Baada ya vikwazo vya Marekani, India kuiondoa Huawei kwenye majaribio ya 5G

Baada ya vikwazo vya Marekani, India kuiondoa Huawei kwenye majaribio ya 5G

Halafu nawashangaa mnaowabeza wachina na kampuni yao kufa muda si mrefu kisa vikwazo vya chipset, hivi kama mchina kapambana kaja na 5G tech kabla ya USA kwanini hamuamini hata hizo chip si muda mrefu atatengeneza! Msichokielewa ni kuwa nchi yoyote inayo invest R&D ina lengo moja tu, kuja kujitegemea katika nyanja mbalimbali. Wachukulieni poa ila hawa jamaa wanaweza kuwa na macho madogo ila sio ubongo. Kuna vitu wanavifanya hasa kwenye ujenzi wa miundombinu ukiangalia documentaries unabaki mdomo wazi. Tuwape muda na tuwe na akiba ya maneno hawa jamaa sio sick men of Asia tena kama ilivozoeleka
 
China wanapimana nguvu na US lakin wataumia, ni kweli wako vema sana kiuchumi lakin bado sana sikio kulishinda kichwa..lwo hii china akaanza kampen ya kuwekea Apple vikwazo unahisi ni nan atamsikiliza. Kwa sasa mataifa zaid ya 11 yashaachana na mpango wa Huwaei kwa sababu ya mkwara wa marekan
Yamefika 11 tayari?

China mwaka huu angeacha upite, sababu kama mpaka durtete kamgeuka upepo sio mzuri.
 
Halafu nawashangaa mnaowabeza wachina na kampuni yao kufa muda si mrefu kisa vikwazo vya chipset, hivi kama mchina kapambana kaja na 5G tech kabla ya USA kwanini hamuamini hata hizo chip si muda mrefu atatengeneza! Msichokielewa ni kuwa nchi yoyote inayo invest R&D ina lengo moja tu, kuja kujitegemea katika nyanja mbalimbali. Wachukulieni poa ila hawa jamaa wanaweza kuwa na macho madogo ila sio ubongo. Kuna vitu wanavifanya hasa kwenye ujenzi wa miundombinu ukiangalia documentaries unabaki mdomo wazi. Tuwape muda na tuwe na akiba ya maneno hawa jamaa sio sick men of Asia tena kama ilivozoeleka
Sera za kiuchumi za dunia ya sasa sio za kujitegemea mkuu, ni za kudominate dunia. China amefail toka day one, kajikita kwenye kuuza tuvitu badala ya ideology.

USA Kazisukuma nchi marafiki zake toka mwaka 2017 ziachane na china bila mafanikio sababu alikuwa anatumia ubabe -utrump. Nadhani china kamiscalculate resistence of the westen countries kwa USA.

Issue ya Hong kong imewavuruga west yote
 
Juzi waziri wa mambo ya nje wa Marekani bwana Pompeo alisema upepo umeanza kuwabadilikia Huawei.

Pompeo anasema kutokana na kampeni ya Marekani sasa watu wengi ulimwenguni wameanza kuona hatari ya Huawei na kuanza kuachana nayo.

India imesema itaiondoa Huawei kushiriki kwenye majaribio ya 5G yanayotarajia kuanza hivi karibuni. Kama tunavyojua India ni mshirika mkubwa sana wa Marekani.

Vikwazo vya Marekani vimeanza kufanya kazi, nchi kadhaa sasa zimeanza kuuondoa Huawei kwenye mipango ya kuweka mitambo ya 5G kwenye nchi zao.

Hali itakua mbaya zaidi kuanzia mwaka 2021 kwa sababu Huawei hataweza kuzalisha chipset za simu zake za P series kutokana na vikwazo vya Marekani.

===
  • Indian government ministers discussed the country’s 5G rollout plans and whether Chinese telecommunications equipment giants Huawei and ZTE should be allowed to participate, according to a report from the Times of India.
  • It comes after the Indian government said it would block 59 Chinese apps such as TikTok and WeChat, claiming they are a threat to national security.
  • India and China tensions have been on the rise over a border clash that has left 20 Indian soldiers dead.

Huawei could be banned from participating in India’s 5G network rollout, just months after it was given the green light to participate in the country’s trials for the technology.

It comes after the Indian government said it would block 59 Chinese apps such as TikTok and WeChat, claiming they were a threat to national security.

As part of those discussions, Indian government ministers discussed the country’s 5G rollout plans and whether Chinese telecommunications equipment giants Huawei and ZTE should be allowed to participate, according to a report from the Times of India.


India’s Ministry of Electronics and Information Technology, as well as Chinese firms Huawei and ZTE, were not immediately available for comment when contacted by CNBC.

5G refers to the next-generation mobile networks that promise super-fast download speeds and the ability to support critical infrastructure. India has lagged behind in its rollout of the technology, while other countries like South Korea and China have powered ahead.

In December, India said it would allow all vendors to participate in 5G trials with vendors. But the latest report of a potential ban on the Chinese firms appears to be a U-turn.
Tensions between India and China have been rising over their disputed border high in the Western Himalayas and a clash earlier this month left 20 Indian soldiers dead.

“The China-India ... dispute, compounded with the economic stress caused due to the (coronavirus) pandemic, has likely forced the government thinking to adopt a strategy similar to U.S. to potentially retaliate in a way where it would hurt China the most,” Neil Shah, research director at Counterpoint Research, told CNBC.

India’s biggest mobile network, Reliance Jio, uses Samsung for its older 4G network. The other two largest players — Bharti Airtel and Vodafone Idea — use a mixture of vendors including Huawei. All three carriers have submitted applications to do 5G tests with various vendors including Huawei, Indian publication the Financial Express reported this month.

Huawei gear makes up one-third of Bharti Airtel’s current network and 40% of Vodafone Idea’s network, according to Counterpoint Research.

It would be a “significant loss” for Huawei and ZTE if the government goes ahead and bans them, Shah said.
All three Indian telcos were not immediately available for comment when contacted by CNBC.

‘Tide is turning’
For about a year and a half, the U.S. government has been pressuring countries to block Huawei from their 5G networks, alleging that its gear could be used by Beijing to spy on citizens of foreign nations. Huawei has repeatedly denied that it would let this happen.

On June 24., U.S. Secretary of State Mike Pompeo declared that “the tide is turning against Huawei as citizens around the world are waking up to the danger of the Chinese Communist Party’s surveillance state.”

The latest report that India is assessing whether to ban Huawei and ZTE will likely add to Pompeo’s confidence.

Washington’s efforts have yielded mixed results so far. Some countries such as Australia and Japan following suit, while others like U.K. allowing the Chinese giant limited participation in its 5G rollout. But it appears more countries and mobile carriers are beginning to shun Huawei — a sign that the U.S. campaign could be working.

Telus and BCE, two of the big carriers in Canada have chosen Ericsson and Nokia to build their 5G network. Canada’s government has yet to make a decision as to whether Huawei will be excluded from the nation’s 5G rollout.

Britain is also reassessing its stance on Huawei. The U.K.’s National Cyber Security Center (NCSC), which is part of intelligence agency GCHQ, launched an emergency review of Huawei’s role in May, following new U.S. sanctions on the firm.
Hawa wana hasira na kipondo walichoshushia hawana lolote
 
Hapa tuna cha kujifunza,jiwe inabid awape bajet majasus wetu waende China na us waende kuiba tech ya kutengeneza beli na jinz ukizingatia tuna raw material ya kufa mtu.
Ni sawa ugeze business plan ambayo hata huwezi itekeleza. Sisi hata tuibe teknolojia hatuwezi itekeleza maana wataalam wetu wanajua mambo kwenye makaratasi
 
FYI, COVID-19 ilikuwa import na wanajeshi wa USA walio tembelea China kushiriki kwenye michezo ya kijeshi huko Wuhan China, cha ajabu wanajeshi wa Merikani hawakushinda medali hata moja, badala yake wakati wa mapumziko walikua wanaonekana wana wander aimlessly kweye Soko kubwa la vyakula/samaki na nyama la mji wa Wuhan, michezo ya kijeshi yalifanyika mwaka jana(2019)Oct/Nov katika mji huo huo wa Wuhan, sasa kitu gani kilikumba mji wa Wuhan mwezi mmoja baada ya wanajeshi hao kurudi kwao Merikani? Wakazi wa mji huo wakakumbwa na ugonjwa wa COVID-19 ambao wanasayasi wa kichina ndio walifanya kazi kubwa kubaini gnome make* up yake na jinsi unavyo ambukiza na kusambazwa - taarifa hizi wakapewa WHO na kutahadhalisha Dunia, vile vile Wachina walitoa taarifa hizo kwa wana*sayansi wenzao kwenye Vyuo Vikuu mbali mbali vya tiba Duniani.

Sasa nini kulikuja gundulika baadae kabisa, wanasayansi wa huko Marekani wakakumbuka mwaka mmoja hivi kabla baadhi ya majimbo ya huko Merikani yalikumbwa na kile walicho kiita mafua makali (sever influenza)lakini dalili zake na vifo vilifanana sana na COVID-19, hivyo wakakata shauri kuchunguza tena kwa kina baadhi ya mabaki ya miili ya Wamerikani walio kufa kwa ugonjwa wa *“sever influeza” mwaka mmoja kabla ya COVID-19 kuikumba Dunia, *unajuwa wanasayansi wa huko Merikani waligunduwa nini?Kumbe wagonjwa hao walifariki kutokana na COVID-19 na sio “sever influenza ” wala sijui nini? Tangu Ti-Xing-Ping awabane Trump na Pompeo na ukweli huo baada ya kuchoshwa na uzushi wao wa kuisingizia China - siku hizi Trump political rhetoric zake za kuihusisha China na ugonjwa wa korona zimekoma, ndio maana hata viongozi wengi Duniani hawaungi mkono madai ya Trump na wapambe wake kuhusu China na korona type COVID-19.
nikikupa nadharia nyingine inayoeleza kwamba china ni muhuska 1 katika ili Saga la Corona, utasemaje?.

yaan marekani aunde janga, alafu maandalizi ya kulikabili nchini kwake yasiwepo!.


Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
 
Sera za kiuchumi za dunia ya sasa sio za kujitegemea mkuu, ni za kudominate dunia. China amefail toka day one, kajikita kwenye kuuza tuvitu badala ya ideology.

USA Kazisukuma nchi marafiki zake toka mwaka 2017 ziachane na china bila mafanikio sababu alikuwa anatumia ubabe -utrump. Nadhani china kamiscalculate resistence of the westen countries kwa USA.

Issue ya Hong kong imewavuruga west yote

Yote yatapita - ukweli ni kwamba Dunia cannot afford do without China, viongozi Duniani wasikubali ku-join bandwagon ya US rabid hatred of everything Chinese, in other words Trump na genge lake wasitake kuburuza Mataifa mengine kuichukia Uchina bila sababu zenye mshiko zinazo sukumwa na wivu wa kike!

Kila mtu mwenye akili timamu anajuwa kwamba kasi ya meandeleo ya Wachina katika nyanja zs sayansi na teknolojia, kiuchumi na Kijeshi ndio unawafanya akina Trump na like mind wajaribu kuiwekea China a monkey spanner kwenye maendeleo yake ili hisi ipiku Merikani - binafsi naona US imekwisha chelewa hivi sasa US hawana uwezo tena wa kudhibiti Tsunami ya maendeleo ya Wachina, mimi nengeshauri US ishirikiane na China katika nyanja zote kuliko kupigana vita vya kiuchumi ambavyo mwisho wa siku US ndio itapoteza, mataifa hayawezi kususia kufanya biashara na uwekezaji kwenye Taifa lenye watu zaidi ya billion wakakimbilia kuangahika na watu wasio zidi 350 million(US).
 
Yote yatapita - ukweli ni kwamba Dunia cannot afford do without China, viongozi Duniani wasikubali ku-join bandwagon ya US rabid hatred of everything Chinese, in other words Trump na genge lake wasitake kuburuza Mataifa mengine kuichukia Uchina bila sababu zenye mshiko zinazo sukumwa na wivu wa kike!

Kila mtu mwenye akili timamu anajuwa kwamba kasi ya meandeleo ya Wachina katika nyanja zs sayansi na teknolojia, kiuchumi na Kijeshi ndio unawafanya akina Trump na like mind wajaribu kuiwekea China a monkey spanner kwenye maendeleo yake ili hisi ipiku Merikani - binafsi naona US imekwisha chelewa hivi sasa US hawana uwezo tena wa kudhibiti Tsunami ya maendeleo ya Wachina, mimi nengeshauri US ishirikiane na China katika nyanja zote kuliko kupigana vita vya kiuchumi ambavyo mwisho wa siku US ndio itapoteza, mataifa hayawezi kususia kufanya biashara na uwekezaji kwenye Taifa lenye watu zaidi ya billion wakakimbilia kuangahika na watu wasio zidi 350 million(US).
Huku yote uliyosema yakiwa sana, ukumbuke pia kwamba sababu za wamarekani kuwalalamikia wachina ni za msingi pia, hasa maswala ya wizi wa technology.

na malalamiko haya hayajaanzia kwa trump, yameanza toka enzi za bush, na marais wengine clinton na obama, wote walikuwa wakifanya parties za kufurahia makubaliano na uchina kuhusu kuboresha sheria, sera na mifumo ya biashara ili kuendena na practices zinazokubalika kimataifa, CHINA hawakuwahi kutekeleza hata moja kwa uhalisia mpaka alipokuja tariff man.

CHINA imefikia hapo ilipo kwa msaada mkubwa sana wa Marekani, Mpaka mwaka jana, China bado ilikuwa inapokea misaada kama Taifa linaloendelea kutoka marekani, China imekuwa inapokea mikopo ya riba nafuu kutoka IMF kama Taifa linaloendelea kwa mujibu wa sera za USA.

Hata hii corana tunayoambiwa ni ya kichina, maabara iliyo wuhan inayosadikiwa kuturubisha hivi virusi, imekuwa ikioperate kwa grants kutoka USA.

USA is going to reverse all this, kwamba itafanikiwa kusitisha ukuaji wa kiuchumi na kiguvu wa uchuna, yetu macho. Japo mambo mawili mpaka sasa Trump amefanikiwa, kwanza ameiunganisha USA against CHINA, na sasa anaanza kupata mafanikio kuziunganisha nchi za ulaya na asia against CHINA pia.

Sasa Ukuaji wa uchumi wa CHINA ni export dependant, President xi analijua hili, na ndio maana akaanzisha sera za ukuzaji uchumi kwa misingi ya internal consumption, tatizo serikali ndio yenye hela, majority of the chinese do not have the money to spend.
 
FYI, COVID-19 ilikuwa import na wanajeshi wa USA walio tembelea China kushiriki kwenye michezo ya kijeshi huko Wuhan China, cha ajabu wanajeshi wa Merikani hawakushinda medali hata moja, badala yake wakati wa mapumziko walikua wanaonekana wana wander aimlessly kweye Soko kubwa la vyakula/samaki na nyama la mji wa Wuhan, michezo ya kijeshi yalifanyika mwaka jana(2019)Oct/Nov katika mji huo huo wa Wuhan, sasa kitu gani kilikumba mji wa Wuhan mwezi mmoja baada ya wanajeshi hao kurudi kwao Merikani? Wakazi wa mji huo wakakumbwa na ugonjwa wa COVID-19 ambao wanasayasi wa kichina ndio walifanya kazi kubwa kubaini gnome make* up yake na jinsi unavyo ambukiza na kusambazwa - taarifa hizi wakapewa WHO na kutahadhalisha Dunia, vile vile Wachina walitoa taarifa hizo kwa wana*sayansi wenzao kwenye Vyuo Vikuu mbali mbali vya tiba Duniani.

Sasa nini kulikuja gundulika baadae kabisa, wanasayansi wa huko Marekani wakakumbuka mwaka mmoja hivi kabla baadhi ya majimbo ya huko Merikani yalikumbwa na kile walicho kiita mafua makali (sever influenza)lakini dalili zake na vifo vilifanana sana na COVID-19, hivyo wakakata shauri kuchunguza tena kwa kina baadhi ya mabaki ya miili ya Wamerikani walio kufa kwa ugonjwa wa *“sever influeza” mwaka mmoja kabla ya COVID-19 kuikumba Dunia, *unajuwa wanasayansi wa huko Merikani waligunduwa nini?Kumbe wagonjwa hao walifariki kutokana na COVID-19 na sio “sever influenza ” wala sijui nini? Tangu Ti-Xing-Ping awabane Trump na Pompeo na ukweli huo baada ya kuchoshwa na uzushi wao wa kuisingizia China - siku hizi Trump political rhetoric zake za kuihusisha China na ugonjwa wa korona zimekoma, ndio maana hata viongozi wengi Duniani hawaungi mkono madai ya Trump na wapambe wake kuhusu China na korona type COVID-19.
WHO wiki jana imetuma wataalamu uchina kuchunguza chanzo cha covid-19
 
Acha upotoshaji chipset bado ni tatizo kwa wachina, Kama ilivyo injini za magari, unatakiwa uwe na teknologia ya juu sana ili uweze kuimasta na kutengeneza chipset

Yaan uwe na uwezo wa kutengeneza kifaa alafu ukiagize kweli Ina make sense
Yah lina make sana hueleweki kama mpaka mwaka huu US waliwahi kutumia SOYUZ made In RUSSIA kuendea anga zambali kwamaana US hana TECH yajuu ama RUSSIA ana TECH yajuu kuzidi US ?!
 
USD bajet ni zaidi ya trillion 4 uko na Trump atapiga adi Trillion 5 USD ...uyo mchina anatembea na usd trillion moja
Acha kutudanganya wewe kijana mnamahaba mpaka mnazusha tu upupu hem tafta data ulete.....
 
Hujui usemalo nenda google
Hajui hajui anakurupuka tu anadhani UCHINA niakama kanchi chake anachotoka

Muwe mnaunda group lenu huko kwanza uwe unawamezesha mambo makubwa kama hawa waje wapinge na data sio kukurupuka tu nakusema uongo

Kwan hawajui ku google ?!
 
Back
Top Bottom