Baada ya vyombo vya habari vya nje kutangaza, nimeamini rasmi kwamba ni hujuma

Baada ya vyombo vya habari vya nje kutangaza, nimeamini rasmi kwamba ni hujuma

Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu

Kuweni makini sana
Kwa akili yako duni ulidhani utekaji mnaofanya ni siri?
 
Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu

Kuweni makini sana
Umekunywa uji uliochacha au

Siku mkijitambua itakuwa too late
Ni kikundi kidogo sana kinafaidi keki ya Taifa.
Endeleeni kuizomea cdm mateso sio ya wanacdm tu ni ya kila mlipa kodi.

Ujinga wa Mwafrika ndio mtaji
 
Si ni sawa tu na mbowe kutumia maandamano na vurugu kutaka kuingia mdarakani?
Six5b0TZWlBbGx71.jpg
 
Tunawaweza bwashee, mbona anko aliwapeleka puta?
Aliwaaminisha ninyi kua anawapeleka puta.
Mkuu huwezi jisaidia kwenye sahani yako ya chakula.

Unawananga huku misaada unapokea, wewe si unakua mnafiki, unawananga huku unaenda kuomba mikopo kwao halafu ukija huku unasema haya mambo tunafanya wenyewe bila mkopo.

Wale wajomba kuwakwepa kwa level yetu bado sana, ila kisiasa siasa ni rahisi kuaminishwa kua hatuwategemei na wao kama maslai yao yanalindwa hawana shida na hizo siasa zenu za majitaka
 
Aliyekuagiza kwa watanzania mwambie hujawakuta,
Umekula ukashiba ukaona ujiropokee
 
Back
Top Bottom