Baada ya vikwazo vya Marekani, India kuiondoa Huawei kwenye majaribio ya 5G

Baada ya vikwazo vya Marekani, India kuiondoa Huawei kwenye majaribio ya 5G

Bajeti ya USA ni mara tatu ya bajeti ya China..ivyo awa macho madogo watulie ..kushindana na marekani nu kujitafutia matatizo ya kudumu na wananchi wake..
How big is China's budget? According to the main one, China's government spent about 23.5 trillion yuan ($3.4 trillion) in 2019. That compares with an estimated U.S. federalbudget of $4.6 trillion in 2020 -- not including any recent measures to deal with the coronavirus.Mar 13, 2020


Ollachuga Oc:usipende kudanganya Umma Kijana[emoji34][emoji34][emoji34]


Nanyie hapo chini msipende kudanganywa mambo ambayo yapo wazi

Frank Wanjiru
Come27
 
Kasome ishue ya south china sea dispute, China anamigogoro na nchi nyingi Hilo liko wazi labda wewe ndo hujui
MKUU naona unahamisha magoli ?!

Hicho nlicho ku quote na hio ya Dispute ya CHINA inahusianaje MKUU ?!....
 
Nakubaliana nawe kuhusu mchango mkubwa wa USA katika ukuaji wa uchumi na ubohaji wa teknolojia katika Taifa la Uchina pamoja na kuwasomesha vitjan wengi wa Uchina katika vyuo vik a ufundi vya huko Merikani na Ulaya, walikuwa wengi miaka hiyo,wengine nilisoma nao nilicho kiona mimi Chinese are fast learner, highly intelligent(tttRt5 na wana uzalendo kweli kweli wengi wao walirudi Uchina baada ya kuhitimu shahada zao.
Hawakuenda kwabahati mbaya kule aseee.....
 
Hawakuenda kwabahati mbaya kule aseee.....

Ni kweli mkuu, Wachina walio soma vyuo vikuu vya kiufundi Marekani na Ulaya na wakarudi Uchina baada ya kuhitimu shahada zao ndiyo walio iwezesha China kupiga hatua kubwa katika masuala ya sayansi na teknolojia pamoja na uchumi wa China kushika namba mbili Duniani nyuma ya USA, wala hilo alishangazi hata kidogo kwa kuwa Oriental race(Chinese,Japanese,
Koreans) ndio wanaongoza Duniani kuwa ni binadamu wenye IQ kubwa kuliko binadamu wengine, hilo limekuwa proven scientifically i.e halina ubishi, hilo limechangia sana far east kuwa na maendeleo makubwa ya kisayansi na kiteknolojia pamoja na uchumi kuwa mkubwa ndani ya muda mfupi sana, African Nations gotta lot to learn from them Orientals, honestly.

Nionavyo mimi ndani ya miaka kumi China ndiyo itakuwa inaongoza kiuchumi Duniani, licha ya USA kuiwekea kauzibe China ili hisiwazidi, they shall overcome eventually - my opinion.
 
Ni kweli mkuu, Wachina walio soma vyuo vikuu vya kiufundi Marekani na Ulaya na wakarudi Uchina baada ya kuhitimu shahada zao ndiyo walio iwezesha China kupiga hatua kubwa katika masuala ya sayansi na teknolojia pamoja na uchumi wa China kushika namba mbili Duniani nyuma ya USA, wala hilo alishangazi hata kidogo kwa kuwa Oriental race(Chinese,Japanese,
Koreans) ndio wanaongoza Duniani kuwa ni binadamu wenye IQ kubwa kuliko binadamu wengine, hilo limekuwa proven scientifically i.e halina ubishi, hilo limechangia sana far east kuwa na maendeleo makubwa ya kisayansi na kiteknolojia pamoja na uchumi kuwa mkubwa ndani ya muda mfupi sana, African Nations gotta lot to learn from them Orientals, honestly.

Nionavyo mimi ndani ya miaka kumi China ndiyo itakuwa inaongoza kiuchumi Duniani, licha ya USA kuiwekea kauzibe China ili hisiwazidi, they shall overcome eventually - my opinion.
hakika aseee nisuala lamuda tu nawakati.....
 
[emoji3][emoji38] mkuu nadhani hujaelewa kilichoongelewa. Hawaongelei watu wa asili ipi wana uwezo wa innovation kuliko wengine, yanaongelewa mataifa kama yalivo hivi sasa
Jibu lako ni Sawa ushabikie kwamba Wazaramo wa DSM wanafaulu na wakati topten inachezea makbila yale pendwa na Baba wa Taifa. Wahaya, wanyakyusa na Chaggas
 
Mkuu, WHO wanatafuta mbinu za kurudushiwa ruzuku ambazo USA ilisitisha hivi karibuni - watazuga zuga kwamba wanafanya uchunguzi, just to please Trump.

Kwanza Uchina haiwezi kuruhusu upuuzi huo ufanyike nchini mwake .
Sasa hawana namna, watakubali tu sababu lawama zinawafuata kutoka kila kona, I hope wameishafuta na kupoteza sources zote za ushahidi.
 
nikikupa nadharia nyingine inayoeleza kwamba china ni muhuska 1 katika ili Saga la Corona, utasemaje?.

yaan marekani aunde janga, alafu maandalizi ya kulikabili nchini kwake yasiwepo!.


Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app

Ma viroligists wa jeshi la Marekani walianza miaka mingi to timker around ns gnomes za virus vya Corona kwenye maabara ya kijeshi - ingawa kuna strain nyingi za virus vya corona lakini hii ya COVID-19 ni tofauti kabisa ndio maana wana sayansi wa Ufarasa na Italy wanasema virus vina components za virus vya AIDS na Malaria ndio baadhi ya wsgonjwa wakipewa Chloroquine/Hydroxylchloroquine au dawa za kufubaza virus vya AIDS wagonjwa wanapata nafuu, ndio maana wanasayansi wana insist kwamba virus vya COVID-19 vimechongwa na wanadamu sio natural phenomena.

Mbona hamu hoji kile Wamerika walicho zuga Dunia kwamba ulikuwa ni ugonjwa wa mafua makali huko Marekani maelfu wakapoteza maisha kwenye baadhi ya majimbo mwaka moja baadae ijajs gunfurika kwambs kumbe Wamerika waliugua na wengine kufariki kutokana na ugonjwa ea COVID-19 na sio sever influeza, ugonjwa huo unakuja kuhibukia tena Wuhan China mwaka mmoja baadae ulirukaje
 
Ma viroligists wa jeshi la Marekani walianza miaka mingi to timker around ns gnomes za virus vya Corona kwenye maabara ya kijeshi - ingawa kuna strain nyingi za virus vya corona lakini hii ya COVID-19 ni tofauti kabisa ndio maana wana sayansi wa Ufarasa na Italy wanasema virus vina components za virus vya AIDS na Malaria ndio baadhi ya wsgonjwa wakipewa Chloroquine/Hydroxylchloroquine au dawa za kufubaza virus vya AIDS wagonjwa wanapata nafuu, ndio maana wanasayansi wana insist kwamba virus vya COVID-19 vimechongwa na wanadamu sio natural phenomena.

Mbona hamu hoji kile Wamerika walicho zuga Dunia kwamba ulikuwa ni ugonjwa wa mafua makali huko Marekani maelfu wakapoteza maisha kwenye baadhi ya majimbo mwaka moja baadae ijajs gunfurika kwambs kumbe Wamerika waliugua na wengine kufariki kutokana na ugonjwa ea COVID-19 na sio sever influeza, ugonjwa huo unakuja kuhibukia tena Wuhan China mwaka mmoja baadae ulirukaje
Mkuu hauna Ushahidi usio acha mashaka kwamba Usa imehuska katika ili janga.
unachokisema hapa ni speculation tu, hakuna evidence yoyote.

kama ilizigo ni la mmarekani, yule Dr wa china aliyevujisha kuhusu corona china isingelimua.
china wanajua, haya mengine ni muuendelezo wa kumbebesha zigo mbeba lawama wa dunia.
hakuna janga, bila marekani kuhusishwa.
tuna sahau kwamba nchi nyingi kwasasa zimeendelea hata zaidi ya marekani, na zinaweza fanya lolote liwezekanalo kufanywa na marekani.

Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini ni lazima kwa Hauwei kuweka 5G kwa wenzake, kwanini asiweke China mbona ni kubwa sana?!
 
Anaweka kwengine kwake tayari, na sababu nyingine ya kibihashara
Anaotaka kuwawekea hawamtaki sasa. Aje huku kwetu aweke hata 100G, kwanza hata hatufahamu ni nini, ata akiweka 1G nani atahoji, aache kulazimisha asipotakiwa. Mbona sisi tunawapenda wachina ni marafiki zetu, why hawaji Tanzania na hiyo 5G yao.
 
Yah lina make sana hueleweki kama mpaka mwaka huu US waliwahi kutumia SOYUZ made In RUSSIA kuendea anga zambali kwamaana US hana TECH yajuu ama RUSSIA ana TECH yajuu kuzidi US ?!
Na hii space X ya juzi ilioacha dunia ambayo ni usable rocket nayo ni Tech ya Mrusi???
 
Back
Top Bottom