Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 5,122
- 5,104
Paskali safari hii hadi uathirike kisaikolojia - kama unaogopa hukumu za kidunia. Unaandika kwa nakshi kupita kiasi. Sisi Watanzania si wasomaji wazuri sana; unajua hilo. Sasa hizo mbwembwe zako na kuturundikia mabandiko yanayopandiana ili eti tufanye rejea ya masuala, zimeishia kukutwisha zigo la u-“snitch”.
Halafu ndio unaharibu zaidi kwa kutaka kujitakasa kwa mtindo uleule - au ni janja ya kuibua upya mjadala wa Kabendera kwa ‘namna’ ingine? Tuseme una wasiwasi kuwa wako wengi watakaoamini kuwa hii ishakuwa “case closed” baada ya “Roma locuta”? Sisi waelewa hatuna shida na wewe. I have no doubt of your innocence. Sijui unalenga kujisafisha kwa nani hasa?
Halafu ndio unaharibu zaidi kwa kutaka kujitakasa kwa mtindo uleule - au ni janja ya kuibua upya mjadala wa Kabendera kwa ‘namna’ ingine? Tuseme una wasiwasi kuwa wako wengi watakaoamini kuwa hii ishakuwa “case closed” baada ya “Roma locuta”? Sisi waelewa hatuna shida na wewe. I have no doubt of your innocence. Sijui unalenga kujisafisha kwa nani hasa?