erick Kabendera kubainika
Una uhakika 100% ule ndio ukweli kuhusu Kabendera??
Hauna shaka yoyote kwamba ameamua kukubali tuu yaishe ili awe HURU?

Swala la wewe kuwa mchongeaji wake kusema kweli SIJUI kama unahusika.
Ila kutumia yale yaliyotekea mahakamani kujitetea bado sijakuelewa mkuu
 
Erick Kabendera kwa yaliolezwa ni kweli alipata tuhuma za kutakatisha fedha. Fedha bilion moja kuingia na kutoka kwenye account za kampuni under Anti Money Laundering law alikuwa mtuhumiwa na hatimaye kakiri makosa ikiwemo la kukwepa kulipa kodi ya kipato.

Tuache ramli chonganishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh teh teh teh,,,halinaga akili hilo gudulia! Eti lile samaki labda litapata akili!! Mavi-jana ya ccm hayanaga akili!
 
Kwahiyo we Pascal huelewi kuwa Kabendera kaachiwa kwa sababu ya shinikizo la Mabeberu na hiyo faini Ni geresha tu kuda ganyia wajinga.Maana Jiwe mpaka sasa yuko kwenye kumi na nane za mabeberu.
Paschal ana j ya ukweli wote sema kwakuwa ameamua.kujiunga na wasukuma mwenziwe wa awamu ya tano bado anapigania uteuzi, huenda atakumbukwa hivi karibuni
 
Ni ishara wazi kuwa aliyoyatenda yanautesa moyo wake.Ni sawa kama wanavyoumia waliomtenda Lissu.Ukimtendea mwenzako mabaya lazima na wewe mwenyewe yatakuumiza kila unapokumbuka na hasa kama malengo yako hayakutimia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pascal, wewe ndie ulienifanya mimi nikajiunga JF na nlikuwa nakuheshimu sana. Ila natangaza tena kama nlivyowahi kutangaza hapo kabla, sikuheshimu kamwe na nlidhani kweli wewe ni mtu Bora ila hufai kutokana na mengi uliyoyaandika humu.

Kutokumuheshim pascal hakuwezi kumfanya asile wala apungukiwe kitu, ataendelea na shughuli zake kama kawaida, ingekuwa bora ukatwambia wakati unamheshimu alinufaika kiasi gani na heshima yako kiasi ukiiondoa atapata shida?
 
Watanzania mna vichwa vibovu Sana , Una ushahidi gan anahusika....?? Ifikie hatua kila mmoja apambane na Hali yake na sio kujibanza kwa mtu

Well said mkuu Slowly.

Pascal, pole sana kwa haya yote. Jamii yetu inapaswa ijifunze kuepuka kukumbatia speculations na notions zinazotokana na 'hearsay'. Tunachokifanya hapa ni kutengeneza "msiba juu ya msiba". Watanzania we are good at that! Let's learn to deal with facts instead of hearsays. Speculations huwa zinaua! Depressions, mental illnesses na suicidal dispositions mara nyingi husababishwa na vitu kama hivi, na ndiyo maana maradhi kama haya katika nchi zetu yako rampant.

Suala la EK linatia huruma. Sina hakika kama Eric ameonewa au la kutokana na jinsi kesi yake ilivyokuwa politicised, hivyo sitaliongelea sana suala lake hapa mpaka pale mambo yote yatakapowekwa wazi. Hata hivyo, ukweli kwamba Eric ameteseka, haukwepeki. Lakini pia jamii haikupaswa kumhukumu Pascal Mayalla bila ithibati thabiti - au kile tunachokiita "prima facie" - huku ikimmiminia shutuma kenyekenye, badala ya kuzielekeza shutuma hizo kule zinakotakiwa: kwa watesi wa Eric. Huku ni kuhamisha magoli. Why are we avoiding the real antagonist of the protagonist in this infamous theatrical play?!

Hili jambo linadhikisha sana. Kinachotokea hapa hakina tofauti na kilichotokea Shinyanga na Mwanza mwaka 1976, wazee wetu kina Mabula Mazegenuka, kina Ng'wana Ng'hoboko, na wengine wengi, wakiwemo waganga wa jadi, wafanyabiashara na wakulima, waliposhutumiwa kuua vikongwe "wachawi" na hivyo - bila hata "prima facie" - nao wakauawa, na kwa jinsi hiyo, jamii ikajikuta ikitengeneza "msiba juu ya msiba", katika tukio lililosababisha kuundwa kwa katiba mpya ya 1977, na kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, ndugu Ali Hassan Mwinyi. Yote haya kwa sababu ya kitu kimoja: speculations.

Speculations, hearsays, na vitu kama hivyo, huwa si vitu vizuri muda wote, na aghalabu huwa havijengi. Tujifunze! We are better than this.
 
Ulipokuwa unaandika lengo lilikuwa ni nn? Bw pskal

Tuanzie hapo,
Lengo lako lilikuwa kuleta uelewa wa taarifa au ubatili wa taarifa?

Kwa sasa paskal umekataa kutuacha tufanye uchambuz wenyewe wa taarifa zako juu ya right and wrong

Sasa umeegemea kwenye ubatili wa kila taarifa inayomhusu rais, ikulu hata serikali na ni hapo ndipo tunakuita wewe ni snitch

Umetusaliti sote humu jf kabla hujajifunua na baada ya kujifunua ulikuwa vizur ila 2019 duh


Lkn huwa naitafari sana kauli " remember you have a family to feef not a community to empress"

Lkn mkeo na watoto wako marekani wanagreen gurd kwa nn usiwe sehemu sympathazition ya nchi !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NI ajabu kutangaza msamaha kwa watu ambao wewe ndo wanatatikwa kukusamehe. Dunia hapa tunapita tu tutafuteni ridhiki kwa halali so kwa kujipendekeza na kuwachomea wenziyo waharibikiwe wewe upate kula. Ukweli anaujua kabendera na Mwendesha mashitaka. Mambo mbuvu mbovu ya mtu kujitokeza na kusema ukweli umejuilikana, kuna ukweli gani hapo zaidi ya kuatangaziwa mtu mmoja kakubari kulipa kwa awamu. unahakika hizo hela zitalipwa na mkubariji, acheni unafiki kama ipo ipo tu!, nyoo!, eti ukweli!. Mwalimu Nyerere hakuwa Mjinga kupigania self reliance.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…