Baada ya vyombo vya habari vya nje kutangaza, nimeamini rasmi kwamba ni hujuma

Tuseme serikali haijateka , labda chadema wanatekana ila kwann Ccmu wazuie watu kukosoa UTEKAJI Kwa njia ya maandano ?
Tumia akil zako vzr , acha uchawa
 
Unaunga mkono utekaji na mauaji kiholela
 
Chama cha maliberali hakina sera. Sera yao ni uvunjifu wa amamani wapate huruma ya maliberali wenzao wa Ulaya.

Hawa ni watu wa hovyo kabisa, mashetani, hawafai kabisa kuwepo mitaani.
Maandamano ni kuhusu utekaji na mauaji kiholela , mwenzetu unaona sw watu kuuawa
 
Tuseme serikali haijateka , labda chadema wanatekana ila kwann Ccmu wazuie watu kukosoa UTEKAJI Kwa njia ya maandano ?
Tumia akil zako vzr , acha uchawa
Sio uchawa mkuu, maandamano ndio chanzo cha fujo hasa kwa style ya haya ya juzi yalivyoasisiwa na kutangazwa,

Mbona yale yaliyopita yaliruhusiwa? Tena pia walilindwa na kusaidiwa na polisi? Haya yalikuwa yana shari ndani yake kwa jinsi tu yalivyopangwa,
Serikali ipo makini sana tuwapongeze kwa kugundua hili na kutunza amani yetu
 
Unaunga mkono utekaji na mauaji kiholela
Msome vizuri uelewe,
Amelipongeza jeshi la polisi kwa weledi na utaalamu wa hali ya juu kulinda amani kwa kuzuia maandamano bila kuleta madhara kwa waliotaka kufanya vurugu, na wala hajaunga mkono utekaji, usimlishe maneno bwashee
 
...................... Serikali iache waandamane kwani itapungukiwa na nini? Nimeshangaa kuona polisi inatumia silaha kwa watu wasio na silaha. Yaani nimeshangaa sana kuona hivyo......................
Nakumbuka rais aliwahi kusema kuwa .... wametembea wee, lakin wamepata nini!! Akimaanisha kuwa waliwaaacha wakaamdamana lakini hakuma walichopata. Busara hiyo hiyo ingetumika umaarufu wao ungepungua.
Nakumbuka kisa cha Nadhani alikuwa Kambona anarudi Tanzania. Wakati huo waziri wa mambo ya ndani alikuwa marehemu Lyatonga Mrema -alisema akirudi tu tutamkamat kwa kuwa aliondoka akiwa na kesi ya uhaini. Kwa mujibu wa taarifa za wakatihuo, inasemekana serikali iliomba ushauri wa Baba wa Taifa Marehemu Nyerere nini kifanyike Kambona akirudi. Kwanza aliwambia huyo Kambona nani anamjua katika kizazi cha sasa, ana umaarufu gani! Akawashauri kuwa wamuache tu aje wasifanye lolote.
Kweli siku aliyorudi, ndege aliyopanda ilikuwa na waandishi wa habari wengi wa kimataifa na ndio walikuwa wa kwanza kushuka kwenye ndege na kamera zao zikimulika uwanja kuchukua tukio la kukamatwa.
Hakukamatwa, badala yake alipokelewa na viongozi wa chama cha TADEA, kusindikizwa hadi ofisini nk. Baada ya siku mbili waandishi wa nje waliondoka bila ya kuwa na habari ya kuandika. Ulikuwa ndio mwanzo wa kuisha Chama hicho na Kambona wake.
Yawezekana nisiwe sahihi 100% lakini tukio lilikuwa hivyo
 
Mwalimu alikuwa mjanja sana
 
Ila haya maandamano yalikuwa na viashiria vyote vya uvunjifu wa amani
Serikali ilifanya vyema kuyatuluza kwa weledi mkubwa sana
 
Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu

Kuweni makini sana
Wanaokuja kuteka si mabeberu wala mbuzi wa nje ni WaTz wakujitambulisha ni polisi, endelea kujidanganya, hayajakufika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…