Baada ya vikwazo vya Marekani, India kuiondoa Huawei kwenye majaribio ya 5G

Baada ya vikwazo vya Marekani, India kuiondoa Huawei kwenye majaribio ya 5G

Mkuu tatizo sio kutengeneza. Hapa kiini cha tatizo sio kutengeneza. Kiini ni teknolojia ya kutengeneza hicho kitu.

Kama ni kutengeneza mbona karibu vitu vingi vinatengenezwa China.

Teknolojia ya kutengeneza simu kwa mfano Marekani imewachukua miaka zaidi ya 50 kufikia hapo walipo. Je China itabidi aingie kwenye utafiti aje na teknolojia yake mpya ya simu kwa miaka mingi?

Marekani anachombinya China ni kutumia teknolojia yake tu. Yeye atafte ya kwake. Hiyo ya kwake China ataipata lini?
Teknolojia ipi ambayo Marekani anayo peke yake kiasi kwamba kunaweza kuifanya Huawei ipotee kutokana na vikwazo?!

Isitoshe Huawei anacho-rely sana kutoka US ni component parts.

Na wala sio kwamba kila component anayoagiza US haipatikani sehemu nyingine yoyote duniani... hello no! Na wala sio kwamba kampuni za China hazina uwezo KABISA wa kutengeneza hizo components; hell no!!

Ni kutokana na ukweli huo ndio maana nikasema, in the long run, China ndie atafaidika! Ndie atafaidika kwa sababu zile kampuni za Kichina ambazo zilikuwa haziwezi kushindana na kampuni za US, hatimae zitapata platform!

Ukanda ule ule wa China, kuna SMIC na Unison ambazo zipo mainland China, na kuna MediaTek iliyopo Taiwani. Huawei wenyewe wanayo HiSilicon.

Na Huawei ni kama flagship ya China, nchi ambayo ipo very supportive kwa tech companies za Kichina. Kwa maana nyingine, serikali ya China inaweza kufanya lolote wawezalo kuhakikisha Chinese Tech Firms zinakuwa fully independent in the long run!

Halafu unahoji China hiyo technology yao wenyewe wataipata lini?! Hivi watu China mnaichukuliaje?! Hivi unadhani ile technlogy espionage aliyokuwa anafanya walikuwa wanatangaza dini?

Hivi una habari China wame-invest sana kwenye R&D?! Four years ago, The New York Time waliandika:-
But China’s tech industry — particularly its mobile businesses — has in some ways pulled ahead of the United States. Some Western tech companies, even the behemoths, are turning to Chinese firms for ideas.
Na hiyo 4 years ago ilikuwa bado kabisa kukubwa na sakata lililopo hivi sasa! Umeshawahi kujiuliza ni nguvu kiasi gani inatumika hivi sasa kuhakikisha wanakuwa independent kupitia kile ambacho Xi Ping amekuwa akikiita "Self-Innovation Independence"!

China na wenyewe wana ile the so called Silicon Valley of China! Miaka ya nyuma hapo Silicon Valley, ilikuwa full copy and paste! Hivi sasa unaambiwa ukionekana ume-copy technology mahali, unapigwa chini!

Na amini usiamini, ikitokea Trump akarudi madarakani kisha akaendelea kukaza tena kwenye miaka yake 4 ijayo, rais ajae hata akiamua kuondoa vikwazo ili hatimae US Firms waanze kufanya biashara na Huawei, itakuwa almost TOO LATE kwa sababu ama watakuwa wameshapata supplier mwingine, au wameshajitoleza from home-produced component parts.

Ni kutokana na ukweli huo ndio maana, Bloomberg, kutoka huko huko USA waliandika:-
The Trump sanctions in some ways validated Huawei’s ability to develop cutting-edge technology, from fifth-generation networking gear to AI chips.
Na anachofanya Trump ni kutengeneza lenye makali huku na huku... upande mmoja anadhani anaikomoa China lakini upande wa pili linaiumiza Marekani yenyewe!

Kwa mfano, kampuni zilizokuwa zina-supply semiconductors chipsets zitakuwa zimepoteza kiasi gani kukosa soko kubwa kama Huawei?

Na ujinga zaidi, anaipiga ban Huawei, kwa upande mwingine Xiaomi ambao nao ni Wachina wanakuja kushika nafasi ya Huawei kwenye global smartphone market!!
 
Taarifa hii ya UNESCO ya mwaka 2016 bila shaka itajibu maswali yako:-
Hao IKCO moja ya magari yao ni IKCO Dena ambayo inatumia modified Peugeot Engine (under license)



Hiyo kampuni ya Saipa, moja ya magari yake ya karibuni ni Shahin:-



Kuna utata kidogo kuhusu Shahin! Wakati wenyewe wanasema wameitengeneza from their own platform baadhi ya watu hawataki!! All in all, lililo wazi ni kwamba, kuna baadhi ya magari wanayatengeneza wenyewe lakini kuna mengine wanatengeneza under the license.

Aidha, hao IKCO wana subsidiary company inayoitwa ICKO Diesel ambao wana-manufucture magari makubwa kv mabasi na malori lakini ilikuwa under license of Mercedes.

Nimesema ilikuwa coz' baada ya Trump kuwapiga pin Iran, Mercedes walitangaza ku-backoff, na ndipo Iran mwanzoni mwa mwaka huu wakazindua kiwanda chao cha kutengeneza malori though inasemwa some parts zinatengenezwa na kampuni ya
Iran Diesel Engine Manufacturing under license of Mercedes Benz
Kuna hata army transporters, zingine wanatengeneza wenyewe ndani ya Iran though am not sure under license ya nani. Hapa chini ni Kian 700 Army Transporter"-
View attachment 1494282

Wanazo pia Kian 500.

Na tunaposema under license kwa Iran sio kwamba wanachukuwa kila kitu! Mara nyingi huwa wanafanyia modification baddhi ya key parts kama vile engine. Sometimes wanatumia kama ilivyo kukidhi mahitaji fulani. Kwa mfano, Dena hapo juu, kuna zingine zinatumia modified engines na zingine zinatumia Peuogot Engines kwa ajili ya soko la Ulaya.

Kuna hizi armored vehicles hapa chini; wanadai 100% made by local experts...



Na tusisahau, Iran huwa wanafanya hadi reverse engineering!
Safi Sana jamaa wapo next levels
 
Mkuu tatizo sio kutengeneza. Hapa kiini cha tatizo sio kutengeneza. Kiini ni teknolojia ya kutengeneza hicho kitu.

Kama ni kutengeneza mbona karibu vitu vingi vinatengenezwa China.

Teknolojia ya kutengeneza simu kwa mfano Marekani imewachukua miaka zaidi ya 50 kufikia hapo walipo. Je China itabidi aingie kwenye utafiti aje na teknolojia yake mpya ya simu kwa miaka mingi?

Marekani anachombinya China ni kutumia teknolojia yake tu. Yeye atafte ya kwake. Hiyo ya kwake China ataipata lini?
Hahaaa technology yake !!!? My foot dunia haiko hivyo mkuu .. Dunia inaendeshwa na ujasusi wa kidola na ujasusi wa kiuchumi ' hakuna mtu mwenye technology yake watu duniani tunaambukizana ujuzi iwe uliugundua wewe huo ujuzi au la !!? Haya maandishi yenyewe tunayo tumia kuandika kuandikia na kuongea kiswahili tunatumia silabi za muingereza je umeshawahi kusikia waingereza wakitaka kukipiga ban kiswahili kisa tu tunatumia silabi zao ''

Mkuu waweza kukuta hizo tech unazosema ni za USA ..USA aliziiba mahali kisha akajipatia hatimiliki na kudai kuwa ni za kwake Katika ulimwengu wa kijasusi hilo linawezekana Sana.. Kwani haujui kuwa baada ya vita ya pili ya dunia walidiriki kuipora ujerumani na italy wanasayansi wao wengi wakubwa na ndio waliochangia pia kuwasaidia kuwafikisha hapo walivyo

Nawashauri tu waache kulia lia wapambane ili wazidi kudhihirisha ubora wao ... Otherwise gwaride likianza ..watajikuta baada ya kugeuka watakuwa katika nafasi ya mwisho na wa mwisho watakuwa wakwanza
 
Taarifa hii ya UNESCO ya mwaka 2016 bila shaka itajibu maswali yako:-
Hao IKCO moja ya magari yao ni IKCO Dena ambayo inatumia modified Peugeot Engine (under license)



Hiyo kampuni ya Saipa, moja ya magari yake ya karibuni ni Shahin:-



Kuna utata kidogo kuhusu Shahin! Wakati wenyewe wanasema wameitengeneza from their own platform baadhi ya watu hawataki!! All in all, lililo wazi ni kwamba, kuna baadhi ya magari wanayatengeneza wenyewe lakini kuna mengine wanatengeneza under the license.

Aidha, hao IKCO wana subsidiary company inayoitwa ICKO Diesel ambao wana-manufucture magari makubwa kv mabasi na malori lakini ilikuwa under license of Mercedes.

Nimesema ilikuwa coz' baada ya Trump kuwapiga pin Iran, Mercedes walitangaza ku-backoff, na ndipo Iran mwanzoni mwa mwaka huu wakazindua kiwanda chao cha kutengeneza malori though inasemwa some parts zinatengenezwa na kampuni ya
Iran Diesel Engine Manufacturing under license of Mercedes Benz
Kuna hata army transporters, zingine wanatengeneza wenyewe ndani ya Iran though am not sure under license ya nani. Hapa chini ni Kian 700 Army Transporter"-
View attachment 1494282

Wanazo pia Kian 500.

Na tunaposema under license kwa Iran sio kwamba wanachukuwa kila kitu! Mara nyingi huwa wanafanyia modification baddhi ya key parts kama vile engine. Sometimes wanatumia kama ilivyo kukidhi mahitaji fulani. Kwa mfano, Dena hapo juu, kuna zingine zinatumia modified engines na zingine zinatumia Peuogot Engines kwa ajili ya soko la Ulaya.

Kuna hizi armored vehicles hapa chini; wanadai 100% made by local experts...



Na tusisahau, Iran huwa wanafanya hadi reverse engineering!


Frank Wanjiru
 
Hahaaa China kama mizimu yaani .... Imagine figisu zote hizo but still huawei anaendelea kuongoza usukani wa mauzo duniani ...duhh jamaa wana mikakati adhimu sana ya kibiashara
Jamaa walijipanga wale hawakukurupuka nakuwatoa pale walipo pia wanahitaji mipango namikakati madhubuti ila sio kukurupuka kama anavyofanya DT hatimae gharama zake zaukurupukaji zinawageukia wenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaaa technology yake !!!? My foot dunia haiko hivyo mkuu .. Dunia inaendeshwa na ujasusi wa kidola na ujasusi wa kiuchumi ' hakuna mtu mwenye technology yake watu duniani tunaambukizana ujuzi iwe uliugundua wewe huo ujuzi au la !!? Haya maandishi yenyewe tunayo tumia kuandika kuandikia na kuongea kiswahili tunatumia silabi za muingereza je umeshawahi kusikia waingereza wakitaka kukipiga ban kiswahili kisa tu tunatumia silabi zao ''

Mkuu waweza kukuta hizo tech unazosema ni za USA ..USA aliziiba mahali kisha akajipatia hatimiliki na kudai kuwa ni za kwake Katika ulimwengu wa kijasusi hilo linawezekana Sana.. Kwani haujui kuwa baada ya vita ya pili ya dunia walidiriki kuipora ujerumani na italy wanasayansi wao wengi wakubwa na ndio waliochangia pia kuwasaidia kuwafikisha hapo walivyo

Nawashauri tu waache kulia lia wapambane ili wazidi kudhihirisha ubora wao ... Otherwise gwaride likianza ..watajikuta baada ya kugeuka watakuwa katika nafasi ya mwisho na wa mwisho watakuwa wakwanza
Hivi unajua hata ulichokiandika?

Kama hakuna mtu mwenye teknolojia yake Huawei analia nini, si achukue tu maana ni ya bure hakuna mwenye nayo. Hivi unajua hata maana ya patents and copyrights?
 
Usishangae kwa sababu umeshasema Huawei ni simu mzuri sana unless kama ni sarcasm.

But all in all, sakata la China na US, in the long run ni China ndie atanufaika zaidi kwa sababu vikwazo vitamfanya azidishe kasi ya kutaka kujitegemea, na matokeo yake, some years later utakuta hata vile vifaa anavyotegemea avipate toka US, atakuwa anatengeneza mwenyewe!!

Angalia Iran kwa mfano! Ukiondoa Israel, sidhani kama kuna nchi Middle East inaifikia Iran kwa tech development! Vikwazo vimewasaidia sana Iran kutaka wajitegemee wenyewe, na matokeo yake, leo hii ukikatisha kwenye mitaa ya miji ya Iran, magari mengi utakayokutana nayo yanatengenezwa na wenyewe, na kwa haraka haraka kuna at least 5 car manufacturers!
Israel ni watatu nyuma ya Iran na Uturuki kwenye Maendeleo ya Kisayansi Middle east.
 
Huawei haiwezi kufa,,ile ni government sponsored,soko tu la ndani linaitoshea,,japo kuzuiwa na india ni pigo kwani india kwa pipulation yake nayo ni soko kubwa sana.
ukweli mtupu...
 
Huwawei ni simu nzuri sana, nashangaa sana kuona marekani analeta fitina.
Mzee hapa hatuongelei simu tunaongelea network providers kama Nokia, Erricson, ZTE, Huawei ambao kwa sasa wanauza 5G technology. Hizo kampuni zote zina simu zake ila biashara kubwa ni 5G

USA walichelewa kwenye 5G na China ndio inaongoza kwenye hiyo battle. USA wao wana opt for Nokia na Ericson za Scandinavia

USA kampuni yao haijafanya vizuri kwenye 5G
 
Marekani mwenyewe bingwa wa kuspy wenzake, walibambwa mpaka European leaders ka Merkel walikuwa wanasikiliza mazungumzo yao, sasa let U.S. get a taste of their own medicine..
They CAN'T stand the heat...watoke jikoni!
Waache bullying!

Everyday is Saturday............................ 😎
 
IMG_20200616_163846.png

China 5G tractor.
 
Back
Top Bottom