Baada ya vifo vya Said Oswayo na mkewe, Swalha Salum mali zinatakiwa kwenda katika Familia ya Mke au Mume?

Uwezekano wa kuwa kuna mali imepatikana ndani ya muda huo wa miezi 5 ya ndoa yao ni mdogo sana ingawa inawezekana.

Ndugu wa mke kuweni wapole mtoto wa marehem achukue mali za baba ake. Kama kuna chochote chenye jina la mke mtapewa
Wanataka kumdhulumu mtoto wa marehemu ambaye hiyo nyumba aliijenga akiwa na mama wa huyo mtoto
 
Marehemu enzi za uwai wake pia alikuwakicheche
 
Maregemu Mwanamke atachukuaje mali?

Labda kama angekuwa hai na mwanaume angekuwa amefariki sababu huyo mwamamke amefariki hajazaa na Marehemu.
 
Mi tangia mwanzo nilikuwa nawaza mashemeji kujazana nyumbani ndoa haina hata miezi sita, ndomana mimba haingii, itaingiaje mmejazana ndani ya nyumba ya wanandoa wapya [emoji1787]
Ni tabia mbaya kujaza ndg nyumbani
 
Kwa dini ya kiislamu, madamu mwanamke amekufa kwanza nusu ya mali yake (binafsi) itakwenda kwa mume (hakuna watoto), robo kwa wazazi na nyingine ndiyo kwa warithi wengine.

Iliyobaki itakwenda kwa akina kaka zake.

Kwa kawaida sisi waislamu na hasa wa pwani huwa hatuchanganyi mali na mume, kila mmoja anakuwa na mali kwa jina lake, mfano nyumba, shamba, gari.
 
Ndio maana Uislamu unapenda sana kila mtu kujiandikia wosia wake pindi alalapo tena anatakiwa huo wosia alale nao chini ya mto ama chini ya godoro....Mambo kama haya ndio yanaleta changamoto sana kwa jamii,Ila yote kwa yote haki ya kila mrithi itapatikana haki yake ikiwa wakiitumia Quraan kama muongozo wao
 
Hiyo familia ya mwanamke hizo akili sjui wamezipata wapi za kung'ang'ania mali ambazo sio zao,na huyo ng'ombe wao hakufanikiwa kuzaa
 
Mi tangia mwanzo nilikuwa nawaza mashemeji kujazana nyumbani ndoa haina hata miezi sita, ndomana mimba haingii, itaingiaje mmejazana ndani ya nyumba ya wanandoa wapya [emoji1787]
Halaf mashemej wazur,ningekuwa said ningekula wote mmoja baada ya mwingine
 
Tanzania ya Leo ina katiba na sheria vinavyosimamia usawa wa watoto na haki zao.Ikitumika sheria ya kidini kuwanyima urithi watoto shauri likienda mahakamani watoto watapata urithi.
 
👀👀
 
Kifupi walifunga ndoa ya Bakwata ambayo hamrithishi mwamamke mali. Hivo pointi ya msingi ni moja tu wosia na warangi lazima wafoji ndo maana hawataki kufungua nyumba.

Aisee...! haya yote nyie mnayotoa wapi ..?
 
Hiyo familia ya mke Njaa Tu! Inachotafuta itakipata...
 
Aisee...! haya yote nyie mnayotoa wapi ..?
Kwani mkuu umewahi kuona mwanamke wa akiisilam akiachika anachukuwa nini zaidi ya mahari aliyotolewa na ambayo huwa ni kabati, kitanda au masofa? kifupi hii familia ya mwanamke ni wanga na Malimbukeni, simjui Saidi ila alikosea njia. miezi mitano ya ndoa tayari mwanamke ameleta wadogo zake watatu kwake, wakike wawili wa kiume mmoja, tayari wote wamejifunza gari kupitia Gari za shemeji. Usiku eti wamekuja kitu kimefungwa kama Sanda na usiku huo huo mke wa Saidi kampigia babake simu na babake kaleta waganga, lakini kama haitoshi mwanamke kapiga picha hicho kitu na kapost instagram, Swali kama kuna kitu kama hicho kilionekana usiku huo kwanini hawakujipa muda wa kutafakari? kwa nini ilikuwa rahisi sana kwa baba kuwapata uganga usiku huo huo? Kwa nini baada ya hilo tukio Saidi ajisikie kuumwa na kumpigia mamake simu lakini akimzuia asiende mwanza? mwanamke mwenye nidhamu mme kampa taarifa anarudi na njaa lakini yeye kaenda kudanga tena na gari ya mme, marafiki wanampigia simu gari yako iko hotel fulani mme anapiga simu 42 mke hapokei, Kwanini siku hiyo mdogo mtu agome kwenda kulala kwa Saidi mahali ambapo alikuwa akiishi siku zote? Tafakari chukuwa hatua
 
Mali za mume zende kwa familia ya mume, Mali za Mke zende kwa familia ya mke. Mali ya pamoja igawanywe kila upande. Kesi imeisha.
 
Tanzania ya Leo ina katiba na sheria vinavyosimamia usawa wa watoto na haki zao.Ikitumika sheria ya kidini kuwanyima urithi watoto shauri likienda mahakamani watoto watapata urithi.
Sheria za nchi zipo za aina 3 zinazotambulika na Mahakama ambazo ni sheria za kimila,kiislamu na ya India ambayo tulikopi huko.Hivyo Mahakama itaamua Mwanaume alifunga ndoa ya aina ipi.Kama ni ya kimila basi watafuata mila za kwao mwanaume zinasemaje.Sheria inayoisema wewe hiyo ni ile tuliyokopi ya INDIA,nimesahau kidogo inaitwaje
 

Aisee..! Sawa Mkuu yote kwa yote inabidi tusahau kisa hiki.

Maisha yaendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…